Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Elimu duni inawaathiri masikini duniani

Shirika la umoja wa mataifa la Utamaduni , UNESCO, limeonya kuwa viwango vya chini vya elimu duniani vinawakosesha watoto uwezo wa kusoma.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Masikini kwenye makazi duni wanalazimika kufanya kazi

Wakati sehemu kubwa ya dunia watu wako nyumbani kuepuka maambukizi ya corona, wakazi wengi wa mji wa Bangkok wanapambana na umasikini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais masikini zaidi duniani. Unamfahamu?

Sifa kwa wanasiasa kokote duniani ni nadra, hasa kwenye mitandao ya kijamii, lakini Rais wa Uruguay amekuwa akimiminiwa sifa tele

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mviwata: Elimu duni hupoteza chakula

ELIMU duni kwa wakulima imeelezwa kuwa chanzo cha upotevu wa chakula kuanzia hatua ya uvunaji, usafrishaji, ukaushaji, uchambuaji na maadalizi hadi kuhifadhi kwenye maghala ya chakula. Hayo yamo kwenye taarifa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Elimu duni huwaathiri wabakwaji kukosa haki

KWA mujibu wa Sheria ya Kanuni ya Adhabu – Penal code CAP 16  R.E2002; neno kubaka lina maana pana ukilinganisha inavyofahamika kwa watu wengi. Mtu atahesabika kuwa ametenda kosa la...

 

9 years ago

StarTV

Kaya masikini zanufaika kwenye elimu na afya mpango wa tasaf

Mradi wa uhaulishaji wa kaya masikini nchini Tasaf III imeonyesha mafanikio katika maeneo mengi nchini katika nyanja mbalimbali zikiwemo elimu na Afya.

Mpango huo umesambaa katika halmashauri zote Tanzania Bara na Visiwani ili kuziwezesha kaya maskini kujikimu na kuwawezesha watoto walio na umri wa kuanza shule kupata elimu.

Ziara ya uongozi wa Tasaf katika kutembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe katika Kijiji cha Kisanga ambacho ni miongoni mwa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Elimu duni, siasa zinavyomaliza misitu Kanda ya Mashariki

UPANDAJI miti, ni zoezi linalotakiwa kupewa kipaumbele nchini, kwani miti inasaidia kuzuia mafuriko na inazuia mmomonyoko wa ardhi. Wananchi wamekua wakihamasishwa kupanda miti hata katika maeneo ya nyumbani kwao, wanaokata...

 

10 years ago

Mwananchi

Elimu duni yakwaza kilimo cha ufuta Tandahimba

Baada ya kupata mafanikio ya wastani katika kilimo cha ufuta, wakulima wa zao hilo, ambao wengi ni wale wanaohama makazi yao kwa muda kutoka Wilaya ya Tandahimba, Mtwara kwenda Lindi kwa ajili ya zao hilo, sasa wanalilia elimu ili waweze kupata mafanikio makubwa zaid

 

11 years ago

Habarileo

Elimu duni ya kondomu yachagiza maambukizi mapya ya VVU

TAFITI zimebaini kwamba vijana hawatumii kondomu kwa madai ya kutopata ladha wakati wa kufanya mapenzi.

 

5 years ago

Michuzi

LISHE NA ELIMU DUNI SABABU KUBWA YA UDUMAVU IRINGA




Mkurugenzi wa kiwanda cha kuzalisha Unga wa sembe wenye viini lishe cha AMP Super Sembe, Alfred Mpanga akizungumza kuhusu uzalishaji wa unga wenye viini lishe unaosaidia jamii kupambana na udumavu na utapiamlo
Afisa Lishe wa Mkoa wa Iringa, Neema Mtekwa akizungumza na wanahabari hawapo pichani katika mahojiano maaluma kuhusu hali ya lishe mkoa wa Iringa. (Picha na denis Mlowe)

………………………………………………..

NA DENIS MLOWE,IRINGA

LISHE duni kutokana na wananchi kutokuwa na elimu ya ulaji wa vyakula vya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani