Root Capital na Small Foundation ya marekani waliotembelea mradi wa ufuta babati
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ina2CrD8bog/UwWjG3pZVLI/AAAAAAAFOO0/T0He7PJf_JA/s72-c/unnamed+(42).jpg)
Ofisa mazao wa mradi wa uzalishaji na masoko wa ufuta wa shirika la Farm Africa Mkoani Manyara,Tumaini Elibariki (aliyeshika zao hilo kulia) akitoa maelezo kuhusiana na mimea ya zao la ufuta kwa wageni wa kutoka Marekani Root Capital na Small Foundation waliotembelea mradi wa ufuta juzi Kijiji cha Ngoley Wilayani Babati.
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziWAKULIMA WA UFUTA WILAYANI BABATI WAPEWA MASHINE ZA KUKAMUA UFUTA
11 years ago
Mwananchi21 Apr
Babati wanufaika kilimo cha ufuta
Wakulima 397 wa vijiji vya Kakoi na Endadosh katika Wilaya ya Babati mkoani Manyara wamenufaika na kilimo cha ufuta baada ya kupatiwa mafunzo ya kilimo bora kwa kutumia kifaa maalumu cha kielektroniki.
11 years ago
MichuziSIKU YA MKULIMA WA UFUTA BABATI YAFANA SANA
11 years ago
Mwananchi12 Dec
Kilimo cha ufuta chawainua wakulima Babati
“Kabla ya kujishughulisha na kilimo cha ufuta, nilikuwa na hali ngumu kiuchumi, nilikuwa nalima karanga na pamba, ila sasa nalima ufuta na nimejenga nyumba bora ya kisasa, nafuga ng’ombe, kuku na kusomesha watoto.â€
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s72-c/unnamed+(4).jpg)
wanakijiji wa babati wapatiwa mashine za kukamua ufuta
![](http://1.bp.blogspot.com/-TgoAPazkNFk/U2MvnU3H8nI/AAAAAAAFew8/i3ioItNCgUg/s1600/unnamed+(4).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SRuHYQzZlv4/U2MvnLXZTrI/AAAAAAAFew4/7GQYdbzWQxQ/s1600/unnamed+(5).jpg)
11 years ago
Michuzi31 Jan
SHULE YA MSINGI KABALE BUKOBA VIJIJINI YAPOKEA UGENI WA MRADI WA "OPPORTUNITY EDUCATION FOUNDATION" TOKA MAREKANI
9 years ago
TheCitizen13 Nov
Small traders empowered on capital access, skills
The United Nations Capital Development Fund (UNCDF) and Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) today conducted a workshop aimed at raising awareness of small traders on accessing capital and technical skills.
11 years ago
Mwananchi05 Jun
Sh1.5 bilioni zatumika mradi wa ufuta Mbugwe
Uufuta unaonekana kuwa chaguo jipya la wakulima katika baadhi ya maeneo baada ya kubaini kuwa una wateja wengi ndani na nje ya nchi.
11 years ago
TheCitizen18 Mar
MARKET DATA REVIEW: How small-scale enterprises can access capital
>Over the past few months, we have informed and developed arguments as to why and how private enterprises and the public sector can access funding from the public through an organised local capital markets for their growth, development and welfare.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10