NAPE APATA AJALI MBAYA LINDI
![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO*N53FuqVJTiSxU3T-MWZQDcnTCOupPFA5huAEs2n*6D2d963UB6G2-f0DqqQ0XEFtvUxAruPyPSREX0qO2uRs3/BREAKINGNEWS.gif)
KATIBU wa Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye amepata ajali mbaya jana usiku akiwa njiani kuelekea Lindi akitokea jijini Dar es Salaam. Nape alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akisafiria aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka eneo la Nyangao, Lindi. Nape amepata majeraha kidogo baada ya ajali hiyo ila anaendelea… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zbcSW1D04aslISWLmN-XlCNjfduMKk8PSWh91yUiDG5p4YhucigtM54m4JRDHMh9yKHTq6L-TiXXKUj6h2IPJsmdLaPLeXmU/lungi.jpg?width=650)
LUNGI APATA AJALI MBAYA
9 years ago
Vijimambo22 Oct
NAPE APATA AJALI
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/NAPE-AJALI-11.jpg?width=650)
Nape ambaye pia ni mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama, Lindi alipata ajali hiyo baada ya tairi la mbele la gari aliyokuwa akiendesha aina ya Toyota Land Cruiser kupasuka na kupinduka mara kadhaa katika eneo la Nyangao mkoani Lindi.
Katika gari hilo, Nape alikuwa peke yake na ndiye alikuwa akiendesha gari hilo ambapo amepata majeraha...
10 years ago
Dewji Blog15 Aug
Mfanyabiashara wa madini apata ajali mbaya ya gari lake iliyopelekea kupasuka kichwa na kufariki papo hapo, kisa mwendo kasi
Gari lililokuwa limebeba mwili wa mfanyabiashara wa madini ya Coper Henrico Kairuki likiwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Na Hillary Shoo, MKALAMA.
Mfanyabiashara wa madini aina ya Shaba Mkoani Singida amefariki dunia papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa baada ya gari dogo alilokuwa akiendesha kuacha njia na kisha kupinduka mara tatu.
Ajali hiyo mbaya imetokea katika kijiji cha Gumanga Tarafa ya Nduguti Wilayani Mkalama majira ya saa 9:00 alasiri na kulihusisha gari dogo aina ya...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Kinana, Nape hawamjui mbaya wa nchi
KATIKA hali ya kusikitisha Chama Cha Mapinduzi (CCM) kupitia viongozi wake waandamizi, Katibu Mkuu, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye, hawamjui mbaya wa maendeleo ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s72-c/Mtwara%2Bdua.jpg)
LOWASSA APATA WADHAMINI LINDI, MTWARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-CM_eh6OgOrc/VYHNgeXzQKI/AAAAAAAAVBg/TABNkEINlMw/s640/Mtwara%2Bdua.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SGq4qiH5gGg/VYHNhpliqmI/AAAAAAAAVBo/4rLyPWMTFHs/s640/Lowassa_Mwana%2BCCM%2Bmtwara.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-3_ZDdYUV514/VYHNlIfplRI/AAAAAAAAVBw/FqDNBWH9Frs/s640/Lowassa_sheikh.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Z36lqbSkx4/VYHNzLW-eiI/AAAAAAAAVCM/zlt0gGVPJfU/s640/Lindi4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-yyRjc_MBV-o/VYHNssR41PI/AAAAAAAAVB4/2_T8Xo_PkLI/s640/CCM_Lindi.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-umrF1nCgFqg/VfWBzH2EnrI/AAAAAAAD7Bk/uo2J-C05IZQ/s72-c/1.jpg)
NAPE AKUTANA NA MAMA SAMIA LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-umrF1nCgFqg/VfWBzH2EnrI/AAAAAAAD7Bk/uo2J-C05IZQ/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b5B2XPSmaJ8/VfWBysSoboI/AAAAAAAD7BU/AUaubhmLkN4/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-44sZBkwKUq4/VfWBzdlF9PI/AAAAAAAD7Bc/BuWhpMAQWtA/s640/3.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Nape afafanua sakata lake na Takukuru Lindi
10 years ago
TheCitizen19 Jul
Nape to stand for House seat in Lindi, Muhongo in Musoma
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IOQLPniVhj4/VdRQDOCuXqI/AAAAAAAAkbE/1iMmX4p961g/s72-c/12.jpg)
NAPE ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE PAMOJA NA SAID MTANDA LINDI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-IOQLPniVhj4/VdRQDOCuXqI/AAAAAAAAkbE/1iMmX4p961g/s640/12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oFimEb80zWw/VdRQEmIpm0I/AAAAAAAAkbM/Up18rhLdl0w/s640/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gvUynvd5bws/VdRP5PJ-LoI/AAAAAAAAkac/qxDM5YT5Vp8/s640/5.jpg)