Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana, Nape wategwa

VYAMA vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi kupitia Umoja wao wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimemtaka Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuacha kulalamika dhidi ya mawaziri mizigo badala yake akiri...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KINANA , NAPE WAITEKA KIBAHA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wakazi wa Kibaha mjini wakati wakiwasili kwenye uwanja wa mkutano . Kikundi cha ngoma cha Kisamamwe kikitumbuiza ngoma ya Afrika kabla ya kuanza kwa mkutano wa hadhara ambapo Katibu Mkuu wa CCM alihutubia wananchi wa Kibaha mjini. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kibaha mjini ambapo aliwaambia wapinzani wamekosa hoja ya msingi kiasi cha kuamua...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana, Nape hawamjui mbaya wa nchi

KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia viongozi wake waandamizi, Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana, Nape wakerwa na EFD, BVR

>Chama Cha Mapinduzi kimeonyesha wasiwasi kuhusu matumizi ya teknolojia ya kielektroniki katika uandikishaji wa wapigakura na mashine za ukusanyaji wa kodi (EFD).

 

10 years ago

GPL

KINANA, NAPE WAFUNIKA JIJINI MWANZA

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapigia saluti, maelfu ya wananchi, alipowasili kuhutubia mkutano wake wa hadhara aliofanya jana kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Mwanza.  Katibu wa…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini Kinana na Nape hawaanzishi chama chao?

NAKUMBUKA kisa cha Abunuwasi. Vingi kati ya visa vyake ambapo kwa wale waliobahatika kusoma Hekaya za Abunuwasi vinaonekana ni vya kitoto na visivyo na uhalisia. Lakini baada ya tafakari fupi,...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA, NAPE WASHIRIKI UVUNAJI CHAI,MUFINDI

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye wakishiriki kuvuna majani ya chai, katika shamba la Uniliver, eneo la Ngwazi, katika wilaya ya Mufundi mkoani Iringa, leo Oktoba 10, 2014. Kinana yupo katika ziara ya mkoa huo, kukagua na kuhimiza utekelezaji wa ilani ya CCM. (Picha na Bashir Nkoromo).

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana abanwa, Nape ampiga kijembe Dk Slaa

Wananchi wa Kijiji cha Msisi katika Tarafa ya Mundemu, juzi walizuia kwa mabango msafara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapiduzi (CCM), Abdulrahman Kinana wakilalamikia shule yao kutelekezwa tangu 2011.

 

10 years ago

Vijimambo

ZIARA YA KINANA NA NAPE JIMBO LA MONDULI YAFANA

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasha umeme kama ishara ya kuzindua umeme katika kijiji cha Lolkisale.Mradi wa umeme vijijini (REA) ni mradi unaodhaminiwa na serikali ya Tanzania kwa asilimia 100%.Mbunge wa Jimbo la Monduli ,Waziri Mkuu Mstaafu Ndgu Edward Lowassa akiwasalimu wananchi wa Lolkisale mara baada ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kuzindua rasmi umeme kijijini hapo.Wananchi wa Lolkisale wakisikiliza hotuba za viongozi wao.Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani