Zaidi ya tani 250 za miwa zatupwa Kilombero kwa  Madai Ya Kutofaa Kwa Uzalishaji
Wakulima wa miwa wilayani kilombero wamepata hasara ya zaidi ya shilingi Milioni 30 baaada ya kiwanda cha sukari cha ILOVO kilichopo wilayani humo kukataa kuchukua tani 250 za miwa iliyovunwa kwenye mashamba ya wakulima hao, kwa madai kuwa miwa hiyo imekaa muda mrefu baada ya kuvunwa na hivyo kutofaa kwa uzalishaji wa sukari.
Wakulima wanaulalamikia uongozi wa kiwanda hicho kwa hasara waliyopata kwani novemba 14 kiwanda kiliagiza wakulima kuanza kuvuna miwa yao , ambapo wakulima...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-ONvPfBo393g/VlRgT0jFYrI/AAAAAAAIIPI/4xAs3AEr8_w/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
TAARIFA KUHUSU MADAI YA WAKULIMA WADOGO WA MIWA WA KILOMBERO KUKOSA SOKO
![](http://2.bp.blogspot.com/-ONvPfBo393g/VlRgT0jFYrI/AAAAAAAIIPI/4xAs3AEr8_w/s640/Screen%2BShot%2B2015-11-24%2Bat%2B4.03.10%2BPM.png)
Katika agizo hilo, Katibu Mkuu Bibi Sophia Kaduma ameiagiza Bodi ya Sukari Tanzania kukuta na Uongozi wa Kiwanda cha Sukari cha Kilombero na ule wa wakulima wadogo wa miwa ili kupata ufumbuzi wa kudumu...
9 years ago
StarTV02 Dec
Mwili waharibika kwa madai ya kuhifadhiwa chini kwa  madai ya uzembe Sekou Toure
Mwili wa kijana aliyekuwa akiishi mitaani jijini Mwanza marehemu Baraka Hamisi hatimaye umezikwa baada ya kukosa hifadhi katika jokofu la maiti kwa takribani siku sita katika Hospitali ya Mkoa wa Mwanza Sekou Toure
Marehemu Bakari Hamisi mwenye umri wa miaka 22 kijana wa mitaani aliyekuwa akijishughulisha na biashara ndogondogo alifariki dunia alipokuwa akipelekwa hospitalini hapo na vijana wenzake wa mitaani kwa ajili ya kupata matibabu.
Awali kabla ya kufikwa na mauti, vijana wenzake wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-1uqCjKMa4TQ/XpaaDb4f5xI/AAAAAAALm-U/Wgez8Sac_-EA9zIclqWr_CteC58l729igCLcBGAsYHQ/s72-c/2965dce8-cd50-4388-9e89-04928c4cd165.jpg)
TANDAHIMBA KUVUNA ZAIDI YA TANI MIA NANE YA ZAO LA UFUTA KWA MSIMU HUU,
Ameyasema hayo alipotembelea shamba la mkulima Hassan Chipyangu (udede) ambalo lipo katika kata ya Michenjele
"Msimu huu tunatarajia kupata zaidi zao la ufuta baada ya mwitikio wa wakulima kulima zao hilo hapo awali wakulima walielekeza nguvu zao kwenye zao mo ja lakini Sasa wanafunguka kwa kulima mazao mengine,"amesema Waryuba
Aidha amewataka wakulima...
9 years ago
Mwananchi02 Dec
Bodi: Miwa ya wakulima Kilombero ilikosa ubora
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Aec7jUwpfUA/Vl2YbbI7mNI/AAAAAAAIJg4/8kONKsZtnic/s72-c/New%2BPicture.png)
TAARIFA KUHUSU UTATUZI WA MGOGORO WA WAKULIMA WA MIWA KILOMBERO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Aec7jUwpfUA/Vl2YbbI7mNI/AAAAAAAIJg4/8kONKsZtnic/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU UTATUZI WA MGOGORO WA WAKULIMA WA MIWA KILOMBERO Bodi ya Sukari Tanzania imefuatilia na kubaini chanzo cha malalamiko ya wakulima wa miwa wanaozunguka Kiwanda cha Sukari cha Kilombelo (ILOVO).
Akizungumza katika taarifa yake, Mkurugenzi Mkuu Bodi ya Sukari Tanzania Bwana Henry Semwanza alisema kuwa, chanzo cha malalamiko yanatokana na kiwanda kuharibika bila kutarajia na kusimamisha uzalishaji kuanzia tarehe 14 hadi 18...
10 years ago
Dewji Blog28 May
Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu
Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu
Na Nathaniel Limu
Serikali kuu imeipatia msaada halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.
Hayo yamesemwa juzi na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...
5 years ago
MichuziWAZIRI HASUNGA-UZALISHAJI WA KAHAWA WAONGEZEKA WAFIKIA TANI 214,962
Waziri wa Kilimo, Mhe Japhet Hasunga (Mb)
Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo-Dodoma
WAZIRI wa Kilimo, Mhe Japhet Hasunga (Mb) amesema kuwa katika kipindi cha Serikali ya awamu ya Tano ya Dkt. John Magufuli zao la Kahawa limeweza kufikia uzalishaji wa tani 214,962 .
Ametoa kauli hiyo Jijini Dodoma wakati akizungumzia mafanikio yaliyopatikana katika sekta ya Kahawa katika kipindi cha miaka minne ya serikali ya awamu ya tano na kusema kuwa kwa wastani kila mwaka imekuwa ikizalisha tani 51,777 ya...
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Licha ya kusemwa kwa matumizi ya pound milioni 250, Louis van Gaal yupo katika mipango hii kwa sasa …
Kocha wa klabu ya Manchester United ya Uingereza Louis van Gaal January 2 amerudi kwenye headlines na hii, japokuwa haikutegemewa na wengi, kuona kocha wa sasa wa Man United ambaye amekuwa akiandikwa katika headlines za soka juu ya hatma yake ndani ya Man United. Moja kati ya vitu vinavyoshangaza wengi ni juu ya kocha huyo […]
The post Licha ya kusemwa kwa matumizi ya pound milioni 250, Louis van Gaal yupo katika mipango hii kwa sasa … appeared first on TZA_MillardAyo.