Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mlipuko wapiga ngome ya Hizbollah

Watu wawili wameripotiwa kuuawa na wengine 20 kujeruhiwa kufuatia mlipuko katika ngome kuu ya Hezbollah kusini mwa Beirut

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Mlipuko wapiga jengo la usalama Misri

Mlipuko mkubwa umepiga jesgo la usalama nchini Misri na kusababisha vifo vya watu 14 na 100 kujeruhiwa

 

5 years ago

CCM Blog

WAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI LA WAPIGA KURA NEC

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu mafanikio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Kwanza kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Nec, Dkt.  Wilson Charles Mahera Baadhi ya viongozi  wa Vyama vya Siasa na wadau wengine wakisikiliza kwa makini wakati Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Kaijage akihutubia katika mkutano...

 

5 years ago

Michuzi

WAPIGA KURA WAFIKIA MIL. 30 UBORESHAJI DAFTARI WAPIGA KURA NEC

Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Semistocles Kaijage akizungumza wakati wa mkutano na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusu mafanikio ya uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura Awamu ya Kwanza kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Mwalimu Nyerere, Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi wa Nec, Dkt.  Wilson Charles Mahera Baadhi ya viongozi  wa Vyama vya Siasa na wadau wengine wakisikiliza kwa makini wakati Mwenyekiti wa NEC, Jaji mstaafu Kaijage akihutubia katika mkutano...

 

9 years ago

Mtanzania

Lowassa atikisa ngome ya Zitto

OTH_6079NA MAREGESI PAUL, KIGOMA

MAFURIKO ya mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, jana yalihamia katika Mji wa Kigoma ambako Zitto Kabwe anagombea ubunge kupitia Chama cha ACT- Wazalendo.

Kama ilivyokuwa katika maeneo mengine alikopita mgombea huyo, umati mkubwa ulijitokeza katika mkutano wake wa kampeni za urais uliofanyika katika uwanja wa mikutano wa Mwanga ambao umewashangaza hata wakazi wa eneo hilo waliosema ni aghalabu uwanja huo kujaa.

Akizungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

AU yateka ngome ya mwisho ya Al shaabab

Baada ya vita vikali vikosi vya muungano wa Afrika vilivyoko Somalia vikishirikiana na vile vya serikali vimeuteka mji uliokua ngome ya mwisho ya Alshaabab wa Baardheere

 

9 years ago

GPL

UFARANSA YASHAMBULIA NGOME YA IS, SYRIA

Mabomu yakiripuka. Moja kati ya Ndege za Kivita za Ufaransa zilizoshambulia Raqqa, Syria. Eneo la Mji wa Raqqa lililoshambuliwa na Ufaransa. Raqqa, Syria NDEGE za Kijesahi za Ufaransa zimefanya shambulio zito kwenye Mji wa Raqqa nchini Syria kuwalenga wapiganaji wa ISIS usiku wa kaamkia leo.…

 

9 years ago

Mtanzania

CCM yaiteka ngome ya CUF

Pg 3Waandishi Wetu, Zanzibar na Dar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar, kimeitikisa ngome kuu ya Chama Cha Wananchi (CUF) kwenye mkutano wa ufunguzi wa kampeni uliofanyika Kisiwa cha Pemba.

Pemba ni ngome ya chama hicho cha upinzani visiwani Zanzibar kutokana na kuwa na nguvu kubwa,  huku CCM ikiwa na mizizi Unguja.

Mkutano wa CCM uliofanyika jana katika Uwanja wa Gombani ya Kale Mkoa wa Kaskazini Pemba Wilaya ya Chakechake, inaweza kutafsiriwa kuwa ilitingishwa kutokana na umati mkubwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi Wakurdi waiteka ngome ya IS

Wanajeshi wa Kikurdi kaskazini mwa Syria wanasema wameingia katika himaya ya Islamic State, na kuiteka ngome ya kijeshi katika mkoa wa Raqqa.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ngome ya al-Shabaab yadhibitiwa Somalia

Vikosi vya Ethiopia na Somalia vimedhibiti Mji wa Radboore nchini Somalia

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani