CHADEMA yavilipua CCM, CUF Zanzibar
WAKATI Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) ikitimiza miaka mitatu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema mfumo wa serikali hiyo Zanzibar umeshindwa kudhibiti ufisadi na kuua dhana ya demokrasia...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo05 Mar
CCM, CUF, Chadema washambuliwa
MWENYEKITI wa Chama cha UPDP, Fahmi Dovutwa amevishambulia vyama vya CCM, CUF na Chadema kuwa vinaharibu Bunge Maalumu la Katiba, kutokana na kutaka misimamo yao ya vyama itawale vikao vya bunge hilo.
10 years ago
Vijimambo23 Apr
Msajili avipiga mkwara CCM, Chadema, CUF
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2694446/highRes/997484/-/maxw/600/-/xa75lpz/-/msajjili+picha.jpg)
Dar es Salaam. Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama kurekebisha katiba zao kwenye kipengele kinachoruhusu kuanzishwa kwa vikosi vya ulinzi na usalama.Vyama vyenye vikosi cha ulinzi na usalama ni Chadema chenye Red Brigade, CCM (Green Guard), CUF (Blue Guard) na sasa ACT-Wazalendo (ACT Amani).Mutungi alisema uanzishwaji wa vikundi hivyo unakwenda kinyume na Katiba ya nchi inayolipa jeshi la polisi mamlaka ya...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
CCM, Chadema, CUF wanavuruga Bunge, asema Dovutwa
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s72-c/gdfhgdf.jpg)
WABUNGE WENGINE CHADEMA NA CUF MBIONI KUTIKIA CCM
![](https://1.bp.blogspot.com/-NWrG1PCyc9I/XpK-Zh_YV-I/AAAAAAABnIc/QaCxcjjr5oUauo3v8zv2s0sMCe_ilYlhACLcBGAsYHQ/s640/gdfhgdf.jpg)
Taarifa kutoka kwa baadhi ya watu waliokaribu na wabunge hao zinasema, tayari wawakilishi hao wa wananchi, wamekamilisha majadiliano na baadhi ya viongozi wakuu wa vyama wanavyotarajia kujiunga navyo.
Kwa mujibu wa mtoa taarifa wa MwanaHALISI ONLINE, hatua ya kuondoka kwa wabunge hao katika kipindi hiki cha kuelekea...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIrxlbr7xG34tSnsch1tz9iB57DkR3ZIIbnS3XB7V8mxEFAnlPlhehZeUn8AhixMANu6KAzoDWbuag7voJUsCxAZ/BACKMIZENGWEcopy.jpg?width=650)
CCM, CUF ZANZIBAR HALI TETE!
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Zanzibar: CUF yashtumu wito wa CCM
10 years ago
Mtanzania01 Apr
CCM, CUF wavutana vurugu Zanzibar
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) umelaani na kusikitishwa na kauli za viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kuitupia lawama CCM kwa kudai imehusika katika kushambuliwa wafuasi wao.
Wakati CCM wakitoa kauli hiyo, CUF kimemtupia lawama Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Balozi Seif Ali Idd kuwa ndiye amekuwa akitoa kauli za kuchochea vurugu visiwani humo.
Taarifa ya UVCCM Zanzibar kulaani matamshi hayo ilitolewa jana kwa vyombo vya habari na...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Vyama vya CCM, CUF wavutana kura ya maoni Zanzibar
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZuGI_DUyGPE/VYrqckc8PZI/AAAAAAAHjnA/k2QT5f1q1sM/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
CCM ZANZIBAR YALAANI CUF KUSUSIA VIKAO VYA BARAZA