ZIARA YA KINANA NA NAPE JIMBO LA MONDULI YAFANA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Xs9Wa51X0sc/VQM6FX4p8jI/AAAAAAAAYBM/l8ZkFPyE98s/s72-c/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwasha umeme kama ishara ya kuzindua umeme katika kijiji cha Lolkisale.Mradi wa umeme vijijini (REA) ni mradi unaodhaminiwa na serikali ya Tanzania kwa asilimia 100%.
Mbunge wa Jimbo la Monduli ,Waziri Mkuu Mstaafu Ndgu Edward Lowassa akiwasalimu wananchi wa Lolkisale mara baada ya Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kuzindua rasmi umeme kijijini hapo.
Wananchi wa Lolkisale wakisikiliza hotuba za viongozi wao.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-KSchzmCZKaU/VPkx6EKv00I/AAAAAAAC09Y/rlB2Qbs0nsQ/s72-c/_MG_8927.jpgb.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA JIMBO LA MPWAPWA NA KIBAKWE,LEO KUWASILI JIMBO LA KONGWA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-KSchzmCZKaU/VPkx6EKv00I/AAAAAAAC09Y/rlB2Qbs0nsQ/s1600/_MG_8927.jpgb.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-O3A1WiaXpj4/VRG_JmVQEuI/AAAAAAAC2OU/Zo_NN4jZCNU/s72-c/5.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU NDUGU KINANA NDANI YA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI,LEO KUUNGURUMA JIMBO LA VUNJO MKOANI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-O3A1WiaXpj4/VRG_JmVQEuI/AAAAAAAC2OU/Zo_NN4jZCNU/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-BtIfimFdQbw/VRG_KjRQm5I/AAAAAAAC2Og/k3GR8kVeoMY/s1600/6.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RIryMEqSt_U/VYmn786lRLI/AAAAAAAC7Xg/H67iMyved_U/s72-c/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AMALIZA ZIARA YAKE JIMBO LA MISUNGWI,KESHO KUVAMIA JIMBO LA KWIMBA MKOANI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-RIryMEqSt_U/VYmn786lRLI/AAAAAAAC7Xg/H67iMyved_U/s640/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana,Leo aliendelea na ziara yake katika jimbo la Misungwi linaloongozwa na Mh. Charles Kitwanga ambaye pia ni naibu Waziri wa Nishati na Madini akitembelea maeneo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-_hlu42lEO8A/VY7lI-0TNwI/AAAAAAAC7sQ/T0qoKLbJXqM/s72-c/4.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA LEO JIMBO LA NYAMAGANA,KESHO KUUNGURUMA LIVE JIMBO LA ILEMELA JIJINI MWANZA
![](http://4.bp.blogspot.com/-_hlu42lEO8A/VY7lI-0TNwI/AAAAAAAC7sQ/T0qoKLbJXqM/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LE-5Iv_7wMk/VLq4QPOEAwI/AAAAAAACxyE/R87U9snIsNE/s72-c/7'.jpg)
ZIARA YA KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA YAFANA WILAYA YA DIMANI MKOA WA MAGHARIBI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-LE-5Iv_7wMk/VLq4QPOEAwI/AAAAAAACxyE/R87U9snIsNE/s1600/7'.jpg)
10 years ago
Dewji Blog10 Mar
Ziara ya Kinana jimbo la LUSINDE
![](http://1.bp.blogspot.com/-OTq-O52rS7o/VP3vgXlWQxI/AAAAAAAAXx8/iPugK3AuB6Q/s1600/1.jpg)
Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde akielezea maendeleo ya ujenzi wa Shule ya msingi Lowasa kwa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika kijiji cha Muungano wilaya ya Chamwino mkoani Dodoma.
![](http://3.bp.blogspot.com/-BsZByfBu_9s/VP3vkzceftI/AAAAAAAAXzE/bj8R06Bmij0/s1600/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana(kushoto) akimuonyesha Mbunge wa Jimbo la Mtera Ndugu Livingstone Lusinde namna ya kufyatua matofali wakati wa kushiriki ujenzi wa shule ya msingi Lowasa.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kupampu maji ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-GAmf78p6AJY/VYws_KB-zaI/AAAAAAAAfoc/V-Ns2i79qkI/s72-c/1.jpg)
ZIARA YA KINANA JIMBO LA SUMVE
![](http://4.bp.blogspot.com/-GAmf78p6AJY/VYws_KB-zaI/AAAAAAAAfoc/V-Ns2i79qkI/s640/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cO1_CpNgNu0/VYwta_XMBmI/AAAAAAAAfrU/xW_8U-RyHuI/s640/6.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Mx6HHHj3Fgs/VYwtcGhNWBI/AAAAAAAAfrg/jWa_lTv65Ho/s640/8.jpg)
10 years ago
Dewji Blog09 Mar
Kinana, Nape wazidi kukata mbuga ziara ya Dodoma, leo watinga Chamwino
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (katikati), akishiriki kuchimba shimo la choo cha Shule Mpya ya Msingi ya Kikwete, eneo l;a Chamwino Ikulu, Jimbo la Chilonwa wakati wa ziara yake ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua miradi inayotekelezwa kwa kufuata Ilani ya Uchaguzi ya CCM, katika Wilaya ya Chamwino, Mkoa wa Dodoma leo.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akivishwa chombo chenye dawa aliposhiriki kupulizia dawa za kuua wadudu katika mradi wa shamba la zabibueneo la Chinangali...
10 years ago
Dewji Blog28 Jun
Ziara ya Kinana katika jimbo la Nyamagana
![](http://4.bp.blogspot.com/-b6IqNdZiSKI/VY9y_KDPeJI/AAAAAAAAf7Y/-lmq5eswCX0/s640/2.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi kutoka wilaya ya Nyamagana wanaounda makundi ya Machinga,Bodaboda, na Mama Lishe kwenye uwanja wa CCM Kirumba mjini Mwanza.
![](http://4.bp.blogspot.com/-fww6ubGfakc/VY9zAW49xmI/AAAAAAAAf7k/UORgLf2EWUY/s640/22.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na makundi ya Mama Lishe ,Machinga na Boda boda katika kikao kilichofanyika kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
![](http://2.bp.blogspot.com/-GE_xqb02TSI/VY9zA0KEh_I/AAAAAAAAf7w/bS0tV9YBfI8/s640/17.jpg)
Baadhi ya Mama lishe waliohudhulia kikao na Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Ur-8Pgzj8f0/VY9zhKkG_II/AAAAAAAAf8E/H-pLQ0FEsyw/s640/18.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana...