Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wajane wengi wafa kwa kukosa haki

BAADHI ya wanawake katika kata ya Magubike na Maguha, wilayani Kilosa, Morogoro, wamesema  wanawake wengi  wajane  hufariki mapema  kutokana na kukosa haki ya kumiliki mali ikiwemo ardhi wanapofiwa na waume...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wajane wasema hufa mapema kwa kukosa haki

BAADHI ya wajane katika Kata ya Magubike na Maguha wilayani Kilosa mkoani hapa, wamesema wengi wao wamekuwa wakifa mapema kwa kukosa haki ya kumiliki mali ikiwa ni pamoja na ardhi pindi wanapofiwa na waume zao.

 

11 years ago

Habarileo

Wafa kwa kukosa hewa kisimani

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Rukwa, Jacob MwaruandaWATU wawili wote wakazi wa kitongoji cha Chanji -Soweto mjini hapa, wamefariki dunia baada ya kukosa hewa wakiwa ndani ya kisima kirefu cha maji, walichokuwa wakichimba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wengi wafa kwa mgonjwa yasiyoambukiza

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, amesema Watanzania wengi wanakufa kutokana na magonjwa yasiyoambukiza na mengine kwa kutokufanya mazoezi hivyo kuwa na uzito mkubwa. Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo...

 

5 years ago

Michuzi

SIKU YA WAJANE DUNIANI, ZAIDI YA WAJANE MILIONI 250 WANAISHI KATIKA DIMBWI LA UMASIKINI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akizungumza na wajane katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam, Aprili nne, 2019.
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVKUPOTEZA wenza ni jambo linalovunja mioyo ya wanawake wengi duniani hasa kwa nchi zinazoendelea, wajane katika nchi hizo wamekuwa na muendelezo wa kutafuta mahitaji yao muhimu, haki zao pamoja na utu ambapo katika baadhi ya tamaduni nyingi za kiafrika huwachukulia wajane kwa namna ya tofauti ikiwemo kurithiwa na ndugu wa mume na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakimbizi wengi wafa maji pwani Libya

Mashua ya wakimbizi yazama katika pwani ya Libya na wakimbizi zaidi ya mia moja wahofiwa kuwa wamekufa

 

11 years ago

Mwananchi

Kukosa Choo: Tatizo sugu linalowatesa wengi

>Waswahili wanao usemi maarufu kuwa, raha ya nyumba ni choo.Kwa hakika, hawakukosea kwani chakula chochote kinapoliwa lazima kitumike mwilini na mabaki yake kutolewa kwa njia ya haja kubwa.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Aliyepigwa risasi adai kukosa haki

MKAZI wa Kigamboni, Baraka Mashauri (27), aliyepigwa risasi katika mguu wake kulia na askari polisi wa kituo kidogo cha Gymkhana jijini Dar es Salaam, amelalamika haki kutotendeka katika suala lake....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu duni huwaathiri wabakwaji kukosa haki

KWA mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu – Penal code CAP 16  R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha inavyofahamika kwa watu wengi. Mtu atahesabika kuwa ametenda kosa la...

 

10 years ago

Mwananchi

BVR isiwe sababu ya kukosa haki ya kupiga kura

Ni wazi kwamba mpango wa uandikishaji wapigakura kwenye Daftari la Kudumu kwa kutumia mfumo wa kielektroniki wa BVR umegubikwa na malalamiko kutoka kila eneo ambako uandikishwaji umefanywa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani