KINANA , NAPE WAITEKA KIBAHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l_iLkj2E_3Y/VBxdnwV-7RI/AAAAAAAAQ8g/CtQY0fFCTs4/s72-c/4.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wakazi wa Kibaha mjini wakati wakiwasili kwenye uwanja wa mkutano .
Kikundi cha ngoma cha Kisamamwe kikitumbuiza ngoma ya Afrika kabla ya kuanza kwa mkutano wa hadhara ambapo Katibu Mkuu wa CCM alihutubia wananchi wa Kibaha mjini.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kibaha mjini ambapo aliwaambia wapinzani wamekosa hoja ya msingi kiasi cha kuamua...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--tMdbBUSIv0/UxOVRS_oaII/AAAAAAAAMGw/Qls832_IdpI/s72-c/17.jpg)
KINANA AITEKA KIBAHA KIJIJNI
![](http://1.bp.blogspot.com/--tMdbBUSIv0/UxOVRS_oaII/AAAAAAAAMGw/Qls832_IdpI/s1600/17.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DLusaSmXICw/UxOVeBX34WI/AAAAAAAAMHA/XHte0BYlnSc/s1600/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Sep
Kinana atinga Kibaha mjini, akagua na kufungua miradi ya maendeleo
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kuvyeka miti wakati wa uzinduzi wa kambi ya Umoja wa Vijana wa CCM, ya mafunzo ya kilimo katika eneo la Boko Timiza, Kibaha mjini mkoa wa Pwani. Katika kambi hiyo vijana wanatarajiwa kufanya mafunzo ya kilimo kwenye shamba la ekari 25.
Kijana akihamasisha vijana wenzake, walioko kwenye kambi hiyo ya mafunzo ya kilimo, eneo la Boko Timiza wilaya ya Kibaha mjini.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipanda mti kwenye kiwanja...
11 years ago
Tanzania Daima22 May
Kinana, Nape wategwa
VYAMA vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi kupitia Umoja wao wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimemtaka Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuacha kulalamika dhidi ya mawaziri mizigo badala yake akiri...
10 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-DG756tUltwU/VZAoFpEJA2I/AAAAAAAAwNM/a2JKyW-NR_c/s640/1.jpg)
KINANA, NAPE WAFUNIKA JIJINI MWANZA
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Kinana, Nape hawamjui mbaya wa nchi
KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia viongozi wake waandamizi, Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo ya...
10 years ago
Mwananchi24 Sep
Kinana, Nape wakerwa na EFD, BVR
10 years ago
Mwananchi12 Mar
Kinana abanwa, Nape ampiga kijembe Dk Slaa