Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Auawa kwa shoka, anyofolewa ulimi

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya Barakael MasakiIMANI ya ushirikina, ajali na vitendo vya ukatili dhidi ya binadamu vimesababisha wananchi wa mikoa ya Mbeya kugubikwa na simanzi kutokana na mauaji ya kutisha.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

KIONGOZI CCM AUAWA KWA SHOKA!

Stori: Haruni Sanchawa na Gabriel Ng’osha
KIONGOZI wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Shina Namba 30, Kigamboni Kisiwani jijini Dar, Bernadetha Shabani (53) amefariki dunia baada ya kupigwa shoka la kichwa na anayedaiwa kuwa ni mpangaji wake aliyefahamika kwa jina la Shija Ng’waya (33). Bernadetha Shabani enzi za uhai wake. Tukio hilo la kikatili lilijiri Mei 5, mwaka huu nyumbani kwa marehemu, Kigamboni jijini Dar es...

 

9 years ago

Habarileo

Auawa, anyofolewa viungo kwa imani za kishirikina

WATU wawili wamekufa katika matukio tofauti yaliyotokea mkoani Katavi akiwemo mkazi wa kijiji cha Mgasa, Tarafa ya Kabungu wilayani Mpanda, Chiza Lamaeck (23) kuuawa kikatili kwa kunyofolewa viungo vyake vya mwili zikiwemo sehemu zake za siri kwa imani za kishirikina.

 

10 years ago

Mtanzania

Askari JWTZ auawa, anyofolewa viungo

Na Shomari Binda, Musoma

ASKARI wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Kikosi cha 27 Makoko kilichopo Musoma, Praiveti Wilfred Koko amekutwa ameuawa na kuondolewa sehemu ya viungo vya mwili katika eneo la kikosi hicho.

Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi mkoani Mara ilisema askari huyo MT-78227, aliokotwa katika eneo la jeshi Januari 30, mwaka huu saa sita mchana mwili wake ukiwa hauna baadhi ya viungo ukiweamo mguu wa kulia, viganja vya mikono yote na sehemu za siri.

Kaimu Kamanda wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto auawa, sehemu za siri, ulimi vyakatwa

Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Kilimanjaro, Fulgence NgonyaniWATU watatu wamefariki dunia mkoani Kilimanjaro, katika matukio matatu tofauti, likiwemo la mtoto aliyetambulika kwa jina la Faterine Massawe (14) kulawitiwa na kuuawa kikatili, kisha kukatwa sehemu zake za siri na ulimi na watu wasiojulikana.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwendesha bodaboda auawa, anyofolewa kichwa na sehemu za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumchinja mwendesha pikipiki maarufu kama bodaboda, Hosam Abdallahaman (18) na kutoweka na kichwa chake, sehemu zake za siri na pikipiki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kwa wivu,Mume amjeruhi mkewe kwa shoka

Mume amcharanga mkewe kwa kumshuku kuwa ana bwana anyempa kiburi kutoka Singapore,na ambaye humrejesha nyumbani mara moja kwa mwezi.

 

10 years ago

GPL

Yanga Shoka

Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva. Sweetbert Lukonge na Derick Lwasye, Mbeya
KAZI ya Yanga hivi sasa ni kama shoka! Kikosi hicho cha Kocha Hans van Der Pluijm kimeshinda michezo mitatu mfululizo kwenye Ligi Kuu Bara baada ya kuibugiza Tanzania Prisons mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Sokoine jijini hapa, jana. Ushindi huo umeifanya Yanga ikwee kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu Bara, ikifikisha pointi 28, ikiwa imewafunika...

 

11 years ago

GPL

MKE WA MTU ANYOFOLEWA SIKIO

Stori: Chande Abdallah na Denis Mtima, Mwanza
AISEE!
Consolata Edward ni mke wa mtu, mkazi wa Igoma jijini hapa ambaye amebaki na kipisi cha sikio baada ya kunyofolewa kiungo hicho kisa kikidaiwa kuwa ni hawara yake. Consolata Edward akionyesha jeraha katika sikio lake. Tukio hilo lilitokea Desemba 16, mwaka jana ambapo mwanamke huyo alidai kuwa alikuwa akizungumza kwa simu na mfanyakazi mwenzake ambaye anauza naye chakula...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani