Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zitto: Bilioni 8.5/- zimetengwa kuwamaliza wajumbe wa PAC.

Zinawalenga Filikunjombe, Lugora, Kigwangala, Aeleza mbinu zilivyoanza kusukwa bungeni, Kisa ni kushikia bango mabilioni ya Escrow.Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe
Takribani miezi mitatu na ushei tangu sakata la uchotwaji wa fedha zaidi ya Sh. bilioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow kutikisa nchi huku mawaziri wawili na mwanasheria mkuu wa serikali wakiondoka madarakani na katibu mkuu mmoja akichunguzwa, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

‘BILIONI 137 ZIMETENGWA KWA AJILI YA ELIMU YA BURE’


maj2
* Awaonya Wakurugenzi, Maafisa elimu.
SERIKALI imekwishatenga kiasi cha sh. bilioni 137 kwa ajili ya kugharamia utoaji wa elimu ya bure kuanzia Januari hadi Juni, mwakani.
Kauli hiyo imetolewa jana jioni (Jumapili, Desemba 20, 2015) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akizungumza na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa uwanja wa mikutano wa Likangala wilayani Ruangwa, mkoani Lindi.
“Kazi ya utumbuaji majipu imezaa matunda kwani...

 

9 years ago

Michuzi

BILIONI 137 ZIMETENGWA KWA AJILI YA ELIMU YA BURE - WAZIRI MKUU

SERIKALI imekwishatenga kiasi cha sh. bilioni 137 kwa ajili ya kugharamia utoaji wa elimu ya bure kuanzia Januari hadi Juni, mwakani.
Kauli hiyo imetolewa jana jioni (Jumapili, Desemba 20, 2015) na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa wakati akizungumza na mamia ya wananchi waliofika kumsikiliza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa uwanja wa mikutano wa Likangala wilayani Ruangwa, mkoani Lindi.
“Kazi ya utumbuaji majipu imezaa matunda kwani tumeweza kupata fedha za kugahrimia elimu ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Zitto apata mrithi PAC

Mbunge wa Viti Maalumu (CUF), Amina Mwidau amerithi mikoba ya aliyekuwa mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe baada ya kuteuliwa kuwa Mwenyekiti mpya wa kamati ya Hesabu za Serikai(PAC).

 

10 years ago

Mtanzania

CUF yanyakua kiti cha Zitto, PAC

Amina MwidauNa Mwandishi Wetu, Dodoma
WAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, wamemchagua Mbunge wa Viti Maalumu, Amina Mwidau (CUF) kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo.
Katika uchaguzi uliofanyika jana mjini hapa, Mwidau alichaguliwa na wajumbe wa PAC kwa kupata kura 15 dhidi ya mpinzani wake, Lucy Owenya (Chadema) aliyeambulia kura mbili.
Akizungumza baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa nafasi hiyo, Mwidau alisema atafanya kazi iliyoachwa na Zitto Kabwe wakati akiiongoza kamati hiyo kwa kuzingatia...

 

10 years ago

Michuzi

Mrithi wa Zitto PAC ziarani Afrika Kusini

Na Mwandishi Wetu, Afrika Kusini.
MWENYEKITI mpya wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Amina Mwidau, ameongoza wajumbe wa kamati hiyo kwa kufanya ziara nchini ya Afrika Kusini.
Wakiwa nchini humo walitembelea Bandari ya Durban, ambapo walifanya mazungumzo na viongozi wa juu wa bandari hiyo wakiongozwa na Meneja wake Vusi Khumalo.
Mwidau ambaye ameambatana na wajumbe kadhaa wa PAC akiwemo Makamu Mwenyekiti Deo Filikunjombe, Mbunge wa Tabora Mjini, Ismail Aden Rage pamoja na Mbunge wa...

 

10 years ago

Vijimambo

Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki” asema Zitto

Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Kamati ninayoongoza ya PAC kuwasilisha Bungeni Taarifa Maalumu kuhusu ukaguzi maalumu wa akaunti ya Tegeta Escrow, kumekuwa na kampeni za chini chini zinazoendeshwa kwenye korido za Bunge na kwenye mitandao dhidi yangu binafsi na baadhi ya wabunge waliosimama kidete dhidi ya wizi wa fedha kutoka Benki Kuu ya Tanzania akaunti ya Escrow.

Baadhi ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya dola ili zichunguzwe kwani zina vielelezo vya mahala pa kuanzia (kama...

 

10 years ago

GPL

ZITTO AELEZA KWA NINI HAKWENDA KUSOMA TAARIFA YA PAC

Hapo juu ni ujumbe aliouandika Mwenyekiti wa PAC na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe alichokiandika kwenye akaunti yake ya Facebook leo akieleza ni kwa nini hakwenda kusoma ripoti ya PAC leo.

 

10 years ago

Michuzi

msikilize mwenyekiti wa PAC MHE ZITTO KABWE AKISOMA RIPOTI YA ESCROW BUNGENI SASA KUPITIA KWANZA JAMII RADIO

http://www.ustream.tv/channel/kwanzajamii-radio
ama jiunge na aitv mobile uone live!

 

10 years ago

KwanzaJamii

IPTL yamdai Zitto bilioni 500/- kortini

Na Karama Kenyunko Wiki chache baada ya kumshtaki Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila, Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na wenzake wawili, sasa imemgeukia Mbunge wa Kigoma Kaskazini (Chadema), Zitto Kabwe kwa kumfungulia kesi ya madai ya fidia ya Sh. bilioni 500  Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam. IPTL pamoja na wadai wenzake wanaiomba mahakama imwamuru Zitto kulipa fidia hiyo kwa madai ya kutoa kashfa dhidi yao...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani