Auawa kwa kunyofolewa sehemu za siri
Mkazi wa Kijiji cha Businda wilayani Bukombe Mkoa wa Geita ambaye ni mlemavu wa kusikia John Makoye (43) ameuawa kwa kukatwa mapanga na kunyofolewa sehemu za siri.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi28 Dec
Mtoto mdogo auawa, akatwa sehemu za siri
>Watu saba wamefariki dunia katika matukio tofauti wakati wa  Sikukuu ya Krismasi mkoani Morogoro, akiwemo mtoto wa mwaka mmoja kuuawa na watu wasiofahamika kisha kukatwa sehemu zake za siri na mwili wake kutupwa pembezoni mwa Mto Morogoro.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.
10 years ago
Habarileo26 May
Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa
WATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.
10 years ago
Mwananchi05 Oct
Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri
Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
Akamatwa kwa kuhifadhi sehemu za siri
Maafisa wa polisi nchini Afrika Kusini wameomba kupewa habari baada ya kumkamata raia mmoja wa Denmark kwa madai ya kuhifadhi sehemu za siri za wanawake 21 katika jokovu.
11 years ago
Mwananchi16 May
Mume amkata mkewe sehemu za siri kwa wivu
Mkazi wa Mtaa wa King’azi, Mbezi Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwamo kukatwa sehemu za siri na mumewe kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
10 years ago
GPL
KUTOKWA NA VINYAMA SEHEMU ZA SIRI (GENITAL WARTS) KWA WANAWAKE-2
Tunaendelea kuchambua ugonjwa wa kutokwa na vinyama sehemu za siri kabla ya kuelezea tiba yake, tuangalie dalili zake. Wiki iliyopita tulieleza dalili za ugonjwa huu. Tukasema mojawapo ni kuota vinyama vidogo au Genital Warts huonekana kama vioteo laini vinavyojitokeza juu ya ngozi ingawa wakati mwingine vinaweza kuwa vidogo mno kiasi cha kutoweza kuonekana vizuri kwa macho ya kawaida. Tukasema dalili nyingine ni mgonjwa kuwa na...
10 years ago
GPL
VAGINAL PROLAPSE: KULEGEA KWA MISULI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAMKE-3
Dk. A. Mandai
Wiki iliyopita, tulieleza tatizo hili ambalo huwatokea zaidi wanawake walio katika umri mkubwa ingawa pia linaweza kutokea kwa wasichana. Tumeshaeleza chanzo cha tatizo hili na sasa tutaeleza athari zake na tiba kisha tutatoa ushauri.
ATHARI
Licha ya maumivu anayopata mwanamke mwenye tatizo hili, hali ya kulegea kwa misuli ya uke pia humuathiri hata mume kwani naye hushindwa kufurahia tendo la ndoa.
Mama...
10 years ago
GPL
VAGINAL PROLAPSE: KULEGEA KWA MISULI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAMKE
Wanawake wengi wenye umri mkubwa hupata maradhi ya Vaginal prolapse yaani kulegea kwa misuli ya uke au sehemu za siri za mwanamke ambapo uke hutanuka zaidi ya kipenyo chake cha kawaida ambacho ni sentimita nne. Licha ya wanawake wenye umri mkubwa pia wasichana wanaweza kupata ugonjwa huu. Tufafanue kuwa kulegea kwa misuli ya uke kuna tofauti kidogo na kutanuka kwa misuli hiyo.
Misuli hiyo inapolegea huwa inashindwa kubana na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania