Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JK: Maaskofu walitoa matamko ya hasira

Wakati Rais Jakaya Kikwete akisema msimamo wa Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) wa kuwataka waumini wao kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa ni wa hasira pia usiokuwa na tija kwa maendeleo ya Taifa, baadhi ya maaskofu wameshikilia msimamo huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa

Bado nimepigwa na butwaa kwa namna ambavyo baadhi ya Watanzania wenzangu wanakosa ustahimilivu katika kipindi tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Nimegundua kwamba unapotoa hoja ambayo wengine hawaiungi mkono basi kumekuwa na ugumu katika kustahimiliana.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Wachina walitoa rushwa’

Raia wa China, Huang Gin, Xu Fujie na Chen Jinzha wamedaiwa kutoa hongo ya Sh30.2 milioni kwa polisi na askari wa wanyama pori ili wasipekue nyumba waliyokuwa wakiishi iliyo Mtaa wa Kifaru Mikocheni.

 

10 years ago

Habarileo

Matamko ya Rais yavuruga mkutano

MKUTANO Mkuu wa Chama cha Wauguzi nchini (TANNA) umeahirisha ghafla kwa kile kinachoelezwa kuwa ni sababu za kiusalama kufuatia baadhi ya wajumbe wa mkutano huo kutofautiana kuhusiana na kauli iliyotolewa na Rais wa Chama hicho Paul Magesa kuwa chama hicho kinaunga mkono vuguvugu la mabadiliko kuelekea uchaguzi mkuu ujao.

 

9 years ago

Mwananchi

Tutawapima kwa ahadi na matamko yenu

Tangu Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano liapishwe, kumekuwapo na matamko mengi kutoka kwa mawaziri, yakiashiria kuwa wameridhika kuwa nchi ilikuwa ikiendeshwa kwa mazoea na sasa wanataka waongoze mabadiliko yatakayowaneemesha wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Tamasha la kuombea amani lisiruhusu matamko ya kisiasa

Tamasha la kuombea amani linafanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa likishirikisha vikundi mbalimbali vya muziki wa injili, wachungaji na maaskofu.

 

10 years ago

Mwananchi

Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutotoa matamko kabla ya NEC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema waangalizi wa uchaguzi hawatakiwi kutoa tamko lolote linalohusu uchaguzi au kampeni kabla Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) haijatangaza matokeo.

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutoa matamko kabla ya NEC

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe. Na Peter Elias – Mwananchi Alhamisi, Septemba 10, 2015 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amesema waangalizi wa uchaguzi hawatakiwi […]

The post Membe awaonya waangalizi wa uchaguzi kutoa matamko kabla ya NEC appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mtanzania

Tibaijuka atibua hasira za wananchi

TibaijukaNA EVANS MAGEGE

KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada mbalimbali.
Wamesema kauli hiyo ni mwendelezo wa kejeli ambazo zimewahi kutolewa kwa nyakati tofauti na wanasiasa pamoja na baadhi ya viongozi nchini.
Kauli zinazolinganishwa na...

 

10 years ago

Mwananchi

Ielewe Hasira chimbuko lake (2)

Katika makala ya wiki iliyopita tuliangalia hasira ni nini na chimbuko lake, leo tunaendelea na sehemu ya pili ya mada hii ambapo tutaangalia nini mzizi na ukweli kuhusu hasira.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani