Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAKUKURU WASAIDIA MJANE KITETO KUPATA JENGO LAKE


TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanikisha kurejesha jengo la mjane Jane Duncan Kaaya ambalo liliporwa na ofisa maendeleo ya jamii wa kata ya Kibaya, Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, Janeth Paulo na kutumiwa kukodishwa kama ghala la kuhifadhi mazao. 
Akizungumza jana Mkuu wa TAKUKURU, Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu akizungumza alisema mjane huyo aliporwa jengo hilo na ofisa huyo wa maendeleo ya jamii wa Kata ya Kibaya Janeth Paulo tangu mwaka 2017 hadi ...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Nape afafanua sakata lake na Takukuru Lindi

>Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amefafanua sakata lake la kuchukuliwa na askari wa Takukuru kwa mahojiano muda mfupi baada ya kuchukua fedha benki, akisema alikuwa akielekea kulipa mawakala.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yapinga jengo lake kuuzwa

Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa amri ya kuzuia kwa muda kupigwa mnada kwa jengo la Shamba la Miti Rongai wilayani Rombo linalomilikiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii.

 

9 years ago

Michuzi

NMB YAZINDUA RASMI JENGO LAKE JIPYA LA MAKAO MAKUU

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikata utepe kuashiria ufunguzi rasmi wa jengo jipya la makao makuu ya NMB na tawi jipya la NMB Private Banking kwenye jengo la makao makuu ya NMB jana jijini Dar es Salaam. Wakishuhudia tukio hilo ni Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa NMB – Prof. Joseph Semboja(kushoto), Mkurugenzi Mkuu wa NMB – Ineke Bussemaker (wapili kulia) na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam – Saidi Meck Sadiki (kulia) pamoja na wafanyakazi wa NMB.

 

5 years ago

Michuzi

MWENYEKITI KAMATI YA MAZINGIRA MTAA WA TAMBUKARELI MIKONONI MWA TAKUKURU KWA KUJIFANYA OFISA ARDHI ILI KUPATA FEDHA


Na Said Mwishehe,Michuzi TV

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam inamshikilia Mwenyekiti wa Kamati ya Mazingira wa Mtaa wa Tambukareli Kata ya Azimio kwa kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kinyume cha kifungu cha sheria namba 302 cha sheria ya kanuni za adhabu sura ya 16 kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2002.

Akizungumzia kukamatwa na kushikiliwa kwa mtuhumiwa huyo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Temeke jijini Dar es Salaam Donacian Kessy...

 

10 years ago

Vijimambo

Mkulima wa shrimp aanza kupata mavuno ya jasho lake

Mkulima wa North Carolina a kionyesha zao lake la Fresh water Shrimp(prawns) wakati wana DICOTA walipoitembelea shamba lake siku yauvunani.

 

10 years ago

TheCitizen

We’ll bury many if Kiteto situation isn’t addressed penings in Kiteto?

It seems that the cries by the Deputy Speaker of the National Assembly, who is also Kongwa Member of Parliament, Mr Job Ndugai and several other law makers about the wanton killings in Kiteto have not been heard by the government. If the government has heard the cries, surely it would have moved to normalise the situation.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani