Wakulima kuboresha zao la tumbaku
WAKULIMA wa zao la tumbaku nchini, wameahidi kuongeza juhudi za kulifanya liwe bora zaidi ikiwa ni pamoja na kulitunza, kulichambua na kuondoa uchafu kabla ya kuliuza, ili lifikie viwango vya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Wakulima wa Tumbaku wakabiliwa na changamoto ya bei
Mkuu wa wilaya ya Manyoni,Bi Fatma Hassani Toufiq akifunga mkutano wa kwanza wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, uliofanyika hivi karibuni mjini hapa.
Baadhi ya wananchi,madiwani na wakulima wa zao la tumbaku wa tarafa ya Itigi waliohudhuria mkutano wa uzinduzi wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni.
Baadhi ya madiwani wa Halmashauri ya wilaya ya Itigi, wilayani Manyoni akiwemo Diwani wa kata ya Rungwa, Bwana Charles Machapaa wakiwa mkutanoni.(Picha zote na Jumbe...
11 years ago
Tanzania Daima15 Apr
Mvua yaathiri wakulima wa tumbaku Kahama
MVUA zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini zimesababisha baadhi ya wakulima wa tumbaku kukosa sehemu ya kuchomea tumbaku baada ya mabani 100 kuanguka katika Kata ya Ulowa, wilayani Kahama, Shinyanga. Akizungumza...
10 years ago
Mwananchi09 Jan
Zao la tumbaku linavyoathiri watoto kiafya na kisaikolojia
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Mavuno zao la tumbaku kuporomoka msimu huu
9 years ago
StarTV07 Sep
Lowassa azitaka Kampuni za tumbaku kulipa wakulima
Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA inayoungwa mkono na Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amezitaka kampuni za ununuzi wa tumbaku kuwalipa wakulima fedha wanazodai haraka iwezekanavyo ili waweze kuzitumia kuendesha maisha yao.
Amesema iwapo ataingia Ikulu wakati wakulima hao hawajalipwa fedha zao, kampuni hizo zitalazimika kuwalipa maradufu ili kuhakikisha kila mkulima na mtanzania ananufaika na alicho kigaramikia hivyo kuomba kupewa ridha ya...
9 years ago
Michuzi06 Jan
Waziri wa kilimo atua mkoani Iringa, akutana na wakulima wa Tumbaku
![mwi5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mwi5.jpg)
![mwi3](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2016/01/mwi3.jpg)
9 years ago
StarTV19 Dec
Uendeshaji Kilimo Cha Tumbaku Wakulima walalamikia makato ya ushuru
Wakulima wa zao la tumbaku nchini, wamelalamikia serikali juu ya makato makubwa ya ushuru wanaokwata katika zao hilo, lakini mwisho wa siku hakuna fedha zinazorudishwa katika kuwasaidia wakulima hao hatua inayowafanya kuendesha kilimo hicho kwa shida.
Wakulima hao wamesema bado kuna matatizo mengi yanayowakabili na serikali haijaamua kuyafanyia kazi, ikiwemo suala la makampuni yanayonunua zao hilo, kuwakata kilo za tumbaku, ambazo huwa tofauti na wanazokubaliana kununua.
Zao la tumbaku...
11 years ago
Michuzi18 May
11 years ago
Michuzi16 May
KINANA AMALIZA ZIARA SIKONGE KWA KUHUZUNISHWA NA VILIO VYA DHULMA WANAZOFANYIWA WAKULIMA WA TUMBAKU
![](https://4.bp.blogspot.com/-lPXOETyfVpo/U3UXN4valxI/AAAAAAAAmek/ShNI0H1Cddc/s1600/11.+Kinana+akisoma+huduma+mbalimbali+zinazotarajiwa+kutolewa+na+serikali+katika+vijiji+kadhaa++vya+Kitunda.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-tD8Gu6cOQLc/U3UXycUEE2I/AAAAAAAAmf0/50Wcao0RPpQ/s1600/Kinana+akihutubia+mkutano+wa+hadhara.jpg)