Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kilimo Hai chawaongezea mavuno Chamwino

Wakulima waliojiunga na mpango wa Kilimo Hai wilayani hapa, wamefanikiwa kuvuna mazao mengi na kuvuka malengo baada ya kutumia vyema elimu waliyopewa na Shirika hilo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mkuu wa Wilaya Chamwino ahimiza kilimo kwa vitendo

>Wilaya ya  Chamwino mkoani Dodoma ni miongoni kwa maeneo ambayo yamekuwa yakikumbwa na uhaba wa chakula na kusababisha wananchi wake kukumbwa na njaa ya mara kwa mara.

 

11 years ago

Habarileo

Hai imepiga hatua kubwa katika kilimo, ufugaji - DC

MKUU wa Wilaya ya Hai, Novatus Makunga amesema Wilaya yake imepiga hatua kubwa katika kuziba pengo la kiteknolojia kwenye kilimo na ufugaji.

 

9 years ago

StarTV

Kilimo cha kahawa hai Waliokitelekeza huenda wakachukuliwa hatua

Serikali kwa kushirikiana na uongozi wa vyama vya Msingi vya ushirika wilayani Hai mkoani Kilimanjaro huenda vikaanza kuwachukulia hatua za kisheria wawekezaji wote waliotelekeza kilimo cha Kahawa na kuanzisha kilimo cha mazao ya nafaka na Maua.

Hatua hiyo imefikiwa kutokana na kuendelea kuzorota kwa uzalishaji wa zao hilo kongwe ambalo lilikuwa ni uti wa mgongo kwa wazawa wa mkoa wa Kilimanjaro.

Katka kikao maalumu kilichowakutanisha viongozi wa vyama vya msingi vya ushirika na wawekezaji...

 

9 years ago

Michuzi

Mwanahabari Mkongwe Dkt. Gideon Shoo ajitosa katika kilimo hai cha kisasa huko Bagamoyo

 Dkt Gideon Shoo (mwenye gwanda la buluu) mwanahabari mwandamizi na mkongwe akielezea  alivyoamua kuingia katika kilimo hai cha kisasa alipotembelewa shambani na nyumbani kwake kata ya Kerege wilaya ya   Bagamoyo mkoa wa Pwani na maofisa kutoka Envirocare , asasi isiyokuwa ya kiserikali inayojihusisha na mazingira na  haki za binadamu.  Dkt Gideon Shoo akionesha anavyozalisha mbolea ya samadi Dkt Gideon Shoo akitembeza wageni kwenye shamba lake sehemu ya mbogamboga.
Ni jambo la kawaida kwa...

 

10 years ago

Vijimambo

BERNARD MEMBE APATA WADHAMINI WILAYANI CHAMWINO -DODOMA, ATEMBELEA MNARA WA KUMBUKUMBU YA MW. NYERERE KATIKA KIJIJI CHA CHAMWINO IKULU

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akilakiwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) waliofika kwenye viwanja vya Ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Chamwino Ikulu, wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Juni 22.2015, kwa ajili ya kumdhamini ili aweze kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho. Picha zote na John Badi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard...

 

10 years ago

Michuzi

MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARARE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA

Mbunge wa Jimbo la Hai  Mhe. Freeman Mbowe akiwa na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka walipotembelea katika ukanda wa Tambarare kujionea athari za mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.Mbunge Mbowe akiwa na biongozi wengine wa wilaya ya Hai wakitazama miundombuni ya reli ilivyochukuliwa na mafuriko.Baadhi ya wananchi wakisalimiana na Mbunge Mbowe katika eneo la mafuriko yaliyosomba reli.Viongozi wa Chama cha mapinduzi wakiwa katika mkutano wa hadhara wa kutoa pole...

 

10 years ago

Vijimambo

MBUNGE WA JIMBO LA HAI ATEMBELEA ENEO LA TAMBARALE WILAYANI HAI KUJIONEA ATHARI ZA MAFURIKO NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA

Mbunge wa Jimbo la Hai  Mhe. Freeman Mbowe akiwa na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka walipotembelea katika ukanda wa Tambarare kujionea athari za mafuriko yaliyosababishwa na mvua zinazoendelea kunyesha.Mbunge Mbowe akiwa na Viongozi wengine wa wilaya ya Hai, wakitizama miundombuni ya reli ilivyochukuliwa na mafuriko.Mbowe akijadili jambo na mkuu wa wilaya ya Hai Mhe. Anthony Mtaka na viongozi wengine baada ya kuona namna ambavyo miundo mbinu ya reli ilivyosombwa na maji.
Baadhi ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mavuno yageuka adha kwa wanawake Mbozi

YAWEZEKANA kipindi cha mavuno ya mazao kikawa cha furaha na faraja kwa familia hasa ikizingatiwa ni kipindi cha matunda ya kazi ngumu ya kilimo. Lakini kwa wanawake wa Mbozi, imekuwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mavuno zao la tumbaku kuporomoka msimu huu

Mavuno ya zao la Tumbaku mkoani Tabora kwa msimu huu huenda yakashuka ikilinganishwa na msimu uliopita wa 2013/2014.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani