Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ANAKUPENDA, UNAMPENDA KWA NINI MAPENZI YENU YAWE YA SIRI?

Uhali gani mpenzi msomaji wangu! Ni matumaini yangu kwamba kwa kudra za Mwenyezi Mungu uko poa na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.Bila shaka msomaji wangu utakuwa unaelewa vizuri nikizungumzia mapenzi ya siri. Inawezekana umewahi kuwa katika aina hii ya uhusiano, umewahi kusikia au kushuhudia watu wawili wanaopendana, wakiendesha uhusiano wao kwa siri kubwa. Je, kwa nini kuna baadhi ya watu hupenda kuishi kwenye...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ANAKUPENDA, UNAMPENDA, KWA NINI MAPENZI YENU YAWE YA SIRI?- 2

Ni matumaini yangu kwamba kwa kudra za Mwenyezi Mungu, msomaji wangu umesherehekea vyema sikukuu ya Krismasi na leo unamalizia na Boxing Day, tuzidi kumuomba Mungu atuvushe salama kuingia mwaka mpya wa 2015. Karibu tena kwenye uwanja wetu huu mzuri, Lets Talk About Love! Tuzungumzie mapenzi na kubadilisha mawazo kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo maisha yetu ya kila siku. Wiki iliyopita tulianza kuijadili mada yetu kama...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?

Kwa nini mapenzi ni tata? Unaweza kujiuliza swali hilo. Ni kwa faida ya kila mmoja kwa sababu yanamhusu kila mmoja wetu. Ni matamu lakini ndani yake hutokea kuwa na ukakasi kama siyo maumivu.Jiulize tena, kwa nini mapenzi yanasumbua? Mapenzi ni maumivu ya kichwa na moyo. Watu wengi waliomo ndani yake wanaweza kukupa ushuhuda wa mateso wanayoyapata kwenye uhusiano wao. Je, baada ya kuteseka huwa wanajiapiza kutorudi tena? La...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI MAPENZI NI ASALI, VILEVILE NI SHUBIRI?-2

kabla sijaendelea na mada yetu ambayo leo inatuweka sehemu ya pili, ni vizuri kukumbushana kuwa msingi nambari moja wa penzi bora lenye uaminifu ni kushika njia inayompendeza Muumba.
Migogoro mingi ya kimapenzi ni makosa ya watu kupita mlango wa Shetani. Tukiendelea na mada yetu; Mapenzi siku zote yanaweza kuwa asali kama wahusika wataamini katika nguvu ya maneno. Imetokea kuamini kuwa maneno ni mhimili wa kudumu kwa uhusiano...

 

11 years ago

GPL

EMMANUEL, FLORA MBASHA NINI KIPO NYUMA YENU?

KWENU,
Emmanuel na Flora Mbasha. Naamini afya zenu zipo sawa na mnaendelea kuhangaika na maisha ingawa kuna changamoto zimeingia kati yenu. Napenda kuwahakikishia kuwa, hayo ni mapito tu. Yataisha. Naandika barua hii hasa kwa msukumo wa imani yangu ambayo nanyi mnaiamini. Kwangu mimi kama Mkristo, ninyi ni viongozi wangu wa kiroho. Sina shaka na hilo hata kidogo. Ni viongozi wa Wakristo wengi ndani na nje ya nchi. Nasema hivyo...

 

11 years ago

GPL

KISA ANAKUPENDA KWA DHATI NDIYO UMTESE MPENZI WAKO?

NDUGU zangu, mapenzi yanachukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu ya kila siku. Hakuna anayeweza kusimama na kusema, hataki kujihusisha nayo kwa namna yoyote, akijitokeza huyo atakuwa na matatizo ya akili. Mimi na wewe tunahitaji kuwa na wapenzi tena wenye mapenzi ya dhati ili maisha yetu yaweze kukamilika. Bila kuwa na mtu ambaye kuna wakati unammisi, lazima utahisi kupungukiwa kitu fulani muhimu katika maisha yako. Lakini...

 

11 years ago

GPL

PENNY: MAPENZI YA SIRI SIYAWEZI

Stori: Imelda Mtema PREZENTA wa Runinga ya DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa siku zote hawezi kudumu katika penzi la siri. Prezenta wa Runinga ya DTV, Peniel Mungilwa ‘Penny’ katika pozi. Penny alifunguka hayo alipokuwa akizungumza na paparazi wetu na kuainisha kuwa tangu amwagane na Diamond (Nasibu Abdul) ambaye kila mtu alikuwa anamjua, bado hajabahatika kuwa na mtu mwingine.…
...

 

9 years ago

GPL

HIVI MAPENZI YAMEKUFANYIA NINI?

Mpenzi msomaji wa safu hii ya XXLove, shukrani nyingi zikufikie kwa maoni na ushauri wako. Baada ya wiki iliyopita kukupa mbinu za kupigania penzi lako kwa maana ya kulia au kulisusa siyo dawa, wiki hii napenda nijue wewe msomaji wa makala haya, mapenzi yamekufanyia nini? Ninaamini kila mtu atakuwa na jibu kulingana na vile mapenzi yalivyomfanyia katika maisha yake ya uhusiano.Kwa kuanza tu, wapo watu waliofika ughaibuni kwa...

 

10 years ago

GPL

SIRI YA MAPENZI YAO IKO MOYONI MWAO

Mwandishi Wetu
Mastaa wengi wamekuwa wakiingia kwenye uhusiano na kufanya siri kubwa. Wapo ambao wanaonekana dhahiri ni wapenzi kutokana na ukaribu wao lakini wakiulizwa wanadai wana ‘project’.Ukiuliza ni project gani utaambiwa wana filamu wanacheza. Cha ajabu sasa unaweza kusubiria hiyo filamu na usiione. Mwisho wa siku unajiongeza na kubaini baadhi wanatumia kivuli cha ‘project’ kuendesha penzi lao...

 

10 years ago

Mwananchi

WIVU WA MAPENZI: Mke amkata mume sehemu za siri

>Mkazi wa Kijiji cha Majimaji, Kata ya Chalinze, wilayani Tunduru (jina linahifadhiwa), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumkata sehemu za siri mume wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani