Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana, Nape hawamjui mbaya wa nchi

KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia viongozi wake waandamizi, Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana, Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo nchini?

KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM), kupitia viongozi wake waandamizi, Abdulrahaman Kinana na Katibu wa Itikadi na Unezi Nape Nnauye, hawajui mbaya wa maendeleo ya nchi na ndiyo...

 

9 years ago

GPL

NAPE APATA AJALI MBAYA LINDI

KATIBU wa Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye amepata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam. Nape alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akisafiria aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka eneo la Nyangao, Lindi. Nape amepata majeraha kidogo baada ya ajali hiyo ila anaendelea… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kinana, Nape wategwa

VYAMA vya CHADEMA, CUF na NCCR-Mageuzi kupitia Umoja wao wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), vimemtaka Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana kuacha kulalamika dhidi ya mawaziri mizigo badala yake akiri...

 

10 years ago

Michuzi

KINANA , NAPE WAITEKA KIBAHA

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana pamoja na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye wakiwasalimia wakazi wa Kibaha mjini wakati wakiwasili kwenye uwanja wa mkutano . Kikundi cha ngoma cha Kisamamwe kikitumbuiza ngoma ya Afrika kabla ya kuanza kwa mkutano wa hadhara ambapo Katibu Mkuu wa CCM alihutubia wananchi wa Kibaha mjini. Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Kibaha mjini ambapo aliwaambia wapinzani wamekosa hoja ya msingi kiasi cha kuamua...

 

10 years ago

Mwananchi

Katiba Mpya imetoa mwelekeo mbaya wa nchi

Katiba Mpya inayopendekezwa na Bunge Maalumu la Katiba baada ya kuchakachua maoni ya Tume iliyoongozwa na Jaji Joseph Warioba, imetoa mwelekeo mbaya wa nchi kisiasa.

 

10 years ago

GPL

KINANA, NAPE WAFUNIKA JIJINI MWANZA

Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwapigia saluti, maelfu ya wananchi, alipowasili kuhutubia mkutano wake wa hadhara aliofanya jana kwenye Viwanja vya Furahisha jijini Mwanza, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Mwanza.  Katibu wa…

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana, Nape wakerwa na EFD, BVR

>Chama Cha Mapinduzi kimeonyesha wasiwasi kuhusu matumizi ya teknolojia ya kielektroniki katika uandikishaji wa wapigakura na mashine za ukusanyaji wa kodi (EFD).

 

10 years ago

Mwananchi

Kinana abanwa, Nape ampiga kijembe Dk Slaa

Wananchi wa Kijiji cha Msisi katika Tarafa ya Mundemu, juzi walizuia kwa mabango msafara wa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapiduzi (CCM), Abdulrahman Kinana wakilalamikia shule yao kutelekezwa tangu 2011.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini Kinana na Nape hawaanzishi chama chao?

NAKUMBUKA kisa cha Abunuwasi. Vingi kati ya visa vyake ambapo kwa wale waliobahatika kusoma Hekaya za Abunuwasi vinaonekana ni vya kitoto na visivyo na uhalisia. Lakini baada ya tafakari fupi,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani