Zanzibar: CUF yashtumu wito wa CCM
Chama cha CUF visiwani Zanzibar kimewataka wananchi visiwani humo kupuuza wito wa chama tawala Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kuwataka wazanzibari wajiandae kwa marudio ya uchaguzi visiwani humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania01 Apr
CCM, CUF wavutana vurugu Zanzibar
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
UMOJA wa Vijana wa CCM (UVCCM) umelaani na kusikitishwa na kauli za viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF) kuitupia lawama CCM kwa kudai imehusika katika kushambuliwa wafuasi wao.
Wakati CCM wakitoa kauli hiyo, CUF kimemtupia lawama Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Balozi Seif Ali Idd kuwa ndiye amekuwa akitoa kauli za kuchochea vurugu visiwani humo.
Taarifa ya UVCCM Zanzibar kulaani matamshi hayo ilitolewa jana kwa vyombo vya habari na...
11 years ago
Tanzania Daima26 Jan
CHADEMA yavilipua CCM, CUF Zanzibar
WAKATI Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK) ikitimiza miaka mitatu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema mfumo wa serikali hiyo Zanzibar umeshindwa kudhibiti ufisadi na kuua dhana ya demokrasia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HRXB3pTHxIrxlbr7xG34tSnsch1tz9iB57DkR3ZIIbnS3XB7V8mxEFAnlPlhehZeUn8AhixMANu6KAzoDWbuag7voJUsCxAZ/BACKMIZENGWEcopy.jpg?width=650)
CCM, CUF ZANZIBAR HALI TETE!
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ZuGI_DUyGPE/VYrqckc8PZI/AAAAAAAHjnA/k2QT5f1q1sM/s72-c/unnamed%2B%252830%2529.jpg)
CCM ZANZIBAR YALAANI CUF KUSUSIA VIKAO VYA BARAZA
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Vyama vya CCM, CUF wavutana kura ya maoni Zanzibar
10 years ago
Vijimambo20 Apr
Zanzibar yatibuka.CUF wafurushwa kwa mabomu, Nassoro Moyo afukuzwa CCM.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Idd-20April2015.jpg)
Jeshi la Polisi Zanzibar, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi (CUF) waliokuwa wakikaidi amri ya kutotoka wilaya moja kwenda nyingine kuhudhuria mkutano wa hadhara. Inakumbukwa kwamba baada ya wafuasi wa CUF kushambuliwa mwishoni wa mwezi uliopita wakitoka katika mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja, polisi waliitisha mkutano nabaadhi ya vyama vya siasa na...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-DWK8oofUH4U/VnkvSYwpxeI/AAAAAAAIN1Q/k1Kcv-Rsd08/s72-c/IMG_8985.jpg)
URUWA WAOMBA KUKUTANA NA VIONGOZI WA ZAC, CUF,CCM NA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-DWK8oofUH4U/VnkvSYwpxeI/AAAAAAAIN1Q/k1Kcv-Rsd08/s640/IMG_8985.jpg)
Katibu mkuu wa chama cha ADA-TADEA, John Shibuda akizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na viongozi wa mashirkiano ya umoja wa vyama vya UDA, TADEA,UDP,UPDP,na SAU kwa kuwaomba viongozi wa ZEC,CUF,CCM na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ili waweze kukutana na kuzungumza pamoja kuhusiana na migoro wa kisiasa nchini humo, ameyasema leo jijini Dar es Salaam.
![](http://2.bp.blogspot.com/-nHNqjMbdGUw/VnkvR5LpSpI/AAAAAAAIN1M/Vf2q1ae2-I0/s640/IMG_8949.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ksmOm5Zogvo/VkCGzFLkIII/AAAAAAAIE_Q/p-lV-eQ7aTY/s72-c/IMG_3540.jpg)
WAJUMBE WA BARAZA LA WAKILISHI WA CUF ZANZIBAR WAMEPINGA MATOKEO YA UCHAGUZI MKUU WA ZANZIBAR KUFUTWA
Wajumbe 27 wa baraza hilo wamewasili jijini Dar es Salaam kuzungumza na waandishi wa habari juu ya kizungumkuti cha matokeo ya uchaguzi kufutwa huku wakiwa wenyewe hatambui hatua hiyo.
Akizungumza mmoja wa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi,...
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR. YAPITISHA JINA LA DK SHEIN KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR KUPITIA CCM.