ZITTO AELEZA KWA NINI HAKWENDA KUSOMA TAARIFA YA PAC
![](http://api.ning.com:80/files/f5QbJIEIZ4zpTyG1CFg2EWP9SXpexZqNprj6Qp-bj4KDf2Ju7kC5cjpbNsKN649JaXaSMeLPgmI5VvN3KxRPnTTIQFxCTcJ2/zittokabwe.jpg?width=650)
Hapo juu ni ujumbe aliouandika Mwenyekiti wa PAC na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe alichokiandika kwenye akaunti yake ya Facebook leo akieleza ni kwa nini hakwenda kusoma ripoti ya PAC leo.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 May
Jeshi la Polisi Usalama Barabarani watoa taarifa ya kusitisha suala la kusoma kwa madereva nchini
Kamanda wa Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, DCP Mohammed R. Mpinga – DCP (kulia) akitoa maelezo ya kiutalaamu juu ya suala la kusoma kwa madereva ambalo kwa sasa suala hilo limesitishwa hadi hapo litakapokamilika kwa mchakato wake. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa madereva nchini, Clement Masanja. Taarifa hiyo aliitoa leo jijini katika ukumbi wa habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam. (Picha na Andrew Chale wa Modewji blog).
TAARIFA KWA UMMA
Hivi karibuni nchi yetu...
10 years ago
Mwananchi23 Mar
Zitto apata mrithi PAC
10 years ago
Vijimambo17 Mar
Zitto: Bilioni 8.5/- zimetengwa kuwamaliza wajumbe wa PAC.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Zitto-17March2015.jpg)
Takribani miezi mitatu na ushei tangu sakata la uchotwaji wa fedha zaidi ya Sh. bilioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow kutikisa nchi huku mawaziri wawili na mwanasheria mkuu wa serikali wakiondoka madarakani na katibu mkuu mmoja akichunguzwa, Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za...
10 years ago
Mtanzania23 Mar
CUF yanyakua kiti cha Zitto, PAC
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
WAJUMBE wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali, wamemchagua Mbunge wa Viti Maalumu, Amina Mwidau (CUF) kuwa mwenyekiti wa kamati hiyo.
Katika uchaguzi uliofanyika jana mjini hapa, Mwidau alichaguliwa na wajumbe wa PAC kwa kupata kura 15 dhidi ya mpinzani wake, Lucy Owenya (Chadema) aliyeambulia kura mbili.
Akizungumza baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa nafasi hiyo, Mwidau alisema atafanya kazi iliyoachwa na Zitto Kabwe wakati akiiongoza kamati hiyo kwa kuzingatia...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-GGseoK1DFMg/VRLVn6QDlgI/AAAAAAAHNK8/RVnJO0abV3c/s72-c/unnamed%2B(34).jpg)
Mrithi wa Zitto PAC ziarani Afrika Kusini
MWENYEKITI mpya wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Amina Mwidau, ameongoza wajumbe wa kamati hiyo kwa kufanya ziara nchini ya Afrika Kusini.
Wakiwa nchini humo walitembelea Bandari ya Durban, ambapo walifanya mazungumzo na viongozi wa juu wa bandari hiyo wakiongozwa na Meneja wake Vusi Khumalo.
Mwidau ambaye ameambatana na wajumbe kadhaa wa PAC akiwemo Makamu Mwenyekiti Deo Filikunjombe, Mbunge wa Tabora Mjini, Ismail Aden Rage pamoja na Mbunge wa...
10 years ago
Vijimambo09 Nov
Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki” asema Zitto
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kabwe-May30-2014.jpg)
Baadhi ya tuhuma nimezipeleka kwenye vyombo vya dola ili zichunguzwe kwani zina vielelezo vya mahala pa kuanzia (kama...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB29 Jan
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1L12qwMhnC0/VHXp0Tttg4I/AAAAAAAGzl0/i-V29PQf4zU/s72-c/unnamed%2B(19).jpg)
msikilize mwenyekiti wa PAC MHE ZITTO KABWE AKISOMA RIPOTI YA ESCROW BUNGENI SASA KUPITIA KWANZA JAMII RADIO
![](http://3.bp.blogspot.com/-1L12qwMhnC0/VHXp0Tttg4I/AAAAAAAGzl0/i-V29PQf4zU/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
ama jiunge na aitv mobile uone live!
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Majibu ya Diamond Platnumz >> kilichomtoa machozi? Kazi na Wema? hakwenda kwa Zari Uganda.. (+Audio)
Staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz amerudi kwa uzito mkubwa kwenye headlines za muziki baada ya kuachia ngoma ya ‘Utanipenda’. Baada ya kuachia video ya ngoma hiyo, leo December 21 2015 kaachia audio rasmi hewani kwenye show ya ‘Leo Tena‘ Clouds FM… kwenye stori zilizopigwa aliulizwa pia kuhusu sababu iliyofanya apost kipande cha video kilichomtoa machozi […]
The post Majibu ya Diamond Platnumz >> kilichomtoa machozi? Kazi na Wema? hakwenda kwa Zari Uganda.. (+Audio) appeared first on...