Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mkulima wa shrimp aanza kupata mavuno ya jasho lake

Mkulima wa North Carolina a kionyesha zao lake la Fresh water Shrimp(prawns) wakati wana DICOTA walipoitembelea shamba lake siku yauvunani.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MH. RIDHIWANI KIKWETE AANZA KUTEKELEZA ILANI YA CHAMA KWENYE JIMBO LAKE LA CHALINZE

1Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Diwania wa Kata ya Bwilingu Bw. Ahmed Nasser wakiwa wamelala kwenye moja ya vitanda Vitanda 267 vilivyotolewa na mbunge huyo katika shule mbalimbali za sekondari kwa jimbo zima la Chalinze wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye shule ya sekondari ya Lugoba jana, Shule ambazo zimepewa vitanda hivyo ni shule ya sekondari Chalinze 50, Moleto Lugoba 50, Mandera 25, Talawanda 24, Kiwangwa 50, Lugoba 38 na Kikaro 30.katika hatua hiyo Mh. Ridhiwania...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU WASAIDIA MJANE KITETO KUPATA JENGO LAKE


TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imefanikisha kurejesha jengo la mjane Jane Duncan Kaaya ambalo liliporwa na ofisa maendeleo ya jamii wa kata ya Kibaya, Wilayani Kiteto Mkoani Manyara, Janeth Paulo na kutumiwa kukodishwa kama ghala la kuhifadhi mazao. 
Akizungumza jana Mkuu wa TAKUKURU, Mkoani Manyara, Holle Joseph Makungu akizungumza alisema mjane huyo aliporwa jengo hilo na ofisa huyo wa maendeleo ya jamii wa Kata ya Kibaya Janeth Paulo tangu mwaka 2017 hadi ...

 

11 years ago

TheCitizen

Tanzania can earn Sh280bn from shrimp exports yearly

Tanzania can produce 11,000 tonnes of shrimps for export annually if acquaculture is undertaken seriously.

 

10 years ago

Mwananchi

Kilimo Hai chawaongezea mavuno Chamwino

Wakulima waliojiunga na mpango wa Kilimo Hai wilayani hapa, wamefanikiwa kuvuna mazao mengi na kuvuka malengo baada ya kutumia vyema elimu waliyopewa na Shirika hilo.

 

11 years ago

Michuzi

MAVUNO MAKUBWA YA MAHINDI SHAMBANI KWA MH. PINDA

Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akikagua mavuno ya mahindi kutoka shambani kwake yaliyokusanywa nyumbani kwake Kibaoni wilayani Mlele, Mpanda Mei 24, 2014. Mheshimiwa Pinda anatarajia kuvuna zaidi ya magunia 1000 ingawa ekari tano za mahindi hayo ziliharibiwa na Tembo kutoka hifadhi ya Katavi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

10 years ago

Mwananchi

Mavuno zao la tumbaku kuporomoka msimu huu

Mavuno ya zao la Tumbaku mkoani Tabora kwa msimu huu huenda yakashuka ikilinganishwa na msimu uliopita wa 2013/2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani