CCM, CUF, Chadema washambuliwa
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amevishambulia vyama vya CCM, CUF na Chadema kuwa vinaharibu Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutaka misimamo yao ya vyama itawale vikao vya bunge hilo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
CHADEMA yavilipua CCM, CUF Zanzibar
WAKATI Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) ikitimiza miaka mitatu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema mfumo wa serikali hiyo Zanzibar umeshindwa kudhibiti ufisadi na kuua dhana ya demokrasia...
10 years ago
Vijimambo23 Apr
Msajili avipiga mkwara CCM, Chadema, CUF
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2694446/highRes/997484/-/maxw/600/-/xa75lpz/-/msajjili+picha.jpg)
Dar es Salaam. Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama kurekebisha katiba zao kwenye kipengele kinachoruhusu kuanzishwa kwa vikosi vya ulinzi na usalama.Vyama vyenye vikosi cha ulinzi na usalama ni Chadema chenye Red Brigade, CCM (Green Guard), CUF (Blue Guard) na sasa ACT-Wazalendo (ACT Amani).Mutungi alisema uanzishwaji wa vikundi hivyo unakwenda kinyume na Katiba ya nchi inayolipa jeshi la polisi mamlaka ya...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
CCM, Chadema, CUF wanavuruga Bunge, asema Dovutwa
Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahmi Dovutwa alichafua hali ya hewa baada ya kuvituhumu vyama vya CCM, Chadema na CUF kuwa ndiyo vinavuruga Bunge kwa sababu ya misimamo yao.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s72-c/gdfhgdf.jpg)
WABUNGE WENGINE CHADEMA NA CUF MBIONI KUTIKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s640/gdfhgdf.jpg)
Taarifa kutoka kwa baadhi ya watu waliokaribu na wabunge hao zinasema, tayari wawakilishi hao wa wananchi, wamekamilisha majadiliano na baadhi ya viongozi wakuu wa vyama wanavyotarajia kujiunga navyo.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa MwanaHALISI ONLINE, hatua ya kuondoka kwa wabunge hao katika kipindi hiki cha kuelekea...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s72-c/MMGM4299.jpg)
CCM YALAANI VIKALI VURUGU ZILIZOFANYWA NA WAFUASI WA CHADEMA NA CUF KWA VIONGOZI WAO WA SERIKALI ZA MITAA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-n8AlC8yli5s/VK-cHjr7FvI/AAAAAAAG8LY/c45OIeQp1rk/s1600/MMGM4299.jpg)
Kikao hicho cha Kamati Kuu kitatanguliwa na kikao cha Sekretarieti ya Halmashauri Kuu kitakachofanyika Januari 10, jijini Dar es Salaam.
Wakati huo huo CCM inalaani vikali vurugu zilizofanywa na wafuasi wa Chadema na CUF kwa viongozi wetu wa serikali za mitaa katika maeneo kadhaa nchini ikiwemo mikoa ya...
11 years ago
MichuziKAMPENI ZA CCM KALENGA ZATINGA KIJIJI ALICHOZALIWA MGOMBEA WA CHADEMA, MWENYEKITI WA CHADEMA NA WANACHAMA 50 WATIMKIA CCM
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGa0Y6kLfZla91oqfmkX7w6XfoZdF-i6o-K1i5EBO8j9GeqCxhzlIQnp3-EF77F3P4P-9rBrLEwU3ArjG3ZGt48n/1.jpg?width=650)
9 years ago
Mwananchi27 Aug
Chadema, CUF wavutana Musoma
Vyama vya CUF na Chadema ambavyo ni miongoni mwa vinne vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kila kimoja kimeeleza kitasimamisha mgombea ubunge Musoma Mjini kinyume na makubaliano yao.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania