JK: Maaskofu walitoa matamko ya hasira
Wakati Rais Jakaya Kikwete akisema msimamo wa Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) wa kuwataka waumini wao kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa ni wa hasira pia usiokuwa na tija kwa maendeleo ya Taifa, baadhi ya maaskofu wameshikilia msimamo huo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
11 years ago
Mwananchi05 Mar
‘Wachina walitoa rushwa’
10 years ago
Habarileo04 Oct
Matamko ya Rais yavuruga mkutano
MKUTANO Mkuu wa Chama cha Wauguzi nchini (TANNA) umeahirisha ghafla kwa kile kinachoelezwa kuwa ni sababu za kiusalama kufuatia baadhi ya wajumbe wa mkutano huo kutofautiana kuhusiana na kauli iliyotolewa na Rais wa Chama hicho Paul Magesa kuwa chama hicho kinaunga mkono vuguvugu la mabadiliko kuelekea uchaguzi mkuu ujao.
9 years ago
Mwananchi30 Dec
Tutawapima kwa ahadi na matamko yenu
10 years ago
Mwananchi04 Oct
Tamasha la kuombea amani lisiruhusu matamko ya kisiasa
10 years ago
Mwananchi10 Sep
Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutotoa matamko kabla ya NEC
10 years ago
Mzalendo Zanzibar10 Sep
Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutoa matamko kabla ya NEC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Na Peter Elias – Mwananchi Alhamisi, Septemba 10, 2015 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema waangalizi wa uchaguzi hawatakiwi […]
The post Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutoa matamko kabla ya NEC appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Tibaijuka atibua hasira za wananchi
NA EVANS MAGEGE
KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada mbalimbali.
Wamesema kauli hiyo ni mwendelezo wa kejeli ambazo zimewahi kutolewa kwa nyakati tofauti na wanasiasa pamoja na baadhi ya viongozi nchini.
Kauli zinazolinganishwa na...
10 years ago
Mwananchi12 Jul
Ielewe Hasira chimbuko lake (2)