SIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI YAFANA SANA
Wasanii wa Goroa Tradition Dancing group wa Kata ya Qash Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakitoa burudani kwa wadau wa zao la ufuta, kwenye siku ya mkulima iliyofanyika katika kitongoji cha Maweni, Kata ya Endadosh Wilaya ya Babati Mkoani Manyara.
Afisa kilimo wa mradi wa ufuta wa shirika la Farm Africa, Tumaini Elibariki akimsikiliza Mtafiti wa Biosciences for Farming in Africa, kutoka London Uingereza, Claudia Canales kwenye siku ya mkulima iliyofanyika juzi katika kitongoji cha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-nJhb2izRqBY/VAhq97ehDTI/AAAAAAAGd7g/j2HX_FfsYZw/s72-c/Ni%2Bwakati%2Bwa%2Bkula%2Buyoga!.jpg)
SIKU YA KULA UYOGA YAFANA BABATI
Shiriko lisilo la Kiserikali la Farm Africa kwa kushirikiana na wakulima wa uyoga wa wilaya za Mbulu na Babati wiki iliyopita waliandaa siku maalum ya kula uyoga kwa wakazi wa wilaya hizo.
Tukio hilo lilifanyika katika katika kitongoji cha Magugu wilayani Babati ambapo wakazi walipata nafasi ya kuonja aina mbalimbali za mapishi ya uyoga.Wakulima 15 wa uyoga walio katika mradi wa Misitu wa Farm Africa walishiriki shughuli hiyo kwa kupika na kugawa bure uyoga uliopikwa kwa wakazi wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-W9TLQXetNjc/VmaoYTxO10I/AAAAAAAAwB8/Zp55IZDxSiU/s72-c/DSCF0335.jpg)
SIKU YA FAMILIA YA GAPCO TANZANIA YAFANA SANA
![](http://3.bp.blogspot.com/-W9TLQXetNjc/VmaoYTxO10I/AAAAAAAAwB8/Zp55IZDxSiU/s640/DSCF0335.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZIeRSeZNaXo/VmaoY2tmiII/AAAAAAAAwCI/TTPeowYMDg4/s640/DSCF9687.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QYeO8E-iGU0/VmaoXte5d8I/AAAAAAAAwBo/IpXZzeulC00/s640/DSCF0252.jpg)
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Babati wanufaika kilimo cha ufuta
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-bpHU5NJRrnE/Xs5Jrc6zrGI/AAAAAAALrtA/rckOioXlnHgbpmDD6huX-KAE69X_W6c6ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200527-WA0011.jpg)
MFUMO WA STAKABADHI GHALANI UNAKWENDA KUMNUFAISHA MKULIMA WA UFUTA -RC NDIKILO
MKOA wa Pwani, umekemea wakulima wa ufuta waliofanya udanganyifu msimu wa ununuzi uliopita kwa kuchanganya ufuta na mchanga, kwani umesababisha doa kwenye soko hivyo kwasasa mfumo utakaotumika ni wa stakabadhi ghalani ,ambao utadhibiti udanganyifu na kuinua pato la mkulima.
Aidha minada ya ununuzi wa ufuta mwaka huu yatafanyika kupitia mfumo huo na kwa njia ya kielektroniki kupitia soko la bidhaa Tanzania (TMX).
Akifungua kikao cha kujadili maandalizi ya msimu wa...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s72-c/unnamed+(4).jpg)
wanakijiji wa babati wapatiwa mashine za kukamua ufuta
![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SRuHYQzZlv4/U2MvnLXZTrI/AAAAAAAFew4/7GQYdbzWQxQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Kilimo cha ufuta chawainua wakulima Babati
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s72-c/unnamed+(42).jpg)
Root Capital na Small Foundation ya marekani waliotembelea mradi wa ufuta babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s1600/unnamed+(42).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-JPnUIWS9N1k/UwWjHFggc4I/AAAAAAAFOO4/sDuZQeB2AuI/s1600/unnamed+(43).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-dgBk6Xc5ZdM/VF9pA8sWs1I/AAAAAAAGwMA/saK2_x1JC6Q/s72-c/IMG_1903.jpg)
pre-wedding party ya jacqueline yafana sana
![](http://4.bp.blogspot.com/-dgBk6Xc5ZdM/VF9pA8sWs1I/AAAAAAAGwMA/saK2_x1JC6Q/s1600/IMG_1903.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DAnw_NZlh-c/VF9pJR_CzgI/AAAAAAAGwMI/cjzWlK5Q0Bo/s1600/IMG_1906.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10