Amkata mpwa wake sehemu za siri
NA AMON MTEGA, SONGEA
MKAZI wa Kijiji cha Majimaji kilichopo Tunduru mkoani Ruvuma, Patrick Vitus (70), amekatwa sehemu zake za siri na kuachwa zikining’inia.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa njia ya simu jana, Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho, Hussein Mkali, alisema Patrick alikatwa sehemu zake hizo na mpwa wake Zainabu Said (32), baada ya kumkatalia kwenda kumfuata mumewe aliyekuwa kwa mke mdogo.
Alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tisa usiku katika maeneo ya mashamba ya kijiji hicho...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi24 May
Mganga amkata mtoto sehemu za siri na kuzibanika
10 years ago
Mwananchi22 Feb
WIVU WA MAPENZI: Mke amkata mume sehemu za siri
11 years ago
Mwananchi16 May
Mume amkata mkewe sehemu za siri kwa wivu
10 years ago
GPLAMKATA KICHWA MDOGO WAKE APATE UTAJIRI
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Vijimambo10 years ago
GPLMAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI -3
10 years ago
GPLMAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Kukata, kuharibu sehemu za siri
KAMA kawaida tunaanza makala hii na kishtua mada kwa kuwasikiliza washikaji wawili wakijadili jambo na kutuachia ujumbe. Mshikaji 1: Nasikia huko kwenu Mtwara ni washindi wa mambo mawilil; kuwa na...