Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi Wakurdi waiteka ngome ya IS

Wanajeshi wa Kikurdi kaskazini mwa Syria wanasema wameingia katika himaya ya Islamic State, na kuiteka ngome ya kijeshi katika mkoa wa Raqqa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KINANA , NAPE WAITEKA KIBAHA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wakazi wa Kibaha mjini wakati wakiwasili kwenye uwanja wa mkutano . Kikundi cha ngoma cha Kisamamwe kikitumbuiza ngoma ya Afrika kabla ya kuanza kwa mkutano wa hadhara ambapo Katibu Mkuu wa CCM alihutubia wananchi wa Kibaha mjini. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kibaha mjini ambapo aliwaambia wapinzani wamekosa hoja ya msingi kiasi cha kuamua...

 

9 years ago

Mwananchi

Malope, Diamond waiteka Krismasi

Nyota wa muziki wa Injili kutoka Afrika Kusini, Dk Rebecca Malope ameonyesha mfano kwa waimbaji wa muziki huo nchini baada ya kujituma, kuimba muziki huo laivu na kufanya vizuri katika tamasha la kumshukuru Mungu la Krismasi lililofanyika juzi kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tumesambaratisha IS,Wakurdi

Serikali ya Kurdi imesema tayari imekwisha sambaratisha kikundi cha wapiganaji wa Islamic State.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen

Taarifa za hivi punde kutoka mji mkuu wa Yemen, Sanaa zinasema makabiliano makali yametokea kati ya waasi wa Houthi na vikosi vya usalama katika ikulu ya Rais.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji wa Jihad waiteka miji zaidi

Wapiganaji wa Jihadi waendelea kuyateka maeneo zaidi nchini Iraq,baada ya kuliteka eneo moja la kivuko karibu na mpaka wa Syria,

 

11 years ago

Mwananchi

‘Mbwa Mwitu’ waiteka mitaa Dar

>Polisi jijini Dar es Salaam wamelazimika kutumia mabomu kulitawanya kundi la vijana zaidi ya 300 wanaojiita ‘Mbwa Mwitu’ lililokuwa limewavamia wananchi na kupora mali kwenye nyumba na maduka.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya

Watu wenye silaha wameshambulia mojawepo ya hoteli maarufu zaidi katika mji mkuu wa Libya-Tripoli.

 

10 years ago

Mwananchi

Makocha wa Ulaya waiteka Ligi Kuu Bara

Hakuna shaka ushindani msimu ujao utakuwa baina ya makocha wa kigeni dhidi ya wazawa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yawadondoshea wakurdi silaha

Ndege za kijeshi za Marekani zimedondosha silaha kwa wapiganaji wa kikurdi wanaolinda mji wa Kobane kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani