Wanajeshi Wakurdi waiteka ngome ya IS
Wanajeshi wa Kikurdi kaskazini mwa Syria wanasema wameingia katika himaya ya Islamic State, na kuiteka ngome ya kijeshi katika mkoa wa Raqqa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l_iLkj2E_3Y/VBxdnwV-7RI/AAAAAAAAQ8g/CtQY0fFCTs4/s72-c/4.jpg)
KINANA , NAPE WAITEKA KIBAHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l_iLkj2E_3Y/VBxdnwV-7RI/AAAAAAAAQ8g/CtQY0fFCTs4/s1600/4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-tSYfVF68Q5I/VBxdurUHTPI/AAAAAAAAQ8o/AJvyUz7d1pU/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-AW-ByUrry_U/VBxdx_FhZkI/AAAAAAAAQ8w/Mel9i-U7NHY/s1600/6.jpg)
9 years ago
Mwananchi27 Dec
Malope, Diamond waiteka Krismasi
Nyota wa muziki wa Injili kutoka Afrika Kusini, Dk Rebecca Malope ameonyesha mfano kwa waimbaji wa muziki huo nchini baada ya kujituma, kuimba muziki huo laivu na kufanya vizuri katika tamasha la kumshukuru Mungu la Krismasi lililofanyika juzi kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee, Dar es Salaam.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Tumesambaratisha IS,Wakurdi
Serikali ya Kurdi imesema tayari imekwisha sambaratisha kikundi cha wapiganaji wa Islamic State.
10 years ago
BBCSwahili20 Jan
Waasi 'waiteka' ikulu ya Rais Yemen
Taarifa za hivi punde kutoka mji mkuu wa Yemen, Sanaa zinasema makabiliano makali yametokea kati ya waasi wa Houthi na vikosi vya usalama katika ikulu ya Rais.
11 years ago
BBCSwahili22 Jun
Wapiganaji wa Jihad waiteka miji zaidi
Wapiganaji wa Jihadi waendelea kuyateka maeneo zaidi nchini Iraq,baada ya kuliteka eneo moja la kivuko karibu na mpaka wa Syria,
11 years ago
Mwananchi![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2325042/highRes/588962/-/maxw/600/-/xyywgoz/-/mbwa.jpg)
‘Mbwa Mwitu’ waiteka mitaa Dar
>Polisi jijini Dar es Salaam wamelazimika kutumia mabomu kulitawanya kundi la vijana zaidi ya 300 wanaojiita ‘Mbwa Mwitu’ lililokuwa limewavamia wananchi na kupora mali kwenye nyumba na maduka.
10 years ago
BBCSwahili27 Jan
Wapiganaji waiteka nyara hoteli Libya
Watu wenye silaha wameshambulia mojawepo ya hoteli maarufu zaidi katika mji mkuu wa Libya-Tripoli.
10 years ago
Mwananchi05 Aug
Makocha wa Ulaya waiteka Ligi Kuu Bara
Hakuna shaka ushindani msimu ujao utakuwa baina ya makocha wa kigeni dhidi ya wazawa kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara.
10 years ago
BBCSwahili20 Oct
Marekani yawadondoshea wakurdi silaha
Ndege za kijeshi za Marekani zimedondosha silaha kwa wapiganaji wa kikurdi wanaolinda mji wa Kobane kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania