Elimu duni huwaathiri wabakwaji kukosa haki
KWA mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu – Penal code CAP 16 R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha inavyofahamika kwa watu wengi. Mtu atahesabika kuwa ametenda kosa la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Aliyepigwa risasi adai kukosa haki
MKAZI wa Kigamboni, Baraka Mashauri (27), aliyepigwa risasi katika mguu wake kulia na askari polisi wa kituo kidogo cha Gymkhana jijini Dar es Salaam, amelalamika haki kutotendeka katika suala lake....
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s72-c/kalage.jpg)
Haki Elimu Yatoa Tathmini ya Mfumo wa Elimu Baada ya Covid 19
![](https://1.bp.blogspot.com/-iCZv3PdpOmE/Xu3goWxVPSI/AAAAAAALuuA/5qQJeMQOpuEAQuMevvtlAMsVUovWs5MXQCLcBGAsYHQ/s640/kalage.jpg)
Tasisi isiyo ya Kiserikali ya Haki
Elimu Tanzania imesema katika kipindi hiki cha shule kufungwa nje ya utaratibu
rasmi wa likizo kimetufanya tugundue namna mfumo wetu wa utoaji elimu ulivyo na
mapungufu mengi.
Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa Shirika
Hilo Dk.John Kalaghe alipokuwa akizungumza na wadau wa elimu kupitia mkutano
uliandaliwa na tasisi hiyo uliofanyika kwa njia ya mtandao wakati wa
mahadhimishoi ya siku ya mtoto wa Afrika.
Dk Kalaghe alisema kuwa...
9 years ago
StarTV26 Nov
Haki Elimu yazindua jopo la ushauri Uboreshaji Sekta Ya Elimu
Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Nchini imeshauriwa kuyafanyia kazi mapendekezo yanayotolewa na wadau wa elimu katika sekta hiyo pamoja na kuboresha Idara ya Ukaguzi Shuleni ili kuhakikisha elimu inatolewa kwa usahihi.
Imeelezwa kuwa kwa kuzingatia hayo kutasaidia kuboresha Sekta ya elimu nchini hususani katika Shule za Umma, ambazo baadhi ya wazazi wamekuwa wakikwepa kuwapeleka watoto wao kutokana na dhana ya kuwa na elimu duni.
Katika uzinduzi wa jopo la washauri...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Mviwata: Elimu duni hupoteza chakula
ELIMU duni kwa wakulima imeelezwa kuwa chanzo cha upotevu wa chakula kuanzia hatua ya uvunaji, usafrishaji, ukaushaji, uchambuaji na maadalizi hadi kuhifadhi kwenye maghala ya chakula. Hayo yamo kwenye taarifa ya...
11 years ago
BBCSwahili29 Jan
Elimu duni inawaathiri masikini duniani
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wajane wengi wafa kwa kukosa haki
BAADHI ya wanawake katika kata ya Magubike na Maguha, wilayani Kilosa, Morogoro, wamesema wanawake wengi wajane hufariki mapema kutokana na kukosa haki ya kumiliki mali ikiwemo ardhi wanapofiwa na waume...
10 years ago
Mwananchi25 Jun
BVR isiwe sababu ya kukosa haki ya kupiga kura
11 years ago
Habarileo22 Dec
Wajane wasema hufa mapema kwa kukosa haki
BAADHI ya wajane katika Kata ya Magubike na Maguha wilayani Kilosa mkoani hapa, wamesema wengi wao wamekuwa wakifa mapema kwa kukosa haki ya kumiliki mali ikiwa ni pamoja na ardhi pindi wanapofiwa na waume zao.
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Elimu duni yakwaza kilimo cha ufuta Tandahimba