Serikali yapinga jengo lake kuuzwa
Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa amri ya kuzuia kwa muda kupigwa mnada kwa jengo la Shamba la Miti Rongai wilayani Rombo linalomilikiwa na Wizara ya Maliasili na Utalii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s72-c/download.jpg)
JE UMECHUKUA MKOPO NA NYUMBA YAKO INATAKA KUUZWA, HAIRUHUSIWI KUUZWA MPAKA UTARATIBU HUU.
![](http://3.bp.blogspot.com/-IulEvqGJ9iQ/VNfTUEYQqsI/AAAAAAAHCgU/Yg0K9pHFGXw/s1600/download.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-XMaLgNlWBaM/XsfXR4ANsUI/AAAAAAALrSc/6nJ9sVigsRkUYyP7lubgiGSjeck_yqWuQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0022.jpg)
TAKUKURU WASAIDIA MJANE KITETO KUPATA JENGO LAKE
TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanikisha kurejesha jengo la mjane Jane Duncan Kaaya ambalo liliporwa na ofisa maendeleo ya jamii wa kata ya Kibaya, Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, Janeth Paulo na kutumiwa kukodishwa kama ghala la kuhifadhi mazao.
Akizungumza jana Mkuu wa TAKUKURU, Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu akizungumza alisema mjane huyo aliporwa jengo hilo na ofisa huyo wa maendeleo ya jamii wa Kata ya Kibaya Janeth Paulo tangu mwaka 2017 hadi ...
9 years ago
MichuziNMB YAZINDUA RASMI JENGO LAKE JIPYA LA MAKAO MAKUU
10 years ago
BBCSwahili19 May
Yemen:Serikali yapinga mazungumzo na waasi
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Serikali yapinga kortini Bunge la Katiba kusimamishwa
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/LofQGOS0bCM/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog03 Feb
Mchina aiomba Serikali Bilioni 3 kujenga jengo la Halmashauri Singida
Mkurugenzi wa halmashauri ya manispaa Singida, Joseph Mchina, akizungumza kwenye kikao maalum cha kupitisha bajeti ya 2015/2016 kilichofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa kanisa la katoliki mjini Singida. Wa pili aliyeketi ni mstahiki meya wa manispaa ya Singida na sheikh wa mkoa wa Singida, Salum Mahami na wa kwanza kushoto ni Makamu meya, Hassan Mkatana wa kwanza kulia ni Katibu tawala wilaya ya Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
HALMASHAURI ya manispaa ya Singida, imetoa maombi maalum...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-o0aEZHXE3P8/VH8rjJvLINI/AAAAAAAG0_c/pikpjQWTSe0/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
DKT. SHEIN AFUNGUA JENGO LA OFISI YA MDHIBITI WA HESABU ZA SERIKALI,PEMBA
![](http://3.bp.blogspot.com/-o0aEZHXE3P8/VH8rjJvLINI/AAAAAAAG0_c/pikpjQWTSe0/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-t_kuT6ddXrk/VH8rjWn69bI/AAAAAAAG0_U/VcS_Yp7J2Rs/s1600/unnamed%2B(44).jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Feb
Wapangaji jengo la Treni Mji Mkongwe watakiwa kuhama jengo hilo
Na Abdulla Ali, Maelezo-Zanzibar
Serikali haitoridhia kuwabakisha Wapangaji na Wafanyabiashara katika jengo la Treni ili kuepusha maafa na kuokoa maisha ya Wananchi na mali zao.
Hayo yameelezwa na Waziri wa Ardhi, Makaazi, Maji na Nishati Zanzibar Mhe. Ramadhan Abdulla Shaaban wakati wa mkutano wa mzungumzo ya pamoja kati ya Wapangaji na Wafanyabiashara wanaolitumia jengo hilo na Serikali uliofanyika katika ofisi ya Mamlaka ya Mji Mkongwe iliopo...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10