WIVU WA MAPENZI: Mke amkata mume sehemu za siri
>Mkazi wa Kijiji cha Majimaji, Kata ya Chalinze, wilayani Tunduru (jina linahifadhiwa), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumkata sehemu za siri mume wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi16 May
Mume amkata mkewe sehemu za siri kwa wivu
10 years ago
Tanzania Daima03 Oct
Mume aua mke kwa wivu wa mapenzi
NEEMA Sanga (33), mkazi wa Mngeta wilayani Kilombero mkoani hapa, ameuwawa nyumbani kwake kwa kucharangwa mapanga na anayedaiwa kuwa mumewe, Laurian Labani, kwa wivu wa mapenzi. Akizungumza na Waandishi wa...
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Mume amchoma mke sehemu za siri
10 years ago
Mtanzania21 Feb
Amkata mpwa wake sehemu za siri
NA AMON MTEGA, SONGEA
MKAZI wa Kijiji cha Majimaji kilichopo Tunduru mkoani Ruvuma, Patrick Vitus (70), amekatwa sehemu zake za siri na kuachwa zikining’inia.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa njia ya simu jana, Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho, Hussein Mkali, alisema Patrick alikatwa sehemu zake hizo na mpwa wake Zainabu Said (32), baada ya kumkatalia kwenda kumfuata mumewe aliyekuwa kwa mke mdogo.
Alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tisa usiku katika maeneo ya mashamba ya kijiji hicho...
11 years ago
Mwananchi24 May
Mganga amkata mtoto sehemu za siri na kuzibanika
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KBI*TiKs6pKJO9s8NOU1MYviywrnTbE3U4*a*ruGMZDBvd1fBNu3fmRMYieyhIRVoC1epnyCzUQ-06p0-0UDNLAGjYYpBENd/wivu.gif)
AMUUA MKE KWA WIVU WA MAPENZI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dzJVcnA3Xm0D2VVh-yFfs86GxAQgA42mBCYhw4e8dteMTO-AmHYqp6NX30b0JoXx5j9T5Em1ZZZdpaan-PkfZdpm--Q*9ufr/WIVU2.jpg?width=650)
MKE ACHOMA NYUMBA KISA WIVU WA MAPENZI
11 years ago
BBCSwahili11 Apr
Mume amuua mke akihofia siri kufichuliwa
10 years ago
Bongo Movies25 Apr
Sio Siri tena: Nay wa Mitego, Shamsa Mke na Mume!
Mara baada ya kuelezwa kwamba wapo kwenye uhusiano wa kimapenzi huku wenyewe wakidanganya wana ‘projekti’, hatimaye majirani wamefichua kuwa mwigizaji Shamsa Ford na mwanamuziki Emmanuel Elibariki ‘Nay’, sasa wanaishi kama mke na mume.
Baada ya kutonywa ‘mchapo’ huo, gazeti la Risasi liliwadamkia nyumbani kwa Nay maeneo ya Kimara-Korogwe jijini Dar na kumkuta Shamsa akiwa na kanga moja.Mwanahabari wetu, baada ya kufika nyumbani hapo mishale ya asubuhi alikuwa bega kwa bega kuwafuatilia...