Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aliyepigwa risasi adai kukosa haki

MKAZI wa Kigamboni, Baraka Mashauri (27), aliyepigwa risasi katika mguu wake kulia na askari polisi wa kituo kidogo cha Gymkhana jijini Dar es Salaam, amelalamika haki kutotendeka katika suala lake....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Aliyepigwa risasi atoa ya moyoni

Askari Magereza wa kike aliyejeruhiwa kwa risasi baada ya basi la jeshi hilo kushambuliwa kwa risasi na majambazi, amesema hakuhisi mpenyo wa risasi katika titi lake la kushoto mpaka alipokaguliwa na askari mwenzake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati aliyepigwa risasi aondoka Burundi

Pierre Claver Mbonimpa aliyeshambuliwa katika mji mkuu wa Burundi, mapema wiki hii anaenda Ulaya kupokea matibabu.

 

11 years ago

GPL

UNDANI MNENGUAJI WA KHANGA MOKO ALIYEPIGWA RISASI

Stori: Shakoor Jongo na Emelda Tarimo MNENGUAJI wa Kundi la Kanga Moko, Zawia Hamis  ambaye usiku wa Jumatano iliyopita alipigwa risasi mbili mwilini  na mtu aliyedaiwa ni askari polisi, ameweka undani wa sakata hilo. Mnenguaji wa Kundi la Kanga Moko, Zawia Hamis akionyesha sehemu alikopigwa risasi mbili mwilini na mtu aliyedaiwa ni askari polisi. Akizungumza na… ...

 

10 years ago

GPL

EXCLUSIVE: ALIYEPIGWA RISASI JANA AFARIKI DUNIA

Nyakiringa Stivin (39), mara baada ya kupigwa risasi tumboni. Kushoto kwake ni mkewe, Agness Lucas.
....wapita njiawakijaribu kutoa msaada kwa mtu huyo. Global Publishers jana ilikuwa ya kwanza kuripoti tukio la mwanamme mmoja kupigwa risasi maeneo ya Magomeni Mikumi ambaye hakuweza kutambulika mara moja, lakini sasa amejulikana na kwa taarifa zilizotolewa na ndugu, jamaa huyo… ...

 

10 years ago

Habarileo

Aliyepigwa risasi nane azinduka, ataja ‘muuaji’

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha Liberatus SabasMKAZI wa eneo la Kanisani, Kata ya Sokon One mjini hapa ambaye alipoteza fahamu kwa zaidi ya wiki na kulazimika kupumua kwa msaada wa mashine katika Hospitali ya Selian alikokuwa amelazwa baada ya kupigwa risasi nane, amezinduka na kutaja jina la mmoja wa wabaya wake.

 

10 years ago

GPL

PROFESA ALIYEPIGWA RISASI AZIKWA JIJINI DAR LEO

Mwili wa aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Athuman Livigha ukiwasili nyumbani kwake Bunju jijini Dar leo. Makamu Mkuu wa UDSM, Profesa Rwekaza Mukandala (wa pili kushoto)…

 

11 years ago

GPL

MWILI WA SISTA ALIYEPIGWA RISASI WAAGWA JIJINI DAR LEO

Masista wakitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa Sista Cresensia Kapuli aliyeuawa kwa kupigwa risasi na majambazi Juni 23, 2014. Sista Brigitte Mbaga aliyekuwa na marehemu Cresensia Kapuli eneo la tukio siku alipopigwa risasi akiwa na simanzi.…

 

9 years ago

Bongo5

Hussein Machozi adai kukosa management kumemrudisha nyuma

Hussein Machozi amewataka mashabiki wake kujua kuwa tatizo linalomkwamisha kupiga hatua zaidi katika muziki wake ni kukosa management. Akizungumza kwenye kipindi cha FNL cha EATV, Hussein alisema nguvu yake binafsi anayotumia ndio imeishia hapo alipo sasa. “Watanzania wanataka ukitoa ngoma na ukiki jumla. Kumbuka kwamba nilipokuwa nikifanya vile nilikuwa kwenye management na sasa hivi nafanya […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wajane wengi wafa kwa kukosa haki

BAADHI ya wanawake katika kata ya Magubike na Maguha, wilayani Kilosa, Morogoro, wamesema  wanawake wengi  wajane  hufariki mapema  kutokana na kukosa haki ya kumiliki mali ikiwemo ardhi wanapofiwa na waume...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani