Watanzania wengi wafa kwa mgonjwa yasiyoambukiza
MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, amesema Watanzania wengi wanakufa kutokana na magonjwa yasiyoambukiza na mengine kwa kutokufanya mazoezi hivyo kuwa na uzito mkubwa. Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima21 Dec
Wajane wengi wafa kwa kukosa haki
BAADHI ya wanawake katika kata ya Magubike na Maguha, wilayani Kilosa, Morogoro, wamesema wanawake wengi wajane hufariki mapema kutokana na kukosa haki ya kumiliki mali ikiwemo ardhi wanapofiwa na waume...
11 years ago
BBCSwahili23 Aug
Wakimbizi wengi wafa maji pwani Libya
10 years ago
Mtanzania26 Sep
Watanzania wafa wakihiji Makka
AZIZA MASOUD NA BASIL MSONGO (TUDARCO).
MAHUJAJI watano kutoka Tanzania wamekufa juzi wakati wakishiriki ibada ya hija inayofanyika Makka, nchini Saudi Arabia.
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana ilisema kwa mujibu wa taarifa kutoka Ubalozi wa Tanzania nchini humo, mahujaji hao ni miongoni mwa wengine 717 kutoka mataifa mbalimbali waliofariki dunia, huku zaidi ya 800 wamejeruhiwa kutokana na msongamano mkubwa wa...
11 years ago
Michuziprogramu ya upimaji wa Afya kwa wananchi kwa magonjwa yasiyoambukiza
5 years ago
MichuziMBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...
11 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA ZANZIBAR YATOA ELIMU YA MAGONJWA YASIYOAMBUKIZA KWA WAANDISHI WA HABARI
11 years ago
Bongo531 Jul
Diamond na Wema wanaongoza kwa kuwa na followers wengi Instagram, wafahamu wengi 9
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Watanzania wengi wanamiliki hisa
11 years ago
Tanzania Daima04 Mar
Dk. Maro: Watanzania wengi wagonjwa
WATANZANIA wengi ni wagonjwa si tu kutokana na maradhi, bali na hali duni ya maisha inayowakabili. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Isaac Maro, alipokuwa akiwasilisha mada...