Mviwata: Elimu duni hupoteza chakula
ELIMU duni kwa wakulima imeelezwa kuwa chanzo cha upotevu wa chakula kuanzia hatua ya uvunaji, usafrishaji, ukaushaji, uchambuaji na maadalizi hadi kuhifadhi kwenye maghala ya chakula. Hayo yamo kwenye taarifa ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Elimu duni inawaathiri masikini duniani
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Elimu duni huwaathiri wabakwaji kukosa haki
KWA mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu – Penal code CAP 16 R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha inavyofahamika kwa watu wengi. Mtu atahesabika kuwa ametenda kosa la...
5 years ago
MichuziLISHE NA ELIMU DUNI SABABU KUBWA YA UDUMAVU IRINGA
Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha Unga wa sembe wenye viini lishe cha AMP Super Sembe, Alfred Mpanga akizungumza kuhusu uzalishaji wa unga wenye viini lishe unaosaidia jamii kupambana na udumavu na utapiamlo
Afisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa akizungumza na wanahabari hawapo pichani katika mahojiano maaluma kuhusu hali ya lishe mkoa wa Iringa. (Picha na denis Mlowe)
………………………………………………..
NA DENIS MLOWE,IRINGA
LISHE duni kutokana na wananchi kutokuwa na elimu ya ulaji wa vyakula vya...
10 years ago
Tanzania Daima11 Oct
Elimu duni, siasa zinavyomaliza misitu Kanda ya Mashariki
UPANDAJI miti, ni zoezi linalotakiwa kupewa kipaumbele nchini, kwani miti inasaidia kuzuia mafuriko na inazuia mmomonyoko wa ardhi. Wananchi wamekua wakihamasishwa kupanda miti hata katika maeneo ya nyumbani kwao, wanaokata...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Elimu duni yakwaza kilimo cha ufuta Tandahimba
11 years ago
Habarileo26 Jul
Elimu duni ya kondomu yachagiza maambukizi mapya ya VVU
TAFITI zimebaini kwamba vijana hawatumii kondomu kwa madai ya kutopata ladha wakati wa kufanya mapenzi.
9 years ago
StarTV05 Oct
Maendeleo duni ya elimu Jamii yadaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa
Sekta ya elimu wilayani Geita inakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazorudisha nyuma maendeleo ya sekta jamii ikidaiwa kuchangia kwa kiasi kikubwa kwa sababu ya kutokuwa na utayari wa kushirikiana na Serikali kuondoa mapungufu yaliyoko ndani ya uwezo wao.
Utafiti uliofanywa na shirika la Nelico kwa ufadhili wa Pestalozzi Children’s Foundation imebaini mazingira yasiyo rafiki kama ubovu wa miundombinu, ukosefu wa vyoo bora na upungufu wa madawati na vyoo bado kikwazo kikubwa ambacho...
11 years ago
Dewji Blog25 Jul
Elimu duni na isiyo sahihi ya matumizi ya Kondomu inachangia maambukizi mapya ya VVU kwa Vijana
Afisa Mradi wa Elimu ya Afya na VVU/UKIMWI kutoka UNESCO, Bw. Herman Mathias akizungumza na washauri wa Vikundi vya Vijana wasikilizaji juu ya masuala muhimu kuhusiana na kuzuia maambukizi ya VVU na Afya ya Uzazi kwa Vijana wenye umri kati ya miaka 15-24 katika warsha ya kuwajengea uwezo washiriki hao katika matumizi ya mwongozo wa ufuatiliaji wa vipindi kwa wasikilizaji walengwa wa Mradi wa SHUGA Redio inayofanyika kwenye kituo cha Redio Nuru FM mjini Iringa.(Picha zote na Zainul Mzige wa...
11 years ago
MichuziElimu duni chanzo cha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi
Imeelezwa kwamba kutokuwa na uelewa wa kutosha kuhusu ugonjwa wa saratani ya mlango wa kizazi, upungufu wa upatikanaji wa huduma za afya, na vitendea kazi, utungaji wa sera zisizo rafiki, pamoja na ukosefu wa takwimu za magonjwa ni moja ya sababu zinazosababisha wanawake wengi kupoteza maisha kutokana na ugonjwa huo.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akitoa neno la shukrani kwa niaba ya wake wa marais wa Afrika waliohudhuria hafla fupi ya...