Mavuno zao la tumbaku kuporomoka msimu huu
Mavuno ya zao la Tumbaku mkoani Tabora kwa msimu huu huenda yakashuka ikilinganishwa na msimu uliopita wa 2013/2014.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi17 Apr
KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA MSIMU NA KUFUNGUA MSIMU MPYA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1uqCjKMa4TQ/XpaaDb4f5xI/AAAAAAALm-U/Wgez8Sac_-EA9zIclqWr_CteC58l729igCLcBGAsYHQ/s72-c/2965dce8-cd50-4388-9e89-04928c4cd165.jpg)
TANDAHIMBA KUVUNA ZAIDI YA TANI MIA NANE YA ZAO LA UFUTA KWA MSIMU HUU,
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema wanatarajia kupata zaidi ya tani Mia nane ya zao la ufuta kwa msimu huu 2020
Ameyasema hayo alipotembelea shamba la mkulima Hassan Chipyangu (udede) ambalo lipo katika kata ya Michenjele
"Msimu huu tunatarajia kupata zaidi zao la ufuta baada ya mwitikio wa wakulima kulima zao hilo hapo awali wakulima walielekeza nguvu zao kwenye zao mo ja lakini Sasa wanafunguka kwa kulima mazao mengine,"amesema Waryuba
Aidha amewataka wakulima...
Ameyasema hayo alipotembelea shamba la mkulima Hassan Chipyangu (udede) ambalo lipo katika kata ya Michenjele
"Msimu huu tunatarajia kupata zaidi zao la ufuta baada ya mwitikio wa wakulima kulima zao hilo hapo awali wakulima walielekeza nguvu zao kwenye zao mo ja lakini Sasa wanafunguka kwa kulima mazao mengine,"amesema Waryuba
Aidha amewataka wakulima...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali
Ligi Kuu Tanzania Bara imesimama kwa muda wa mwezi mmoja huku timu zote zikiwa zimeshacheza michezo saba na Mtibwa Sugar ndiyo inaongoza msimamo wa ligi hiyo ikiwa na pointi 15.
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Wakulima kuboresha zao la tumbaku
WAKULIMA wa zao la tumbaku nchini, wameahidi kuongeza juhudi za kulifanya liwe bora zaidi ikiwa ni pamoja na kulitunza, kulichambua na kuondoa uchafu kabla ya kuliuza, ili lifikie viwango vya...
10 years ago
Vijimambo19 Apr
KIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA NA KUFUNGUA MSIMU MPYAâ€
10 years ago
GPLKIWANDA CHA TUMBAKU MOROGORO CHAFANYA SHERERE KUFUNGA NA KUFUNGUA MSIMU MPYA
Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC), David Crowhorst akikabidhi zawadi kwa wafanyakazi waliofanya kazi kwa muda mrefu ambao wamefanya kazi kwa zaidi ya miaka 15 mfululizo. Mkurugenzi Mkuu wa Makampuni ya Tumbaku ya Tanzania Tobacco Procesing Limited (TTPL) na Tanzania Leaf Tobacco Company (TLTC), David Crowhorst akitoa hotuba yake wakati wa...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Zao la tumbaku linavyoathiri watoto kiafya na kisaikolojia
Ukifika katika shamba la tumbaku Sikonge mkoani Tabora unaweza kushuhudia watoto wengi wakijumuika kufanya kazi mbalimbali kwa lengo la kupata ujira.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-spoir8wLfTU/Xrjgb1ac2zI/AAAAAAALptg/xdq7uXIcM880Ed8fm8KH5-252FaD_V0XwCLcBGAsYHQ/s72-c/timbaku%252Bpic.jpg)
RAS TABORA ANZENI KULIMA MAZAO MENGINE KUKABILIANA NA MATATIZO YA KUSHUKA KWA UZALISHAJI WA ZAO LA TUMBAKU
NA TIGANYA VINCENT
HALMASHAURI ambazo zinazotegemea sehemu ya mapato kutoka kwenye zao la tumbaku zimetakiwa kuandaa mkakati mpya ambao utawawezesha kulima mazao mengine ili kuwa na msingi wa vyanzo vipya vya mapato ya ndani.
Hatua hiyo inafuatia Kampuni zinazonunua tumbaku Mkoani Tabora kuendelea kushusha makisio ya uzalishaji kwa wakulima wa tumbaku.
Kauli hiyo imetolewa jana na Katibu Mkoa wa Tabora Msalika Makungu wakati wa kikao cha robo ya tatu cha Baraza la Madiwani wa Halmashauri ya...
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Magari yazuiliwa Borno msimu huu.
Marufuku magari kutembea Borno,nchini Nigeria msimu huu wa sikukuu za mwishoni mwa mwaka kujihami na shambulio la kigaidi .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania