Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AFTER PARTY YA LADY IN RED YAFANA SANA JIJINI DAR

DSC_0549
Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na wandaaji wa onyesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania.

Na Andrew Chale HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya onesho la mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’ usiku wa Jumamosi Februari 22, lilikuwa la aina yake kwa kuvutia watu mbali mbali ndani ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Halfa ya Miaka 10 ya Lady in Red yafana

HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya Onesho la Mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’ ilifana juzi usiku kwa kuvutia watu mbalimbali ndani ya Ukumbi wa Nyumbani Lounge...

 

10 years ago

Michuzi

HAFLA YA TANZANIA BLOGGERS NETWORK YAFANA SANA,SERENA HOTEL JIJINI DAR

Sehemu ya Wamiliki wa Blogs mbali mbali hapa nchini wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mgeni Rasmi katika hafla maalum ya mwaka kwa Tanzania Bloggers Network,ambaye ni Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT),Ndg. Kajubi Mukajanga pamoja na baadhi ya wadhamini waliofanikisha hafla hiyo,iliyofanyika usiku huu kwenye Hoteli ya Serena Jijini Dar es salaam.Mgeni Rasmi katika hafla maalum ya mwaka kwa Tanzania Bloggers Network,Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania (MCT),Ndg. Kajubi...

 

10 years ago

Michuzi

HAFLA YA KUMUAGA MKURUGENZI MKUU MSTAAFU WA NHIF BW. EMMANUEL HUMBA YAFANA SANA JIJINI DAR

1Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua mchango wake akiwa mwanzilishi wa mfuko huo wakati wa hafla ya kuwaaga viongozi na wafanyakazi wastaafu iliyofanyika kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam mwishoni mwa wiki , Mzee Emannuel Humba aliwaasa wafanyakazi wa mfuko huo kushikamana na kufanya kazi kwa kujituma ili kuhakikisha mfuko huo unafikia malengo, Katika hafla hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

pre-wedding party ya jacqueline yafana sana

 Bi Harusi Mtarajiwa Jacqueline Dillip Sing (katika bluu tupu) akiwa na dada zake kwenye mnuso wa pre-wedding party usiku wa kuamkia leo ukumbi wa VIP Diamond Jubilee hall jijini Dar es salaam. Chini Ankal na wadau waalikwa wenzie katika mnuso huo

 

11 years ago

Michuzi

AFTER PARTY YA LADY IN RED ILIKUWA BALAA WIKIENDI ILiyOPITA NYUMBANI LOUNGE

DSC_0549 Mama wa Mitindo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Fabak Fashions na mwandaaji wa onyesho la Lady in Red, Bi. Asia Idarous Khamsin akizungumza na wadau wa tasnia ya mitindo waliojumuika kwenye After Party ya kuwashukuru wadau waliotoa michango mbalimbali tangu kuanza kwa onyesho la Lady in Red nchini Tanzania katika kiota cha maraha cha Nyumbani Lounge jijini Dar es salaam Jumamozi ilopita.
Na Andrew Chale HALFA maalumu ya kilele cha Miaka 10 ya onesho la mavazi la ‘Lady in Red Super Brand’...

 

9 years ago

Michuzi

MAONYESHO YA KIMATAIFA YA UTALII YAFANA SANA JIJINI MONTREAL, CANADA

Maonyesho ya 27 ya Kimataifa ya Utalii ambayo yamedumu kwa siku tatu mfululizo katika jiji la Montreal nchini Canada yafana sana. Ubalozi wa Tanzania, Ottawa nchini Canada ulikuwa ni mmoja wa washiriki kati ya washiriki waonyeshaji 400 walioalikwa na sekta ya utalii ambayo ndiyo muandaaji rasmi wa maonesho hayo.
Maonyesho hayo ambayo yamefanyika katika mahali maarufu  la “la Place Bonaventure” katika jiji la hilo, ambalo liko upande wa Mashariki mwa Canada, eneo ambalo wengi wa wakazi wake...

 

10 years ago

Dewji Blog

Party ya usiku wa marafiki wa Lowassa yafana jijini Arusha

unnamed (3)

Kada maarafu kupitia chama cha Mapinduzi CCM, Violet Mfuko akishow love na Msanii wa muziki wa kizazi kipya,Nurdin Billal maarufu kama Shetta katika usiku wa marafiki wa Lowassa iliyofanyika katika ukumbi wa Triple A jijini Arusha.

unnamed (1)

Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Nurdin Billal maarufu kama Shetta  akicheza sambamba na Mkurugenzi wa kituo cha Radio 5 Robert Francis staili ya shikorobo juzi kwenye party ya usiku wa marafiki wa Lowassa ulifanyika katika ukumbi wa triple A jijini...

 

10 years ago

Dewji Blog

#MBAR2015 Eleganza Fashion show Red carpet swagga and After Party @ Dar es Salaam Serena Hotel

DSC_0359

Warembo waalikwa katika pozi la Ukodak.

DSC_0346

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CFAO Motors, ambao ndio wadhamini wakuu wa#MBAR2015 Eleganza Show kupitia brand ya Mercedes Benz,  Bw.Wayne McIntosh (kushoto) akipozi kwa picha na binti mrembo (katikati) aliyembatana na Mkurugenzi wa Hoteli ya Golden Tulip, Bw. Aatish Ladwa (kulia).

DSC_0349

DSC_0362

Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na Mkurugenzi wa Compass Communications, Maria Sarungi (kushoto) akipozi na msaidizi wake.

DSC_0364

Mwandaaji wa Miss Universe Tanzania na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani