Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Taarifa ya PAC 2014

View this document on Scribd

Zitto Kabwe, MB

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ZITTO AELEZA KWA NINI HAKWENDA KUSOMA TAARIFA YA PAC

Hapo juu ni ujumbe aliouandika Mwenyekiti wa PAC na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe alichokiandika kwenye akaunti yake ya Facebook leo akieleza ni kwa nini hakwenda kusoma ripoti ya PAC leo.

 

10 years ago

TheCitizen

PAC directs TRA, Treasury to roll out 2014 Vat Act

The Parliamentary Public Accounts Committee (PAC) has directed the Treasury and Tanzania Revenue Authority (TRA) to start implementing the 2014 Value Added Tax (VAT) Act to maximize the revenue collection database in the country.

 

11 years ago

Dewji Blog

10 years ago

Michuzi

Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.

 Na Hussein Makame, MAELEZO, DodomaKAMATI za Bunge za Serikali za Mitaa (LAAC) na ile ya Hesabu za Serikali (PAC), zimeridhishwa na mafanikio na hatua zilizochukuliwa na Serikali kwa kuongeza mapato yake na kushughulikia changamoto zinazoikabili katika kutekelza majukumu yake.

Kufuatia hali hiyo, Bunge limepitisha taarifa za kamati hizo na nyingine tatu, huku Serikali ikiahidi kufanyia kazi yale yote yaliyopendekezwa kwenye taarifa hizo ili kulipeleka Taifa kule kunakotakiwa.

Taarifa za Kamati...

 

10 years ago

GPL

TAARIFA TOKA TFF LEO DESEMBA 20, 2014

MATUMIZI YA TIKETI ZA ELEKTRONIKI
Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) iliyokutana jana (Desemba 19 mwaka huu) jijini Dar es Salaam, imezingatia upungufu uliopo katika utekelezaji wa matumizi ya tiketi za elektroniki.
Hivyo, Kamati hiyo imeiagiza Sekretarieti ya TFF kuwasiliana na benki ya CRDB inayoendesha mfumo huo wa matumizi ya tiketi za elektroniki kuhusu upungufu huo na kuhakikisha...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA TOKA TFF LEOI Februari 12, 2014

TWIGA STARS IKO VIZURI KUIVAA ZAMBIA- KOCHA Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage amesema kikosi chake kiko tayari kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia itakayochezwa keshokutwa (Ijumaa) jijini Lusaka.  Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako vizuri, ingawa hakuwa tayari kutoa ahadi kuhusu...

 

11 years ago

Michuzi

11 years ago

Michuzi

TAARIFA TOKA TFF LEO Februari 21, 2014

TWIGA STARS, ZAMBIA SASA KUCHEZA FEB 28

Mechi ya pili ya raundi ya kwanza kuwania Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC) kati ya Tanzania (Twiga Stars) na Zambia (Shepolopolo) sasa itachezwa Februari 28 mwaka huu Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam.


Twiga Stars tayari ipo kambini kujiandaa kwa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 10 kamili jioni. Twiga Stars chini ya Kocha Rogasian Kaijage inafanya mazoezi yake kwenye Uwanja wa Karume ambao ni wa nyasi za bandia kama ulivyo...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA TOKA TFF LEO Februari 3, 2014

MSHABIKI MBARONI KWA TUHUMA  YA TIKETI FEKI Mshabiki mmoja anashikiliwa na Jeshi la Polisi akituhumiwa  kukutwa na tiketi bandia kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Yanga na Simba iliyochezwa jana (Februari 2 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.  Matei Cosmas (28) ambaye ni mkazi wa Buza Njiapanda Kitunda, Dar es Salaam amefunguliwa jalada namba CHA/IR/900/2014 kwenye Kituo cha Polisi Chang’ombe akidaiwa kupatikana na tiketi bandia.  Shirikisho la Mpira wa Miguu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani