Nape afafanua sakata lake na Takukuru Lindi
>Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amefafanua sakata lake la kuchukuliwa na askari wa Takukuru kwa mahojiano muda mfupi baada ya kuchukua fedha benki, akisema alikuwa akielekea kulipa mawakala.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo02 Aug
Takukuru yamsafisha Nape
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani hapa, imekanusha tuhuma za rushwa zilizoelezwa na baadhi ya vyombo vya habari dhidi ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM), Nape Nnauye.
9 years ago
Bongo517 Dec
Waziri Nape Nnauye afafanua jinsi wasanii chipukizi watakavyonufaika na sheria ya Radio na TV kuwalipa wasanii
![Katibu Mwenezi wa Itikadi wa CCM Nape NNauye akifuatilia mchezo kwa umakini mkubwa](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2012/07/Katibu-Mwenezi-wa-Itikadi-wa-CCM-Nape-NNauye-akifuatilia-mchezo-kwa-umakini-mkubwa2-200x134.jpg)
Kumeibuka maswali mengi toka ilipotangazwa sheria ya wanamuziki wa Tanzania kulipwa na vituo vya Radio na TV kwa kutumia kazi zao, moja wapo ni kuhusu kama sheria hii itakuwa na manufaa kwa wasanii wachanga au itachangia kuwapa wakati mgumu zaidi wa kupata nafasi ya kazi zao kuchezwa.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye amefafanua jinsi wasanii chipuziki watakavyonufaika na utaratibu huo unaotarajiwa kuanza kutumika mwezi January,2016.
“Wapo watu wanasema kwamba...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMaLgNlWBaM/XsfXR4ANsUI/AAAAAAALrSc/6nJ9sVigsRkUYyP7lubgiGSjeck_yqWuQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0022.jpg)
TAKUKURU WASAIDIA MJANE KITETO KUPATA JENGO LAKE
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanikisha kurejesha jengo la mjane Jane Duncan Kaaya ambalo liliporwa na ofisa maendeleo ya jamii wa kata ya Kibaya, Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, Janeth Paulo na kutumiwa kukodishwa kama ghala la kuhifadhi mazao.
Akizungumza jana Mkuu wa TAKUKURU, Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu akizungumza alisema mjane huyo aliporwa jengo hilo na ofisa huyo wa maendeleo ya jamii wa Kata ya Kibaya Janeth Paulo tangu mwaka 2017 hadi ...
10 years ago
Vijimambo23 Nov
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/e5ojRmBjrO*N53FuqVJTiSxU3T-MWZQDcnTCOupPFA5huAEs2n*6D2d963UB6G2-f0DqqQ0XEFtvUxAruPyPSREX0qO2uRs3/BREAKINGNEWS.gif)
NAPE APATA AJALI MBAYA LINDI
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-umrF1nCgFqg/VfWBzH2EnrI/AAAAAAAD7Bk/uo2J-C05IZQ/s72-c/1.jpg)
NAPE AKUTANA NA MAMA SAMIA LINDI
![](http://2.bp.blogspot.com/-umrF1nCgFqg/VfWBzH2EnrI/AAAAAAAD7Bk/uo2J-C05IZQ/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b5B2XPSmaJ8/VfWBysSoboI/AAAAAAAD7BU/AUaubhmLkN4/s640/2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-44sZBkwKUq4/VfWBzdlF9PI/AAAAAAAD7Bc/BuWhpMAQWtA/s640/3.jpg)
10 years ago
TheCitizen19 Jul
Nape to stand for House seat in Lindi, Muhongo in Musoma
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IOQLPniVhj4/VdRQDOCuXqI/AAAAAAAAkbE/1iMmX4p961g/s72-c/12.jpg)
NAPE ACHUKUA FOMU ZA UBUNGE PAMOJA NA SAID MTANDA LINDI LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-IOQLPniVhj4/VdRQDOCuXqI/AAAAAAAAkbE/1iMmX4p961g/s640/12.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-oFimEb80zWw/VdRQEmIpm0I/AAAAAAAAkbM/Up18rhLdl0w/s640/14.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-gvUynvd5bws/VdRP5PJ-LoI/AAAAAAAAkac/qxDM5YT5Vp8/s640/5.jpg)