Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zanzibar: CUF yashtumu wito wa CCM

Chama cha CUF visiwani Zanzibar kimewataka wananchi visiwani humo kupuuza wito wa chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwataka wazanzibari wajiandae kwa marudio ya uchaguzi visiwani humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

CCM, CUF wavutana vurugu Zanzibar

baloz Seif IddNa Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) umelaani na kusikitishwa na kauli za viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kuitupia lawama CCM kwa kudai imehusika katika kushambuliwa wafuasi wao.
Wakati CCM wakitoa kauli hiyo, CUF kimemtupia lawama Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Balozi Seif Ali Idd kuwa ndiye amekuwa akitoa kauli za kuchochea vurugu visiwani humo.
Taarifa ya UVCCM Zanzibar kulaani matamshi hayo ilitolewa jana kwa vyombo vya habari na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA yavilipua CCM, CUF Zanzibar

WAKATI Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) ikitimiza miaka mitatu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema mfumo wa serikali hiyo Zanzibar umeshindwa kudhibiti ufisadi na kuua dhana ya demokrasia...

 

10 years ago

GPL

CCM, CUF ZANZIBAR HALI TETE!

Hali tete! Hiyo ndiyo kauli inayoweza kutumika kuelezea hali halisi ya kisiasa visiwani Zanzibar katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu 2015 kufuatia vitendo vya uvunjaji wa amani vinavyoendelea visiwani humo, tukio jipya likiwa ni wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) kushambuliwa kwa mapanga na kujeruhiwa vibaya. Kwa mujibu wa Naibu Mkurugenzi wa Haki za Binadamu wa CUF, Bibi Pavu Juma, katika tukio hilo vijana waliokuwa...

 

10 years ago

Michuzi

CCM ZANZIBAR YALAANI CUF KUSUSIA VIKAO VYA BARAZA

Na Mwashungi Tahir na Rahma Khamis-Maelezo Zanzibar Chama cha Mapinduzi CCM kimelaani kitendo kilichofanywa na Wajumbe wa Baraza la wawakilishi kupitia chama cha Wananchi (CUF) kutoka ndani ya kikao halali cha Baraza la Wawakilishi wakati wa mjadala wa kupitisha Mswaada wa sheria wa matumizi ya fedha za serikali kwa mwaka 2015/2016 ukiwa bado unaendelea.  Akizungumza na Waandishi wa habari Ofisini kwake Kisiwandui Naibu Katibu mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai amesema kitendo kilichofanywa...

 

10 years ago

Mwananchi

Vyama vya CCM, CUF wavutana kura ya maoni Zanzibar

Wakati Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema kitafanya kampeni maalumu kuhakikisha kura ya maoni ya Katiba ya Muungano inashinda Zanzibar, Chama cha Wananchi (CUF) kimesema kinajipanga kufanya kampeni nzito kupinga rasimu hiyo.

 

10 years ago

Vijimambo

Zanzibar yatibuka.CUF wafurushwa kwa mabomu, Nassoro Moyo afukuzwa CCM.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi.
Jeshi la Polisi Zanzibar, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliokuwa wakikaidi amri ya kutotoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mkutano wa hadhara. Inakumbukwa kwamba baada ya wafuasi wa CUF kushambuliwa mwishoni wa mwezi uliopita wakitoka katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, polisi waliitisha mkutano nabaadhi ya vyama vya siasa na...

 

9 years ago

Michuzi

URUWA WAOMBA KUKUTANA NA VIONGOZI WA ZAC, CUF,CCM NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.


Katibu mkuu wa chama cha ADA-TADEA, John Shibuda akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na viongozi wa mashirkiano ya umoja wa vyama vya UDA, TADEA,UDP,UPDP,na SAU kwa kuwaomba viongozi wa ZEC,CUF,CCM na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ili waweze kukutana na kuzungumza pamoja kuhusiana na migoro wa kisiasa nchini humo, ameyasema leo jijini Dar es Salaam.
Katibu mkuu wa chama cha ADA-TADEA, John Shibuda katikati akizungumza na waandishi a habari jijini Dar es Salaam leo, kutoka kushoto...

 

9 years ago

Michuzi

WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA

Na Chalila Kibuda, Globu ya JamiiWAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa Chama chama Wananchi (CUF)wamepinga matokeo ya uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kufutwa  kutokana na mtu aliyefanya utenguzi huo ni utashi wake na sio Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC).
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza  mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...

 

10 years ago

Vijimambo

KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.

WAJUMBE wa Kamati Maalum ya CCM Zanzibar wakiwa katika ukumbi wa Mkutano Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandua kwa ajili ya kupitisha Jina la Mgombea Nafasi ya Urais wa Zanzibar Dk. Shein,MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Makamu wa Rais wa Dkt. Mohammed Gharib Bilal wakati wa Kikao cha Kamati Maalum ya CCM Zanzibar ilokutana kupitisha Jina la Mgombea wa Urais wa Zanzibar.VIONGOZI wa Meza Kuu wakiwa wamesimama baada ya kuingia katika ukumbi wa Mkutano.NAIBU Katibu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani