Akamatwa kwa kuhifadhi sehemu za siri
Maafisa wa polisi nchini Afrika Kusini wameomba kupewa habari baada ya kumkamata raia mmoja wa Denmark kwa madai ya kuhifadhi sehemu za siri za wanawake 21 katika jokovu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Auawa kwa kunyofolewa sehemu za siri
Mkazi wa Kijiji cha Businda wilayani Bukombe Mkoa wa Geita ambaye ni mlemavu wa kusikia John Makoye (43) ameuawa kwa kukatwa mapanga na kunyofolewa sehemu za siri.
11 years ago
Mwananchi16 May
Mume amkata mkewe sehemu za siri kwa wivu
Mkazi wa Mtaa wa King’azi, Mbezi Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwamo kukatwa sehemu za siri na mumewe kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.
10 years ago
GPLVAGINAL PROLAPSE: KULEGEA KWA MISULI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAMKE
Wanawake wengi wenye umri mkubwa hupata maradhi ya Vaginal prolapse yaani kulegea kwa misuli ya uke au sehemu za siri za mwanamke ambapo uke hutanuka zaidi ya kipenyo chake cha kawaida ambacho ni sentimita nne. Licha ya wanawake wenye umri mkubwa pia wasichana wanaweza kupata ugonjwa huu. Tufafanue kuwa kulegea kwa misuli ya uke kuna tofauti kidogo na kutanuka kwa misuli hiyo.
Misuli hiyo inapolegea huwa inashindwa kubana na...
10 years ago
GPLVAGINAL PROLAPSE: KULEGEA KWA MISULI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAMKE-3
Dk. A. Mandai
Wiki iliyopita, tulieleza tatizo hili ambalo huwatokea zaidi wanawake walio katika umri mkubwa ingawa pia linaweza kutokea kwa wasichana. Tumeshaeleza chanzo cha tatizo hili na sasa tutaeleza athari zake na tiba kisha tutatoa ushauri.
ATHARI
Licha ya maumivu anayopata mwanamke mwenye tatizo hili, hali ya kulegea kwa misuli ya uke pia humuathiri hata mume kwani naye hushindwa kufurahia tendo la ndoa.
Mama...
9 years ago
GPLKUTOKWA NA VINYAMA SEHEMU ZA SIRI (GENITAL WARTS) KWA WANAWAKE-2
Tunaendelea kuchambua ugonjwa wa kutokwa na vinyama sehemu za siri kabla ya kuelezea tiba yake, tuangalie dalili zake. Wiki iliyopita tulieleza dalili za ugonjwa huu. Tukasema mojawapo ni kuota vinyama vidogo au Genital Warts huonekana kama vioteo laini vinavyojitokeza juu ya ngozi ingawa wakati mwingine vinaweza kuwa vidogo mno kiasi cha kutoweza kuonekana vizuri kwa macho ya kawaida. Tukasema dalili nyingine ni mgonjwa kuwa na...
10 years ago
Vijimambo10 years ago
Vijimambo10 years ago
GPLMAAMBUKIZI YA FANGASI SEHEMU ZA SIRI
Kati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi sehemu za siri. Maambukizi ya fangasi katika sehemu za siri za mwanamke husababishwa na uwepo wa fangasi wanaojulikana kitaalamu kama Candida Albicans ambayo pia hujulikana kama Yeast Infection au Thrush. Fangasi hupatikana kama vimelea vya kawaida katika mdomo, mpira wa kupitisha chakula sehemu inayojulikana kama Pharynx, katika kibofu cha mkojo,...
11 years ago
Tanzania Daima06 Feb
Kukata, kuharibu sehemu za siri
KAMA kawaida tunaanza makala hii na kishtua mada kwa kuwasikiliza washikaji wawili wakijadili jambo na kutuachia ujumbe. Mshikaji 1: Nasikia huko kwenu Mtwara ni washindi wa mambo mawilil; kuwa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania