Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


pre-wedding party ya jacqueline yafana sana

 Bi Harusi Mtarajiwa Jacqueline Dillip Sing (katika bluu tupu) akiwa na dada zake kwenye mnuso wa pre-wedding party usiku wa kuamkia leo ukumbi wa VIP Diamond Jubilee hall jijini Dar es salaam. Chini Ankal na wadau waalikwa wenzie katika mnuso huo

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PICTURES OF PELELWA MARGRET SHAURI PRE-WEDDING PARTY

Beautiful Couple, Pr-wedding (traditional event) of Pelelwa Shauri and her better half Mr Lee Marble took place this past Saturday November 15th,2014, In Boston,Massachusetts. Congratulations to the newly weds, "Happily ever after is not a fairly tail, its a choice.
Pelelwa and her future husband  white wedding will take place in Tanzania next month.The entrance..See more pictures of Pelelwa pr-wedding party as she celebrates with family and friends.














 

11 years ago

Michuzi

AFTER PARTY YA LADY IN RED YAFANA SANA JIJINI DAR

DSC_0549
Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onyesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania.

Na Andrew Chale HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya onesho la mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’ usiku wa Jumamosi Februari 22, lilikuwa la aina yake kwa kuvutia watu mbali mbali ndani ya...

 

10 years ago

Vijimambo

JACQUELINE & ANDREW'S BABY SHOWER YAFANA COLLEGE PARK, MARYLAND NCHINI MAREKANI


Kushoto ni Bwn. Ngayoma katika picha ya pamoja na Jacqueline na Andrew wakati wakijiandaa kuingia ukumbini Hampton Inn kwenye tafrija ya kumkaribisha  mtoto (baby shower) iliyofanyika siku ya Jumamosi Novemba 22, 2014 College Park, Maryland nchini Marekani.
Jacqueline na Andrew wakiingia ukumbini kwenye tafrija ya kumkaribisha mtoto wao wa kiume iliyofanyika Hampton Inn iliyopo College Park Maryland nchini Marekani siku ya Jumamosi Novemba 22, 2014
Jacqueline na Andrew wakiwa meza kuu
Dada tuma...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jameson Pre-party wows Dar revelers

5

Part of the attendees to the Jameson pre-party.

The Jameson Irish Whiskey brand has raised the entertainment bar in Dar es Salaam by throwing their fans an unforgettable Live Pre-party at George and Dragon beer garden.

The party is a build up to the Jameson Live 2015 party featuring internationally acclaimed American artist Bobby Ray Simmons commonly known, as B.o.B., which will take place in Nairobi, Kenya at the Ngong Racecourse on 12th December. 

Party lovers in Dar were treated to an...

 

9 years ago

Dewji Blog

Jameson to host Live Pre Party Tanzania at George and Dragon this Saturday

504

-One lucky winner to walk away with an all-expense paid trip for two to the Jameson Live Party in Kenya on December 12th.

Jameson will be throwing a Jameson Live pre-party at George and Dragon, Dar es Salaam on the 21st of November.

In the spirit of celebrating the world’s favourite Irish whiskey, Pernod Ricard East Africa will give two lucky consumers in Tanzania the chance to experience a larger than life all-expense paid VIP party experience courtesy of Jameson. 

All consumers who...

 

10 years ago

Michuzi

SEND OFF YA BI. ASNA ALLY MUAZINI YAFANA SANA

  Bi Harusi  mtarajiwa Asna Muazini akiwa katika pozi na tabasam katika Hafla yakuagwa kwake (SEND OFF) iliyofanyika hivi punde katika ukumbi wa DDC Keko jijini Dar es Salaam   Bi Harusi  mtarajiwa Asna Muazini akiwa na wapembe wake  katika pozi wakati wa  Hafla yakuagwa (SEND OFF) iliyofanyika hivi punde katika ukumbi wa DDC Keko  Dar es Salaam, kushoto ni Wardat Saidi Juma anaye somea Uwandishi wa Habari huko Zanzibar maeneo ya Vuga na kulia ni Mwanafunzi wa Shule ya Lumumba Zanzibar...

 

9 years ago

Michuzi

SIKU YA FAMILIA YA GAPCO TANZANIA YAFANA SANA

Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya GAPCO Tanzania, Vijay Nair (wa tatu kushoto) akikabidhi kikombe cha ushindi wa kuvuta kamba kwa timu ya kitengo cha uendeshaji baada ya kuibuka kidedea katika mashindano ya kuvuta kamba katika hafla ya Gapco Family Day, liliyofanyika mwishoni kwa wiki, Escape One, Jijini Dar es salaam. Wafanyakazi GAPCO pamoja na familia zao wakishiriki kucheza Zumba Dance kwenye siku ya familia ya GAPCO, iliyofanyika mwishoni kwa wiki, Escape One, Jijini Dar es salaam. 

 

11 years ago

Michuzi

SIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI YAFANA SANA

Wasanii wa Goroa Tradition Dancing group wa Kata ya Qash Wilaya ya Babati Mkoani Manyara, wakitoa burudani kwa wadau wa zao la ufuta, kwenye siku ya mkulima iliyofanyika katika kitongoji cha Maweni, Kata ya Endadosh Wilaya ya Babati Mkoani Manyara. Afisa kilimo wa mradi wa ufuta wa shirika la Farm Africa, Tumaini Elibariki akimsikiliza Mtafiti wa Biosciences for Farming in Africa, kutoka London Uingereza, Claudia Canales kwenye siku ya mkulima iliyofanyika juzi katika kitongoji cha...

 

11 years ago

Michuzi

GALA DINNER YA AFRIACAN DAY WASHINGTON, DC YAFANA SANA


Balozi wa kudumu wa African Union Mhe. Amina Salum Ali akiwa kwenye gwaride la bendera wakati hafla ya gala dinner ya African Day iliyofanyika Washington, DC siku ya Jumanne May 27, 2014 katika hotel ya Marriott na kuhudhuriwa na watu zaidi ya 2,000. Afriacam day ya mwaka huu iliandaliwa na Ubalozi wa Tanzania wakishirikiana na Ubalozi wa  Rwanda
Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Mhe. Liberata Mulamula akiwa kwenye gwaride la bendera wakati wa ufunguzi wa Gala dinner ya African Day siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani