PROFESA ALIYEPIGWA RISASI AZIKWA JIJINI DAR LEO
Mwili wa aliyekuwa Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Profesa Athuman Livigha ukiwasili nyumbani kwake Bunju jijini Dar leo. Makamu Mkuu wa UDSM, Profesa Rwekaza Mukandala (wa pili kushoto)…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLMWILI WA SISTA ALIYEPIGWA RISASI WAAGWA JIJINI DAR LEO
Masista wakitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza lenye mwili wa Sista Cresensia Kapuli aliyeuawa kwa kupigwa risasi na majambazi Juni 23, 2014. Sista Brigitte Mbaga aliyekuwa na marehemu Cresensia Kapuli eneo la tukio siku alipopigwa risasi akiwa na simanzi.…
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s1600/DSC_1214.jpg)
SHEIKH ALI MZEE COMORIAN AZIKWA LEO KWENYE MAKABURI YA WANGAZIJA, JIJINI DAR LEO
 Rais Mstaafu wa awamu ya pili,Alhaj Ali Hassan Mwinyi (wa tatu kushoto),Waziri Mkuu Mstaafu,Dkt. Salim Ahmed Salim (wa nne kulia),Sheik Mkuu wa Tanzania,Shaaban Simba (wa pili kushoto) na Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam,Mussa Salum (wa tatu kulia) wakijumuika pamoja na Waombolezaji wengine kwenye ibada ya Mazishi ya Sheikh Ali Mzee Comorian,katika makaburi ya Wangazija mtaa wa Bibi Titi Mohamed,jijini Dar es salaam mapema...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DhYDNbGpGN4/VKEnkqtBz5I/AAAAAAAG6UU/D0Rh6DZPs0s/s72-c/DSC_1214.jpg)
Sheikh Ali Mzee Comorian azikwa leo kwenye Makaburi ya Wangazija,jijini Dar leo
NA CHALILA KIBUDA ,GLOBU YA JAMII DAR
Mamia ya watu wameshiriki katika mazishi ya Sheikh Ali Mzee Comorian yaliyofanyika leo katika makaburi ya Wangazija yaliyopo katika barabara ya Bibi Titi jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yameongozwa na Rais Mstaafu wa awamu ya pili ,Alhaj Ali Hassan Mwinyi na kusema kifo cha sheikh huyo ni mipango ya mungu kwa kila mtu safari yake ipo.
Alisema kifo cha sheikh kinatakiwa kuenziwa kwa mema aliyoyafanya katika uhai wake katika kupigania...
Mamia ya watu wameshiriki katika mazishi ya Sheikh Ali Mzee Comorian yaliyofanyika leo katika makaburi ya Wangazija yaliyopo katika barabara ya Bibi Titi jijini Dar es Salaam.
Mazishi hayo yameongozwa na Rais Mstaafu wa awamu ya pili ,Alhaj Ali Hassan Mwinyi na kusema kifo cha sheikh huyo ni mipango ya mungu kwa kila mtu safari yake ipo.
Alisema kifo cha sheikh kinatakiwa kuenziwa kwa mema aliyoyafanya katika uhai wake katika kupigania...
10 years ago
MichuziMWANAMUZIKI MKONGWE WA TWANGA PEPETA,AMIGOLAS AZIKWA MAKUBURI YA KISUTU JIJINI DAR LEO
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-EC1UAEr-dIM/VJBKwgfYivI/AAAAAAAG3ks/Ze23myJM5jY/s72-c/DSC_0807.jpg)
Marehemu Shem Ibrahim Kalenga azikwa leo kwenye Makaburi ya Kisutu,jijini Dar
![](http://4.bp.blogspot.com/-EC1UAEr-dIM/VJBKwgfYivI/AAAAAAAG3ks/Ze23myJM5jY/s1600/DSC_0807.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t4en3c49ZkE/VJBKw7Nl4bI/AAAAAAAG3ko/3qX7ztnCsvw/s1600/DSC_0831.jpg)
Picha zaidi bofya hapa
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s72-c/IMG-20150429-WA0077.jpg)
Brigedia Jenerali (Mstaafu) Hashim Mbita azikwa leo kwenye makaburi ya Kisutu, jijini Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-E_z3nwNbALs/VUENl-ix1lI/AAAAAAAHUJ4/qogq_ebTgfY/s1600/IMG-20150429-WA0077.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-7-H96lbLPGk/VUENkQVNjNI/AAAAAAAHUJo/Wp9n2hgCN48/s1600/IMG-20150429-WA0075.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Ns5Zr-3mjbk/VUENj3WUZkI/AAAAAAAHUJk/I214oXTNxks/s1600/IMG-20150429-WA0076.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qvT8WTokz6dhCDcUn6FL-jOQ6AOi*vHAWqMUP7dd8qNvLxPnZ3TZf2zbFvM3ksnxUccd8dv7pF5IAejNO2mSnswZpJ-I3d8U/Newfolder1.jpg?width=650)
APIGWA RISASI ASUBUHI YA LEO, YOMBO VITUKA JIJINI DAR ES SALAAM!
Mwili wa marehemu aliyefahamika kwa jina la Betty baada ya kupigwa risasi asubuhi ya leo, Yombo Vituka, Temeke jijini Dar es Salaam akiwa kwenye gari aina ya Toyota Pick Up ya Tunu Security na watu waliokuwa na bodaboda.…
10 years ago
Michuzi18 Dec
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Aliyepigwa risasi atoa ya moyoni
Askari Magereza wa kike aliyejeruhiwa kwa risasi baada ya basi la jeshi hilo kushambuliwa kwa risasi na majambazi, amesema hakuhisi mpenyo wa risasi katika titi lake la kushoto mpaka alipokaguliwa na askari mwenzake.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania