Mganga amkata mtoto sehemu za siri na kuzibanika
>Polisi wanamshikilia mganga wa jadi kutoka Kijiji cha Matera, Kata ya Nyanguge, Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza kwa tuhuma za kumnyonga mwanafunzi wa darasa la kwanza, Fausta Geofrey (8) na kukata viungo vyake na kuvibanika ili kupata dawa ya uganga.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania21 Feb
Amkata mpwa wake sehemu za siri
NA AMON MTEGA, SONGEA
MKAZI wa Kijiji cha Majimaji kilichopo Tunduru mkoani Ruvuma, Patrick Vitus (70), amekatwa sehemu zake za siri na kuachwa zikining’inia.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa njia ya simu jana, Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho, Hussein Mkali, alisema Patrick alikatwa sehemu zake hizo na mpwa wake Zainabu Said (32), baada ya kumkatalia kwenda kumfuata mumewe aliyekuwa kwa mke mdogo.
Alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tisa usiku katika maeneo ya mashamba ya kijiji hicho...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
WIVU WA MAPENZI: Mke amkata mume sehemu za siri
11 years ago
Mwananchi16 May
Mume amkata mkewe sehemu za siri kwa wivu
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mtoto mdogo auawa, akatwa sehemu za siri
10 years ago
Habarileo26 May
Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa
WATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.
5 years ago
BBCSwahili05 Mar
Mkunga 'amkata' mtoto mchanga shingo Uganda: Je ni uzembe ama bahati mbaya?
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/86mnqHV-Afc/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-K50jvlvIKg/default.jpg)
10 years ago
GPLMAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI