Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutawapima kwa ahadi na matamko yenu

Tangu Baraza la Mawaziri la Serikali ya Awamu ya Tano liapishwe, kumekuwapo na matamko mengi kutoka kwa mawaziri, yakiashiria kuwa wameridhika kuwa nchi ilikuwa ikiendeshwa kwa mazoea na sasa wanataka waongoze mabadiliko yatakayowaneemesha wananchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Endelezeni miradi yenu kwa jamii

Kila mwaka Watanzania hushuhudia mashindano mbalimbali ya urembo. Miss Tanzania ni miongoni mwa mashindano hayo.

 

11 years ago

Habarileo

‘Wanasiasa msishabikie Katiba kwa maslahi yenu’

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba ambao ni wabunge na wawakilishi wamewataka wanasiasa wenzao kutoshabikia muundo wa utawala kwenye Katiba mpya kwa maslahi ya kupata vyeo. Badala yake wamewataka kuhakikisha Katiba mpya, inagusa maisha ya watu na uchumi kiujumla ili kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini na kupata maendeleo.

 

10 years ago

Vijimambo

IMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU-MTAALAM

Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Fedha, Bibi Dorothy Mwanyika akichangia majadiliano kuhusu ukusanyaji wa mapato ya ndani kwajili ya maendeleo wakati wa mkutano unaoendelea hapa Umoja wa Mataifa wa maandalizi ya Mkutano wa Tatu wa Kimataifa kuhusu uwezeshaji wa raslimalifedha kwa maendeleo endelevu baada ya 2015. Mkutano huo utafanyika mapema mwakani huko Adds Ababa, Ethiopia.Sehemu ya washiriki wa mada kuhusu mapato ya ndani wakifuatilia mchango na Tanzania pamoja na wachangiaji wengine.
Na...

 

10 years ago

Michuzi

IMARISHENI MAPATO YA NDANI KWA MAENDELEO YENU - MTAALAMU

Na Mwandishi Maalum, New York Nchi zinazoendelea hususani Afrika, Kusini mwa Jangwa la Sahara zimeshauriwa kujiwekea mipango, sera, taratibu na sheria zinazotekelezeka ambazo kwayo zitaongeza na kuboresha ukusanyaji wa mapato ya ndani ili si tu kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi wake lakini pia kuwa na maendeleo endelevu. Aidha nchi hizi zimeambiwa kuwa kile kipindi cha kusubiri kuletewa maendeleo kwa maana ya kuwategemea wafadhili kupitia uwekezaji wa moja kwa moja ( FDI) au...

 

11 years ago

Michuzi

NIKOPESHENI IMANI YENU NAMI NITAWALIPA KWA MAENDELEO-MGIMWA.

 Wananchi wa kijiji cha Ilandutwa,kata ya Mgama,Iringa Vijijini wakinyanyua mikono yao juu kumuunga mkono Mgombea Ubunge jimbo la kalenga,Ndugu. Godfrey Mgimwa.Uchaguzi wa jimbo hilo unatarajiwa kufanyika Machi 16 siku ya jumapili.  Wananchi wakiwa wamekusanyika kwenye mkutano wa kampeni wa CCM,kwa ajili kuzisikiliza sera za mgombea Ubunge wa Jimbo la kalenga,Ndugu Godfrey Mgimwa,uliofanyika kwenye kijiji cha Ilandutwa,kata ya Mgama Iringa Vijijini  Mgombea ubunge wa jimbo la Kalenga...

 

10 years ago

GPL

ANAKUPENDA, UNAMPENDA, KWA NINI MAPENZI YENU YAWE YA SIRI?- 2

Ni matumaini yangu kwamba kwa kudra za Mwenyezi Mungu, msomaji wangu umesherehekea vyema sikukuu ya Krismasi na leo unamalizia na Boxing Day, tuzidi kumuomba Mungu atuvushe salama kuingia mwaka mpya wa 2015. Karibu tena kwenye uwanja wetu huu mzuri, Lets Talk About Love! Tuzungumzie mapenzi na kubadilisha mawazo kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo maisha yetu ya kila siku. Wiki iliyopita tulianza kuijadili mada yetu kama...

 

10 years ago

GPL

ANAKUPENDA, UNAMPENDA KWA NINI MAPENZI YENU YAWE YA SIRI?

Uhali gani mpenzi msomaji wangu! Ni matumaini yangu kwamba kwa kudra za Mwenyezi Mungu uko poa na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.Bila shaka msomaji wangu utakuwa unaelewa vizuri nikizungumzia mapenzi ya siri. Inawezekana umewahi kuwa katika aina hii ya uhusiano, umewahi kusikia au kushuhudia watu wawili wanaopendana, wakiendesha uhusiano wao kwa siri kubwa. Je, kwa nini kuna baadhi ya watu hupenda kuishi kwenye...

 

10 years ago

Michuzi

KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA - MH. SUMAYE:

1Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika kuombea...

 

10 years ago

Michuzi

FREDRICK SUMAYE: KUWENI NA HOFU YA MUNGU, NAYE ATASIKIA MAOMBI YENU KWA TAIFA

1Waziri Mkuu mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akisalimiana na Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion Bw. Alex Msama Baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine tayari kwa tamasha la Krismas lililofanyika kwenye uwanja wa huo jijini Mbeya , Mh. Fredrick Sumaye amewaasa watanzania kumcha mungu na kuchagua viongozi waadilifu wenye uzalendo wa nchi, wenye kupenda na kuhurumia wananchi masikini na wenye hofu ya mungu ili kulinda amani ya nchi yetu jambo litakalofanya hata maombi yanayofanyika ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani