MH. RIDHIWANI KIKWETE AANZA KUTEKELEZA ILANI YA CHAMA KWENYE JIMBO LAKE LA CHALINZE
Mbunge wa Chalinze Mh. Ridhiwani Kikwete na Diwania wa Kata ya Bwilingu Bw. Ahmed Nasser wakiwa wamelala kwenye moja ya vitanda Vitanda 267 vilivyotolewa na mbunge huyo katika shule mbalimbali za sekondari kwa jimbo zima la Chalinze wakati wa makabidhiano yaliyofanyika kwenye shule ya sekondari ya Lugoba jana, Shule ambazo zimepewa vitanda hivyo ni shule ya sekondari Chalinze 50, Moleto Lugoba 50, Mandera 25, Talawanda 24, Kiwangwa 50, Lugoba 38 na Kikaro 30.katika hatua hiyo Mh. Ridhiwania...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s72-c/52.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE AANZA KAMPENI KWA KISHINDO JIMBO LA CHALINZE
![](http://3.bp.blogspot.com/-HqOXYkp5m9w/UyNzgVgH1wI/AAAAAAAFTjo/injizW5Jk1U/s1600/52.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fvYL_g5Yk3c/UyNojFi6r8I/AAAAAAAFThU/I95wZvYcImU/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X3SliI1tTo0/Ux6mOJ9LOJI/AAAAAAAFS1M/43tPVoZ_EQc/s72-c/Ready.jpg)
CCM YAMTEUA NDG. RIDHIWANI KIKWETE KUWA MGOMBEA WA UBUNGE KWENYE UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE
![](https://4.bp.blogspot.com/-SopthPE7gj0/Ux6YTsJC85I/AAAAAAAAkYk/D48yjAdviPQ/s1600/ridh.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa zamani wa jimbo hilo, marehemu Said Mwanamdogo.
Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM kupitia Idara ya Itikadi na uenezi CCM, imesema wakati uzinduzi wa kampeni za CCM katika uchaguzi huo utafanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kampeni za zitaongozwa na Katibu wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqoYxLH8vOV7Uw6zDRPehIvtfILZHGvzr7OiSvChZGRq2ekY0MHU1B3atFzN63qQjBa03hHyJNjDd4bUh0Y-MqkH/proxy.jpg?width=650)
RIDHIWANI AANZA MBIO ZA KUSAKA KURA JIMBO LA CHALINZE
11 years ago
Habarileo16 Mar
Ridhiwani Kikwete aanza kampeni kuwania Chalinze
WAKATI leo ni siku ya uchaguzi mdogo wa ubunge katika Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, mgombea wa ubunge katika uchaguzi mwingine mdogo jimboni Chalinze, Pwani kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete jana alianza kwa kishindo kampeni zake.
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Ridhiwani Kikwete aanza ziara ya kikazi katika vijiji 40 Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikagua vyumba vya madarasa vya Shule ya Msingi Kibindu, wilayani Bagamoyo, Pwani vilivyobmoka na kuezuliwa paa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni. Ridhiwani yupo katika ziara ya kikazi ya kutembelea vijiji 40 jimboni humo.Pia Ridhiwani alishauri shule hiyo yenye majengo yaliyojengwa tangu 1952 ifungwe ili kuepusha maafa zaidi hadi itakapojengwa upya. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
![IMG_5700](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/01/IMG_5700.jpg)
Mbunge wa...
10 years ago
MichuziMH. RIDHIWANI KIKWETE AANZA ZIARA YA KIKAZI KATIKA VIJIJI 40 CHALINZE
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OmzXdzxeBqz-zlEb89GHXio-A21O3cA3wHdSbd9iLe3-rRQUjuVivZn7tVAsTsqkSbO5utWSnLeU9J1khKLlvmj*YdzjAe9c/BREAKINGNEWS.gif)
RIDHIWANI KIKWETE NDIYE MBUNGE JIMBO LA CHALINZE
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-qNvYBUlLrkU/UyfV0-4aTyI/AAAAAAAFUYQ/YrZJG0uzslQ/s1600/1.jpg)
RIDHIWANI KIKWETE MWENDO MDUNDO JIMBO LA CHALINZE