CUF yanyakua kiti cha Zitto, PAC
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, wamemchagua Mbunge wa Viti Maalumu, Amina Mwidau (CUF) kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo.
Katika uchaguzi uliofanyika jana mjini hapa, Mwidau alichaguliwa na wajumbe wa PAC kwa kupata kura 15 dhidi ya mpinzani wake, Lucy Owenya (Chadema) aliyeambulia kura mbili.
Akizungumza baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa nafasi hiyo, Mwidau alisema atafanya kazi iliyoachwa na Zitto Kabwe wakati akiiongoza kamati hiyo kwa kuzingatia...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Zitto apata mrithi PAC
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GGseoK1DFMg/VRLVn6QDlgI/AAAAAAAHNK8/RVnJO0abV3c/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Mrithi wa Zitto PAC ziarani Afrika Kusini
MWENYEKITI mpya wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Amina Mwidau, ameongoza wajumbe wa kamati hiyo kwa kufanya ziara nchini ya Afrika Kusini.
Wakiwa nchini humo walitembelea Bandari ya Durban, ambapo walifanya mazungumzo na viongozi wa juu wa bandari hiyo wakiongozwa na Meneja wake Vusi Khumalo.
Mwidau ambaye ameambatana na wajumbe kadhaa wa PAC akiwemo Makamu Mwenyekiti Deo Filikunjombe, Mbunge wa Tabora Mjini, Ismail Aden Rage pamoja na Mbunge wa...
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Zitto: Bilioni 8.5/- zimetengwa kuwamaliza wajumbe wa PAC.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-17March2015.jpg)
Takribani miezi mitatu na ushei tangu sakata la uchotwaji wa fedha zaidi ya Sh. bilioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow kutikisa nchi huku mawaziri wawili na mwanasheria mkuu wa serikali wakiondoka madarakani na katibu mkuu mmoja akichunguzwa, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki” asema Zitto
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kabwe-May30-2014.jpg)
Baadhi ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya dola ili zichunguzwe kwani zina vielelezo vya mahala pa kuanzia (kama...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4zpTyG1CFg2EWP9SXpexZqNprj6Qp-bj4KDf2Ju7kC5cjpbNsKN649JaXaSMeLPgmI5VvN3KxRPnTTIQFxCTcJ2/zittokabwe.jpg?width=650)
ZITTO AELEZA KWA NINI HAKWENDA KUSOMA TAARIFA YA PAC
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Chama kikuu cha upinzani cha CNL kimemuidhinisha Agathon Rwasa kuwa mgombea wake wa kiti cha urais
![](https://1.bp.blogspot.com/-yRzRf_C6IV0/XktnUMF85XI/AAAAAAALd1A/QrzLL4K0YrIec2T1FpptPv-SXWyjvvyqgCLcBGAsYHQ/s640/4bv6e88039ef681lnbc_800C450.jpg)
Wajumbe wa chama cha National Congres for Liberty jana walimuidhinisha Rwasa aliye na umri wa miaka 56 kama mgombea wao katika uchaguzi wa Rais wa mwezi Mei.
Agathon Rwasa atachuana katika uchaguzi huo na Jenerali wa jeshi Evariste Ndayishimiye ambaye ni muitifaki wa Nkurunzia. Mwezi uliopita chama tawala Burundi CNDD-FDD kilimchagua jenerali huyo wa jeshi...
10 years ago
GPLAMINA MWIDAU (VITI MAALUMU CUF) NDIYE MWENYEKITI MPYA WA KAMATI YA PAC
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1L12qwMhnC0/VHXp0Tttg4I/AAAAAAAGzl0/i-V29PQf4zU/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
msikilize mwenyekiti wa PAC MHE ZITTO KABWE AKISOMA RIPOTI YA ESCROW BUNGENI SASA KUPITIA KWANZA JAMII RADIO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1L12qwMhnC0/VHXp0Tttg4I/AAAAAAAGzl0/i-V29PQf4zU/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
ama jiunge na aitv mobile uone live!
11 years ago
Habarileo07 Jan
Chadema yahamishia hasira za Zitto CUF
MGOGORO unaoendelea Chadema umefikia hatua ya kuanza kutafuta mchawi ndani na nje ya chama hicho, ambapo sasa kimeishika CUF na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono kwa madai ya kumwunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Kabwe Zitto.