Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mume amkata mkewe sehemu za siri kwa wivu

Mkazi wa Mtaa wa King’azi, Mbezi Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam (jina tunalihifadhi), amejeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake ikiwamo kukatwa sehemu za siri na mumewe kwa kile kinachodaiwa kuwa ni wivu wa kimapenzi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

WIVU WA MAPENZI: Mke amkata mume sehemu za siri

>Mkazi wa Kijiji cha Majimaji, Kata ya Chalinze, wilayani Tunduru (jina linahifadhiwa), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumkata sehemu za siri mume wake.

 

10 years ago

GPL

MUME AMKATA NYETI MKEWE AZIUZE MIL. 5

Na Mwandishi Wetu, Tabora Unyama wa kutisha kisa utajiri! Mwanamke mwenye umri wa miaka 60 (pichani jina linahifadhiwa), anadai kukatwa sehemu zake za siri (nyeti) na mumewe aliyemtaja kwa jina moja la Mashaka ili akauze Sh. milioni tano za Kitanzania akauze kwa mganga wa kienyeji ili apate mtaji. Mwanamke mwenye umri wa miaka 60 aliyekatwa sehemu zake za siri (nyeti) na mumewe anayefahamika kwa jina moja la Mashaka. Kwa mujibu...

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwa wivu,Mume amjeruhi mkewe kwa shoka

Mume amcharanga mkewe kwa kumshuku kuwa ana bwana anyempa kiburi kutoka Singapore,na ambaye humrejesha nyumbani mara moja kwa mwezi.

 

10 years ago

Mtanzania

Amkata mpwa wake sehemu za siri

NA AMON MTEGA, SONGEA

MKAZI wa Kijiji cha Majimaji kilichopo Tunduru mkoani Ruvuma, Patrick Vitus (70), amekatwa sehemu zake za siri na kuachwa zikining’inia.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi kwa njia ya simu jana, Ofisa Mtendaji wa kijiji hicho, Hussein Mkali, alisema Patrick alikatwa sehemu zake hizo na mpwa wake Zainabu Said (32), baada ya kumkatalia kwenda kumfuata mumewe aliyekuwa kwa mke mdogo.

Alisema tukio hilo lilitokea juzi saa tisa usiku katika maeneo ya mashamba ya kijiji hicho...

 

11 years ago

Mwananchi

Mganga amkata mtoto sehemu za siri na kuzibanika

>Polisi wanamshikilia mganga wa jadi kutoka Kijiji cha Matera, Kata ya Nyanguge, Wilaya ya Magu, mkoani Mwanza kwa tuhuma za kumnyonga mwanafunzi wa darasa la kwanza, Fausta Geofrey (8) na kukata viungo vyake na kuvibanika ili kupata dawa ya uganga.

 

10 years ago

GPL

MUME AMNYONGA MKEWE, KISA WIVU

Stori: Waandishi Wetu
INAUMA sana! Katika kinachoonekana kama ni wivu wa kimapenzi, dada mmoja aliyefahamika kwa jina la Magdalena Lucas ( 23) ameuawa kikatili na ‘mumewe’ aliyetajwa kwa jina la Stephano Lucas (28) nyumbani kwao maeneo ya Mbezi Luis jijini Dar es Salaam wiki iliyopita baada ya kupigwa na kitu kizito kichwani na mwili wake kufungiwa chumbani kwa siku tatu. Magdalena Lucas enzi za uhai wake....

 

10 years ago

GPL

KISA WIVU MUME AMFYEKA MGUU MKEWE!

Stori:Gladness Mallya
Maumivu ya kufa! Akiwa ananyonyesha kichanga wake, dakika chache mwanamama Neema Iwena hakujua kama angenusurika kufa baada ya kukatwa shingoni, kichwani kisha kufyekwa mguu wa kulia na mumuwe, Victor Nzali, kisa kikidaiwa ni wivu wa kimapenzi. Mwanamama Neema Iwena aliyekatwa mapanga na mumuwe, Victor Nzali.
Kwa mujibu wa mashuhuda wetu, tukio hilo la kutisha, kusikitisha na la ukatili wa kijinsia...

 

11 years ago

Mwananchi

Mume amchoma mke sehemu za siri

Agnes Marwa (18), mkazi wa Mrito, Kata ya Kemambo, Wilaya ya Tarime, mkoani Mara, ameunguzwa sehemu za siri kwa moto baada ya mume wake kudaiwa kumkuta na Sh2,000 kwenye pochi.

 

11 years ago

Mwananchi

Amuua mkewe kwa wivu wa mapenzi

Watu wanne wamefariki dunia katika matukio tofauti likiwamo la mwanamke mmoja kudaiwa kuuawa na mume wake kutokana na wivu wa mapenzi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani