Aliyepigwa risasi nane azinduka, ataja ‘muuaji’
MKAZI wa eneo la Kanisani, Kata ya Sokon One mjini hapa ambaye alipoteza fahamu kwa zaidi ya wiki na kulazimika kupumua kwa msaada wa mashine katika Hospitali ya Selian alikokuwa amelazwa baada ya kupigwa risasi nane, amezinduka na kutaja jina la mmoja wa wabaya wake.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Aliyepigwa risasi atoa ya moyoni
10 years ago
BBCSwahili09 Aug
Mwanaharakati aliyepigwa risasi aondoka Burundi
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Aliyepigwa risasi adai kukosa haki
MKAZI wa Kigamboni, Baraka Mashauri (27), aliyepigwa risasi katika mguu wake kulia na askari polisi wa kituo kidogo cha Gymkhana jijini Dar es Salaam, amelalamika haki kutotendeka katika suala lake....
10 years ago
GPLEXCLUSIVE: ALIYEPIGWA RISASI JANA AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ug6ORo4NSNTH4yfWvQDCZycdWw7QNfZ1z-ciqF8rzlbrkcUGI*Mtl2PqLif8KSQc297MmWW4NSo2BsrzWttlljlWMgMkFbev/mnenguaji.jpg)
UNDANI MNENGUAJI WA KHANGA MOKO ALIYEPIGWA RISASI
10 years ago
GPLPROFESA ALIYEPIGWA RISASI AZIKWA JIJINI DAR LEO
11 years ago
GPLMWILI WA SISTA ALIYEPIGWA RISASI WAAGWA JIJINI DAR LEO
5 years ago
Bongo514 Feb
Video: Msako waendelea kwa muuaji wa pasaka aliyempiga risasi mzee mpita njia na kuweka video ya tukio Facebook
Msako mkali unaendelea kumnasa Steve Stephens, 37 wa Cleveland, Ohia nchini Marekani, aliyehusika kwenye tukio la mauaji ya mzee wa miaka 74, Robert Godwin.
Muuaji huyo alidai kufanya kitendo hicho baada ya kukorofishana na mpenzi wake, na hasira zake aliamua kuzihamishia kwa mzee mpitanjia huyo huku akirekodi mauaji hayo na kuweka video Facebook.
Godwin, mfanyakazi wa zamani wa kiwandani na fundi mechanic, ana watoto 10 na wajukuu 14.
Mtoto wa kike, Tonya Godwin-Baines ameiambia CNN...
10 years ago
Mwananchi05 Apr
Bastola kanisani: Mtu mmoja anaswa akiwa na bastola yenye risasi nane