Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elimu duni yakwaza kilimo cha ufuta Tandahimba

Baada ya kupata mafanikio ya wastani katika kilimo cha ufuta, wakulima wa zao hilo, ambao wengi ni wale wanaohama makazi yao kwa muda kutoka Wilaya ya Tandahimba, Mtwara kwenda Lindi kwa ajili ya zao hilo, sasa wanalilia elimu ili waweze kupata mafanikio makubwa zaid

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Babati wanufaika kilimo cha ufuta

Wakulima 397 wa vijiji vya Kakoi na Endadosh katika Wilaya ya Babati mkoani Manyara wamenufaika na kilimo cha ufuta baada ya kupatiwa mafunzo ya kilimo bora kwa kutumia kifaa maalumu cha kielektroniki.

 

5 years ago

Michuzi

KILIMO CHA UFUTA CHASHIKA KASI MIHAMBWE

Na Mwandishi wetu Mihambwe

Wakulima wengi ndani ya Tarafa ya Mihambwe wamehamasika mwaka huu kulima zao la Ufuta kutoka kwenye utegemezi wa zao moja la biashara la Korosho.

Wakulima hao wakizungumza wakati wa ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu wameishukuru Serikali ya Rais Magufuli kwa kuwahamasisha, kuwapatia pembejeo kwa wakati na kuhakikisha upatikanaji wa masoko kwa wakati.

"Sisi Wakulima tunaishukuru Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kilimo cha ufuta chawainua wakulima Babati

“Kabla ya kujishughulisha na kilimo cha ufuta, nilikuwa na hali ngumu kiuchumi, nilikuwa nalima karanga na pamba, ila sasa nalima ufuta na nimejenga nyumba bora ya kisasa, nafuga ng’ombe, kuku na kusomesha watoto.”

 

5 years ago

Michuzi

TANDAHIMBA KUVUNA ZAIDI YA TANI MIA NANE YA ZAO LA UFUTA KWA MSIMU HUU,

Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba amesema wanatarajia kupata zaidi ya tani Mia nane ya zao la ufuta kwa msimu huu 2020

Ameyasema hayo alipotembelea shamba la mkulima  Hassan Chipyangu (udede) ambalo lipo katika kata ya Michenjele

"Msimu huu tunatarajia kupata zaidi zao la ufuta baada ya mwitikio wa  wakulima kulima zao hilo hapo awali wakulima walielekeza nguvu zao kwenye zao mo ja lakini Sasa wanafunguka kwa kulima mazao mengine,"amesema Waryuba

Aidha amewataka wakulima...

 

11 years ago

Mwananchi

Watafiti kuwatenga wakulima chanzo cha kilimo duni, umaskini

Serikali na taasisi mbalimbali za kilimo zimekuwa zikifanya utafiti wa kilimo na mazao kwa lengo la kuboresha kilimo nchini.

 

11 years ago

Michuzi

Elimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi

Na Anna Nkinda - Washington
Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria  hafla fupi ya...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WASHAURIWA KULIMA KILIMO CHA MATONE BADALA YA KILIMO CHA MAZOEA KINACHOHARIBU MAZINGIRA


 Na Pamela Mollel, Arusha.

KUELEKEA kilele Cha maadhimisho ya siku ya Mazingira Duniani ambayo hufanyika Juni 5  ya kila mwaka wananchi wameshauriwa kulima kilimo cha matone badala ya kilimo cha mazoea ambacho kimekuwa kikiharibu mmomonyoko wa ardhi na kusabisha uharibifu wa mazingira

Hayo yameelezwa leo Juni 4,2020 na Meneja wa NEMC Kanda ya Kaskazini Lweis Nzali alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewaomba kutumia vyombo vya habari kuelimisha wananchi kuhusu matumizi ya...

 

11 years ago

Michuzi

WAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA

Ofisa Masoko wa Shirika la Farm Africa,Rahel Pazzia (kushoto) akikabidhi mashine ya kukamua ufuta kwa wana kikundi wa wakulima wa ufuta wa kikundi cha Faraja na Chemchem kwenye Kijiji cha Vilima Vitatu, Wilaya ni Babati Mkoani Manyara jana. Wanakikundi wa Sayuni na Mti wa maziwa, ambao ni wakulima wa zao la ufuta wa Kijiji cha Ngolley Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakiwa na mashine yao ya kukamua ufuta baada ya kukabidhiwa na Ofisa Masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mviwata: Elimu duni hupoteza chakula

ELIMU duni kwa wakulima imeelezwa kuwa chanzo cha upotevu wa chakula kuanzia hatua ya uvunaji, usafrishaji, ukaushaji, uchambuaji na maadalizi hadi kuhifadhi kwenye maghala ya chakula. Hayo yamo kwenye taarifa ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani