Chadema yahamishia hasira za Zitto CUF
MGOGORO unaoendelea Chadema umefikia hatua ya kuanza kutafuta mchawi ndani na nje ya chama hicho, ambapo sasa kimeishika CUF na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono kwa madai ya kumwunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Kabwe Zitto.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
10 years ago
Mtanzania23 Mar
CUF yanyakua kiti cha Zitto, PAC
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, wamemchagua Mbunge wa Viti Maalumu, Amina Mwidau (CUF) kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo.
Katika uchaguzi uliofanyika jana mjini hapa, Mwidau alichaguliwa na wajumbe wa PAC kwa kupata kura 15 dhidi ya mpinzani wake, Lucy Owenya (Chadema) aliyeambulia kura mbili.
Akizungumza baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa nafasi hiyo, Mwidau alisema atafanya kazi iliyoachwa na Zitto Kabwe wakati akiiongoza kamati hiyo kwa kuzingatia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--DSnfuTV6yb0QoLFEshf4CbQ6kxkLxnMcImTXT6RBExz-RbukYHGTCgHcQJt8eqPeiEinyQ2y*3gjgeAHWiD0K/06ZITTO5.jpg?width=650)
ZITTO AICHAKAZA CHADEMA
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Zitto aibuka CHADEMA
WAKATI mashabiki na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakihoji uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumvua nafasi zote za uongozi Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe,...
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Lowassa awagawa CUF, Chadema
MPANGO wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kumtangaza kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Lowassa, kujiunga na chama hicho uliotarajiwa kutekelezwa jana, umekwama huku kukiwa na taarifa za mgawanyiko ndani ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa).
Wiki iliyopita, Raia Tanzania liliandika taarifa kwamba Chadema walipanga kumtangaza Lowassa Jumapili ya jana baada ya kumaliza mazungumzo naye, lakini hilo lilishindikana.
Taarifa kutoka ndani ya Chadema zinadai kuwa huenda...
10 years ago
Habarileo17 Dec
CUF, Chadema vyadondoka Temeke
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam kimeongoza katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika Jumapili iliyopita ambapo imepata wenyeviti 145 katika mitaa 209 iliyopiga kura.
9 years ago
TheCitizen29 Oct
Ukawa gives Chadema, CUF more seats
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Chadema, CUF wavutana Musoma
11 years ago
Habarileo05 Mar
CCM, CUF, Chadema washambuliwa
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amevishambulia vyama vya CCM, CUF na Chadema kuwa vinaharibu Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutaka misimamo yao ya vyama itawale vikao vya bunge hilo.