TANDAHIMBA KUVUNA ZAIDI YA TANI MIA NANE YA ZAO LA UFUTA KWA MSIMU HUU,
![](https://1.bp.blogspot.com/-1uqCjKMa4TQ/XpaaDb4f5xI/AAAAAAALm-U/Wgez8Sac_-EA9zIclqWr_CteC58l729igCLcBGAsYHQ/s72-c/2965dce8-cd50-4388-9e89-04928c4cd165.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema wanatarajia kupata zaidi ya tani Mia nane ya zao la ufuta kwa msimu huu 2020
Ameyasema hayo alipotembelea shamba la mkulima Hassan Chipyangu (udede) ambalo lipo katika kata ya Michenjele
"Msimu huu tunatarajia kupata zaidi zao la ufuta baada ya mwitikio wa wakulima kulima zao hilo hapo awali wakulima walielekeza nguvu zao kwenye zao mo ja lakini Sasa wanafunguka kwa kulima mazao mengine,"amesema Waryuba
Aidha amewataka wakulima...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Mavuno zao la tumbaku kuporomoka msimu huu
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Elimu duni yakwaza kilimo cha ufuta Tandahimba
10 years ago
Mwananchi19 Feb
Zao la ufuta limeanza kufuta umaskini kwa wakulima vijijini
9 years ago
StarTV24 Nov
Zaidi ya tani 250 za miwa zatupwa Kilombero kwa  Madai Ya Kutofaa Kwa Uzalishaji
Wakulima wa miwa wilayani kilombero wamepata hasara ya zaidi ya shilingi Milioni 30 baaada ya kiwanda cha sukari cha ILOVO kilichopo wilayani humo kukataa kuchukua tani 250 za miwa iliyovunwa kwenye mashamba ya wakulima hao, kwa madai kuwa miwa hiyo imekaa muda mrefu baada ya kuvunwa na hivyo kutofaa kwa uzalishaji wa sukari.
Wakulima wanaulalamikia uongozi wa kiwanda hicho kwa hasara waliyopata kwani novemba 14 kiwanda kiliagiza wakulima kuanza kuvuna miwa yao , ambapo wakulima...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-LwC774ug1W8/VcjSUN6hQXI/AAAAAAAHvxc/3CUIbb8AqRY/s72-c/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
BENKI YA NMB YAIBUKA KIDEDEA MAONYESHO YA NANE NANE MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-LwC774ug1W8/VcjSUN6hQXI/AAAAAAAHvxc/3CUIbb8AqRY/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Gh8U34fWPys/VcjSVcGL2JI/AAAAAAAHvxk/31pjlSwLgL4/s640/unnamed.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pK5ctaqnaG8/VcjSWTUd-aI/AAAAAAAHvxs/D4UtBnvt0dU/s640/unnamed%2B%25281%2529.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Walipachika mabao msimu uliopita, msimu huu chali
10 years ago
Dewji Blog02 Aug
Waziri Mkuu Mizengo Pinda kufungua Maonyesho ya Nane Nane Kitaifa mkoani Lindi Agosti 3, mwaka huu
Lindi kumekucha, pilikapilika za maandalizi ya Maonyesho ya Nane Nane kitaifa mwaka huu zimepamba moto ambapo Mgeni Rasmi katika maonesho hayo yatakayofunguliwa Jumatatu Agosti 3, 2015 anatarajiwa kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda. Maonyesho hayo ya mwaka huu yanaongozwa na kauli mbiu “Matokeo Mkubwa Sasa, Tuchague Viongozi Bora kwa Maendeleo ya Kilimo na Ufugaji”.
Mratibu wa Maonyesho ya Nane Nane kutoka wilaya ya Newala Ado Kiwangu akiwaonesha na...
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Viwanja vitakavyotumika kwa Ligi Kuu msimu huu