Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Auawa kwa kunyofolewa sehemu za siri

Mkazi wa Kijiji cha Businda wilayani Bukombe Mkoa wa Geita ambaye ni mlemavu wa kusikia John Makoye (43) ameuawa kwa kukatwa mapanga na kunyofolewa sehemu za siri.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mtoto mdogo auawa, akatwa sehemu za siri

>Watu saba wamefariki dunia katika matukio tofauti wakati wa   Sikukuu ya Krismasi mkoani Morogoro, akiwemo mtoto wa mwaka mmoja kuuawa na watu wasiofahamika kisha kukatwa sehemu zake za siri na mwili wake kutupwa pembezoni mwa Mto Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniWATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Akamatwa kwa kuhifadhi sehemu za siri

Maafisa wa polisi nchini Afrika Kusini wameomba kupewa habari baada ya kumkamata raia mmoja wa Denmark kwa madai ya kuhifadhi sehemu za siri za wanawake 21 katika jokovu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mume amkata mkewe sehemu za siri kwa wivu

Mkazi wa Mtaa wa King’azi, Mbezi Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwamo kukatwa sehemu za siri na mumewe kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

 

10 years ago

GPL

KUTOKWA NA VINYAMA SEHEMU ZA SIRI (GENITAL WARTS) KWA WANAWAKE-2

Tunaendelea kuchambua ugonjwa wa kutokwa na vinyama sehemu za siri kabla ya kuelezea tiba yake, tuangalie dalili zake. Wiki iliyopita tulieleza dalili za ugonjwa huu. Tukasema mojawapo ni kuota vinyama vidogo au Genital Warts huonekana kama vioteo laini vinavyojitokeza juu ya ngozi ingawa wakati mwingine vinaweza kuwa vidogo mno kiasi cha kutoweza kuonekana vizuri kwa macho ya kawaida. Tukasema dalili nyingine ni mgonjwa kuwa na...

 

10 years ago

GPL

VAGINAL PROLAPSE: KULEGEA KWA MISULI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAMKE-3

Dk. A. Mandai
Wiki iliyopita, tulieleza tatizo hili ambalo huwatokea zaidi wanawake walio katika umri mkubwa ingawa pia linaweza kutokea kwa wasichana. Tumeshaeleza chanzo cha tatizo hili na sasa tutaeleza athari zake na tiba kisha tutatoa ushauri.

ATHARI
Licha ya maumivu anayopata mwanamke mwenye tatizo hili, hali ya kulegea kwa misuli ya uke pia humuathiri hata mume kwani naye hushindwa kufurahia tendo la ndoa.
Mama...

 

10 years ago

GPL

VAGINAL PROLAPSE: KULEGEA KWA MISULI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAMKE

Wanawake wengi wenye umri mkubwa hupata maradhi ya Vaginal prolapse yaani kulegea kwa misuli ya uke au sehemu za siri za mwanamke ambapo uke hutanuka zaidi ya kipenyo chake cha kawaida ambacho ni sentimita nne. Licha ya wanawake wenye umri mkubwa pia wasichana wanaweza kupata ugonjwa huu. Tufafanue kuwa kulegea kwa misuli ya uke kuna tofauti kidogo na kutanuka kwa misuli hiyo.
Misuli hiyo inapolegea huwa inashindwa kubana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani