Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa
WATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mtoto mdogo auawa, akatwa sehemu za siri
>Watu saba wamefariki dunia katika matukio tofauti wakati wa  Sikukuu ya Krismasi mkoani Morogoro, akiwemo mtoto wa mwaka mmoja kuuawa na watu wasiofahamika kisha kukatwa sehemu zake za siri na mwili wake kutupwa pembezoni mwa Mto Morogoro.
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Auawa kwa kunyofolewa sehemu za siri
Mkazi wa Kijiji cha Businda wilayani Bukombe Mkoa wa Geita ambaye ni mlemavu wa kusikia John Makoye (43) ameuawa kwa kukatwa mapanga na kunyofolewa sehemu za siri.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.
9 years ago
Mwananchi05 Oct
Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.
11 years ago
Mwananchi24 May
Mganga amkata mtoto sehemu za siri na kuzibanika
>Polisi wanamshikilia mganga wa jadi kutoka Kijiji cha Matera, Kata ya Nyanguge, Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza kwa tuhuma za kumnyonga mwanafunzi wa darasa la kwanza, Fausta Geofrey (8) na kukata viungo vyake na kuvibanika ili kupata dawa ya uganga.
10 years ago
Habarileo28 Jan
Auawa kwa shoka, anyofolewa ulimi
IMANI ya ushirikina, ajali na vitendo vya ukatili dhidi ya binadamu vimesababisha wananchi wa mikoa ya Mbeya kugubikwa na simanzi kutokana na mauaji ya kutisha.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/-K50jvlvIKg/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/86mnqHV-Afc/default.jpg)
10 years ago
GPLMAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI -2
WIKI iliyopita tulieleza matatizo ya fangasi sehemu za siri na jinsi wanavyowasumbua waliokumbwa na maradhi haya, tunaeleza ni wanawake gani hupatwa na tatizo hili. Leo tunaendelea kuwaelimisha na tunaanza kufafanua wale wanaopatwa na ugonjwa huu, endelea: Wengine wanaopatwa na fangasi hawa sehemu za siri ni wale wanaotumia sana dawa za kuua bakteria (antibiotics, steroids) ambazo zina tabia ya kushusha kinga ya mwili.Mabadiliko...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania