Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniWATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtoto mdogo auawa, akatwa sehemu za siri

>Watu saba wamefariki dunia katika matukio tofauti wakati wa   Sikukuu ya Krismasi mkoani Morogoro, akiwemo mtoto wa mwaka mmoja kuuawa na watu wasiofahamika kisha kukatwa sehemu zake za siri na mwili wake kutupwa pembezoni mwa Mto Morogoro.

 

9 years ago

Mwananchi

Auawa kwa kunyofolewa sehemu za siri

Mkazi wa Kijiji cha Businda wilayani Bukombe Mkoa wa Geita ambaye ni mlemavu wa kusikia John Makoye (43) ameuawa kwa kukatwa mapanga na kunyofolewa sehemu za siri.

 

9 years ago

Mwananchi

Bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Mganga amkata mtoto sehemu za siri na kuzibanika

>Polisi wanamshikilia mganga wa jadi kutoka Kijiji cha Matera, Kata ya Nyanguge, Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza kwa tuhuma za kumnyonga mwanafunzi wa darasa la kwanza, Fausta Geofrey (8) na kukata viungo vyake na kuvibanika ili kupata dawa ya uganga.

 

10 years ago

Habarileo

Auawa kwa shoka, anyofolewa ulimi

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya Barakael MasakiIMANI ya ushirikina, ajali na vitendo vya ukatili dhidi ya binadamu vimesababisha wananchi wa mikoa ya Mbeya kugubikwa na simanzi kutokana na mauaji ya kutisha.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

MAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI -2

WIKI iliyopita tulieleza matatizo ya fangasi sehemu za siri na jinsi wanavyowasumbua waliokumbwa na maradhi haya, tunaeleza ni wanawake gani hupatwa na tatizo hili. Leo tunaendelea kuwaelimisha na tunaanza kufafanua wale wanaopatwa na ugonjwa huu, endelea: Wengine wanaopatwa na fangasi hawa sehemu za siri ni wale wanaotumia sana dawa za kuua bakteria (antibiotics, steroids) ambazo zina tabia ya kushusha kinga ya mwili.Mabadiliko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani