Kilimo cha ufuta chawainua wakulima Babati
“Kabla ya kujishughulisha na kilimo cha ufuta, nilikuwa na hali ngumu kiuchumi, nilikuwa nalima karanga na pamba, ila sasa nalima ufuta na nimejenga nyumba bora ya kisasa, nafuga ng’ombe, kuku na kusomesha watoto.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Babati wanufaika kilimo cha ufuta
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-2CpKynqU5e0/Xp8f5mQg7wI/AAAAAAALnwE/Q-T3vgdkiBQL0VHZpC323f3RNvleVmNhwCLcBGAsYHQ/s72-c/ae731083-a6ed-43f6-b811-d37c3645c485.jpg)
KILIMO CHA UFUTA CHASHIKA KASI MIHAMBWE
![](https://1.bp.blogspot.com/-2CpKynqU5e0/Xp8f5mQg7wI/AAAAAAALnwE/Q-T3vgdkiBQL0VHZpC323f3RNvleVmNhwCLcBGAsYHQ/s400/ae731083-a6ed-43f6-b811-d37c3645c485.jpg)
Wakulima wengi ndani ya Tarafa ya Mihambwe wamehamasika mwaka huu kulima zao la Ufuta kutoka kwenye utegemezi wa zao moja la biashara la Korosho.
Wakulima hao wakizungumza wakati wa ziara aliyoifanya Afisa Tarafa Mihambwe Emmanuel Shilatu wameishukuru Serikali ya Rais Magufuli kwa kuwahamasisha, kuwapatia pembejeo kwa wakati na kuhakikisha upatikanaji wa masoko kwa wakati.
"Sisi Wakulima tunaishukuru Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli kwa...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Elimu duni yakwaza kilimo cha ufuta Tandahimba
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s72-c/unnamed+(4).jpg)
wanakijiji wa babati wapatiwa mashine za kukamua ufuta
![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SRuHYQzZlv4/U2MvnLXZTrI/AAAAAAAFew4/7GQYdbzWQxQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
MichuziSIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI YAFANA SANA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s72-c/unnamed+(42).jpg)
Root Capital na Small Foundation ya marekani waliotembelea mradi wa ufuta babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPnUIWS9N1k/UwWjHFggc4I/AAAAAAAFOO4/sDuZQeB2AuI/s1600/unnamed+(43).jpg)
10 years ago
StarTV02 Dec
Wakulima Zanzibar furahia kilimo cha Alizeti.
Na Abdalla Pandu, Zanzibar.
Wakulima visiwani Zanzibar wameonesha furaha yao baada ya kufanikiwa katika kilimo kipya cha Alizeti ambacho kinaaminika kitakuwa mkombozi kwao na Taifa kwa ujumla kutokana na muda mrefu kutegemea zaidi zao la Karafuu na Nazi kama mazao makuu ya biashara.
Zao la Alizeti kwa Zanzibar limeonekana likinawiri kwa kiwango kikubwa hatua inayowajengea matumaini ya kuinua kipato cha wakulima hali ambayo itawawezesha kukabiliana na umasikini.
Licha ya faraja...
10 years ago
Habarileo09 Jul
Wakulima waambiwa waachane na kilimo cha mazoea
KITUO cha Utafiti na Mabadiliko ya Tabia Nchi (CCCS) cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, kimewatahadharisha wakulima nchini kuachana na kilimo cha mazoea na badala yake kufuata maelekezo ya wataalamu wa kilimo.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10